< 2 Wafalme 25 >

1 Ilitokea kwamba katika mwaka wa tisa wa utawala wa mfalme Sedekia, katika mwezi wa kumi, na siku ya kumi ya huo mwezi, Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuja pamoja na jeshi lake lote kwa ajili ya kupigana dhidi ya Yerusalemu. Akaweka kambi kuelekeana nayo, na wakajenga ukuta kuizunguka.
И тъй, в деветата, година на Седекиевото царуване, в десетия месец, на десетия ден от месеца, вавилонският цар Навуходоносор дойде, той и цялата му войска, против Ерусалим, и като разположи стана си против него, издигнаха укрепления наоколо против него;
2 Hivyo mji huo ulizungukwa mpaka miaka kumi na moja ya utawala wa Sedekia.
и градът бе обсаден до единадесетата гидина на цар Седекия.
3 Katika siku ya tisa ya mwezi wa nne wa huo mwaka, njaa ilikuwa kali sana kwenye huo mji kwamba hapakuwa na chakula kwa ajili ya watu wa nchi.
А на деветия ден от четвъртия месец, когато гладът се усили в града, тъй щото нямаше хляб за людете на мястото,
4 Wakati huo ule mji ulikuwa umebomoka ndani, na wapiganaji wote wakakimbia usiku kwa njia ya lango kati ya kuta mbili, karibu na bustani ya mfalme, ingawa Wakaldayo walikuwa wote wameuzunguka mji. Mfalme akaenda kuelekea upande wa Araba.
отвори се пролов в градската стена, поради което всичките военни мъже побягнаха през пътя на портата, която е между двете стени, при царската градина, (а халдейците бяха близо около града), и царят отиде по пътя за полето.
5 Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuata mfalme Sedekia na kumchukua katika tambarare ya bonde la Mto Yoradani karibu na Yeriko. Jeshi lake lote lilitawanyika wakamwacha.
А халдейската войска преследва царя та го стигна в ерихонските полета; и цялата му войска се разбяга от него.
6 Wakamkamata mfalme na kumleta mpaka kwa mfalme wa Babeli huko Ribla, ambapo walipitisha hukumu juu yake.
И хванаха царя та го въведоха при вавилонския цар в Ривла; и издадоха присъда против него, именно,
7 Kama kwa watoto wa Sedekia, wakawachinja mbele ya macho yake. Kisha akamtoa macho Sedekia, wakamfunga pingu, na kumpeleka hadi Babeli.
заклаха синовете на Седекия пред очите му, избодоха очите на Седекия, и като го вързаха в окови заведоха го във Вавилон.
8 Basi katika mwezi wa tano, katika siku ya saba ya mwezi, ambapo ulikuwa mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadreza mfalme wa Babeli, Nebuzaradani, mtumishi wa mfalme wa Babeli na amrijeshi wa walinzi wake, wakaja hadi Yerusalemu.
А в петия месец, на седмия ден от месеца, в деветнадесетата година на вавилонския цар Навуходоносор, дойде в Ерусалим началникът на телохранителите Навузардан, служител на вавилонския цар,
9 Akaichoma moto nyumba ya Yahwe, nyumba ya mfalme, na nyumba zote za Yeruselemu; pia kila jengo la muhimu katika mji akayachoma.
та изгори Господния дом и царския дворец; дори всичките къщи в Ерусалим, сиреч, всяка голяма къща, изгори с огън.
10 Kama kwa kuta zote zilizoizunguka Yerusalemu, jeshi lote la Wababeli ambao walikuwa chini ya amrishi wa walinzi wakaziharibu.
И цялата халдейска войска, който бе с началника на телохранителите, събори стените около Ерусалим.
11 Basi watu waliokuwa wamebaki ambao walikuwa wameondoka katika mji, wale waliokuwa wameasi kwa mfalme wa Babeli, na mabaki ya watu-Nebuzadani, amiri jeshi wa mlinzi, wakachukuliwa kwenda utumwani.
Тогава началникът на телохранителите Навузардан заведе в плен останалите от людете, които бяха оцелели в града, и бежанците, които прибягнаха при вавилонския цар, както и останалото множество.
12 Lakini amiri jeshi wa mlinzi aliwaacha baadhi ya maskini wa nchi ili wafanye kazi kwenye shamba la mizabibu na kulima.
Обаче, началникът на телохранителите остави някои от победените в земята за лозари и замаделци.
13 Na zile nguzo za shaba ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, na misimamio na bahari ya chuma ambayo ilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, Wakaldayo wakazivunja vipande vipande na kubeba shaba kuirudisha Babeli.
А медните съдове, които бяха в Господния дом, и подножията и медното море, които бяха в Господния дом, халдейците сломиха и пренесоха медта им във Вавилон;
14 Masufuria, mabeleshi, makasi, vijiko, na vyombo vyote vya shaba ambavyo kuhani alivyokuwa amevitunza kwenye hekalu-Wakaldayo wakavichukua vyote.
