< 2 Wafalme 24 >

1 Katika siku za Yehoyakimu, Nebukadreza mfalme wa Babeli akaiteka Yuda; Yehoyakimu akawa mtumishi kwa muda wa miaka mitatu. Kisha Yehoyakimu akarudi na kuasi dhidi ya Nebukadreza.
В неговите дни възлезе въвилонският цар Навуходоносор; и Иоаким му стана подчинен за три години; сетне се отметна и въстана против него.
2 Yahwe akatuma vikosi vya Wakaldayo dhidi ya Yehoyakimu, Washami, Wamoabu, na Waamoni; akawatuma dhidi ya Yuda kuiharibu. Hii ilikuwa ni kuthibitisha pamoja na neno la Yahwe ambalo aliloliongea kupitia watumishi wake manabii.
Но Господ прати против него халдейските чети, сирийските чети, моавските чети и четите на амонците, и прати ги против Юда за да го съкрушат, според словото, което Господ говори чрез слугите Си пророците.
3 Ilikuwa baada ya mda mfupi kwenye kinywa cha Yahwe kwamba hili likaja juu ya Yuda, kuwaondoa usoni mwa uso wake, kwa sabau ya dhambi za Manase, yote aliyoyafanya,
Наистина по заповед от Господа стана това на Юда, за да го отхвърли от лицето Си поради греховете на Манасия, според всичко що бе извършил,
4 na pia kwa sababu ya damu isiyokuwa na hatia aliyoimwaga, kwa kuijaza Yerusalemu kwa damu isiyokuwa na hatia. Yahwe hakuwa tayari kusamehe hilo.
а още пореди невинната кръв, която бе пролял, като напълни Ерусалим с невинна кръв, така че Господ отказа да му прости.
5 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yehoyakimu, na yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
А останалите дела на Иоакима, и всичко що извърши, не са ли написани в Книгата на летописите на Юдовите царе?
6 Yehoyakimu akalala pamoja na wazee wake, na Yekonia mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
И Иоаким заспа с бащите си; и вместо него се възцари син му Иоахин.
7 Mfalme wa Misri hakushambulia tena nje ya nchi yake, kwa sababu mfalme wa Babeli alakuwa amezishinda nchi zote ambazo zilikuwa zikitawaliwa na mfalme wa Misri, kutoka kwenye kitabu cha Misri mpaka Mto wa Frati.
И египетският цар не излезе вече от земята си, защото вавилонският цар бе превзел всичко, което принадлежеше на египетския цар, от египетската река до реката Евфрат.
8 Yekonia alikuwa na umri wa miaka kumi na nane alipoanza kutawala; alitawala Yerusalemu miezi mitatu. Mama yake alikuwa anaitwa Nehushta; alikuwa binti wa Elnathani wa Yerusalemu.
Иоахин бе осемнадест години на възраст, когато се възцари, и царува три месеца в Ерусалим; а името на майка му бе Науста, дъщеря на Елнатана от Ерусалим.
9 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe; alifanya yale yote ambayo baba yake aliyafanya.
Той върши зло пред Господа, съвсем както бе направил баща му.
10 Katika kipindi hicho jeshi la Nebukadreza mfalme wa Babeli liliishambulia Yerusalemu na kuuzunguka mji.
В онова време слегите на вавилонския цар Навуходоносора възлязоха против Ерусалим та обсадиха града.
11 Nebukadreza mfalme wa Babeli akaja kwenye mji wakati maaskari wake walipokuwa wameuzunguka,
И докато слугите му го обсаждаха, вавилонският цар Навуходоносор дойде до града;
12 na Yekonia mfalme wa Yuda akatoka nje kwenda kwa mfalme wa Babeli, yeye, mama yake, watumishi wake, watoto wake, na maafisa wake. Mfalme wa Babeli akamteka katika mwaka wa nane wa utawala wake.
и Юдовият цар Иоахин излезе към вавилонския цар, той, майка му, слугите му, началниците му и скопците му; и вавилонският цар го хвана в осмата година на царуването си.
13 Nebukadreza akachukua kutoka pale vitu vyote vya thamani katika nyumba ya Yahwe, na walio katika nyumba ya kifalme. Akavikata vipande vipande vitu vyote vya dhahabu ambavyo Suleimani mfalme wa Israeli alivitengeneza katika hekalu la Yahwe, kama alivyokuwa amesema ingetokea.
И той отнесе от там всичките съкровища на Господния дом и съкровищата на царската къща, и съсече всичките златни вещи в Господния храм, които Израилевия цар Соломон беше направил, според както Господ беше казал.
14 Akawachukua wote utumwani Yerusalemu, viongozi wote, na wapiganaji wote, mateka elfu kumi, na mafundi wote, na wafua vyuma. hakuna aliyekuwa amesalia isipokuwa watu maskini katika nchi.
И пресели целия Ерусалим, всичките първенци и всичките юначни мъже, десет хиляди пленници, и всичките дърводелци и ковачи; останаха само по-соромашката част от людете на земята.
15 Nebukadreza akamchukua Yekonia utumwani Babeli, pia na mama yake na mfalme, wake, maafisa, na wakuu wa nchi. Akawachukua kwenda utumwani kutoka Yerusalemu mpaka Babeli.
Пресели Иохима във Вавилон; и заведе пленници от Ерусалим във Вавилон майката на царя, жените на царя, скопците на царя и първенците от земята.
16 Wapiganaji wote, elfu saba kwa hesabu, na mafundi elfu moja na wafua vyuma, wote wanaostahili kumpiga- mfalme wa Babeli aliwaleta hawa watu kwenye utumwa Babeli.
Всичките юначни мъже - седем хиляди души, и дърводелците и ковачите - хиляда души, всичките храбри войници, - тях вавилонският цар заведе пленници във Вавилон.
17 Mfalme wa Babeli akamfanya Matania, kaka yake na baba yake na Yehokimu, mfalme katika sehemu yake, na kubadilisha jina lake kuwa Sedekia.
И вавилонският цар постави чича си Матания цар вместо него, като промени името му на Седекия.
18 Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na moja wakati alipoanza kutawala; alitawala miaka kumi na moja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Hamutali; alikuwa binti wa Yeremia kutoka Libna.
Седекия бе двадесет и една гидина на възраст, когато се възцари, и царува единадесет години в Ерусалим; а името на майка му бе Амитала, дъщеря на Еремия от Ливна.
19 Alifanya yaliyo maovu machoni mwa Yahwe; aliyafanya yale yote ambayo Yehokimu aliyoyafanya.
Той върши зло пред Господа, съвсем както беше направил Иаким.
20 Kupitia hasira ya Yahwe, haya matukio yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, hadi alipowaondoa kwenye uso wake. Kisha Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.
Защото от гнева на Господа, който пламна против Ерусалим и Юда, докато ги отхвърли от лицето Си, стана, че Седекия въстана против вавилонския цар.

< 2 Wafalme 24 >