отнесоха и котлите, лопатите, щипците, темянниците и всичките медни прибори, с които се извършваше службата.
15 Masufuria ya kuhamisha majivu na mabakuli ambayo yalikuwa yametengenezwa kwa dhahabu, na yale yaliyotengenezwa kwa fedha-yule nahodha wa mlinzi wa mfalme akavichukua pia.
Началникът на телохранителите отнесе и кадилниците и тасовете, - каквото беше златно като злато, и каквото сребърно като сребро.
16 Zile nguzo mbili, ile bahari, na vile vitako ambavyo Suleimani alivitengeneza kwa ajili ya nyumba ya Yahwe shaba ya vyombo hivyo vyote haikuwa na uzani.
Колкото за двата стълба, едното море и подножията, които Соломон беше направил за Господния дом, медта на всички тия вещи превишаваше всяко тегло;
17 Urefu wa ile nguzo ya kwanza ulikuwa ridhaa kumi na nane, na kichwa cha shaba kilikuwa juu yake. Na urefu wa kichwa ulikuwa ridhaa tatu, pamoja na mapambo ya wavu na makomamanga yote yakizunguka kwenye hicho kichwa, vyote vilikuwa vimetengenezwa kwa shaba. Na ile nguzo nyingine ilikuwa vivyo hivyo kama ile ya kwanza pamoja na wavu wake.
височината на единия стълб беше осемнадесет лакътя; и меден капител беше върху него, височината на който капител бе три лакътя; а върху капитела наоколо имаше мрежа и нарове, всичките медни. Подобни на тия бяха размерите и на втория стълб с мрежата.
18 Yule amiri jeshi wa mlinzi akamchukua Seraya kuhani mkuu, pamoja za Sefania, yule kuhani wa pili, na walinzi watatu wa kwenye lango.
Началникът на телохранителите взе и първосвещеник Сараия, и втория свещеник Софония, и тримата вратари;
19 Kutoka mjini akamchukua mlinzi, afisa mmoja ambaye aliyekuwa msimamizi wa maaskari, na watu watano ambao walikuwa wakimshauri mfalme, ambao walikuwa bado katika mji. Pia alimchukua mfungwa wa afisa jeshi la mfalme, kwa ajili ya kuandika watu kwenye jeshi, pamoja na watu sitini muhimu kutoka hiyo nchi ambao walikuwa katika mji.
и от града взе един скопец, който беше надзирател на военните мъже, и петима мъже от имащите достъп при царя, които се намериха в града, и на военачалника секретаря, който събираше войски от людете на земята, и шестдесет мъже от людете на земята, които се немериха в града;
20 Kisha Nebuzaradani, amiri wa mlinzi, akawachukua na kuwapeleka kwa mfalme Babeli huko Ribla.
и като ги взе началникът на телохранителите Навузардан ги заведе при вавилонския цар в Ривла.
21 Mfalme wa Babeli akawaua huko Ribla katika nchi ya Hamathi. Kwa njia hii, Yuda akaiacha nchi yake kwenda utumwani.
И вавилонският цар ги порази, и уби ги в Ривла, в земята Емат. Така Юда биде закаран в плен от земята си.
22 Na wale watu waliokuwa wamebakia katika nchi ya Yuda, wale ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwaacha, akamuweka Gedalia mwana wa Ahikamu, mwana wa Shafani, msimamizi wao.
А колкото за людете, които останаха в Юдовата земя, които вавилонският цар Навуходоносор беше остави, над тях той постави за управител Годолия, син на Ахикама, Сафановия син.
23 Kisha wakati maamiri wote wa majeshi, wao na watu wao, waliposikia kwamba mfalme wa Babeli amemfanya Gedalia kuwa liwali, wakaenda kwa Gedalia huko Mispa. Hawa watu walikuwa Ishmaeli mwana wa Nethania, Yohanani mwana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi Mnetofa, na Yezania mwana wa Mmaaka-wao na watu wao.
А като чуха всичките военачалници, те и войниците им, че вавилонският цар поставил зе управител Годолия, дойдоха при Годолия в Масфа, именно, Ионан син на Кария, Сараия син на нетофатеца Танумет, и Яазания син на един маахатец, те и войниците им.
24 Gedalia akafanya kiapo kwa watu wake na kuwaambia, “Msiwaogope Wakaldayo. Muishi katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babeli, na itakuwa vema kwenu.”
И Годолия се закле на пях и на мъжете им, като им каза: Не бойте се от слугите на халдейците; заселете се в земята та работете на вавилонския цар, и ще ви бъде добре.
25 Lakini ilitokea kwamba katika mwezi wa saba Ishmaeli mwana wa Nethania mwana wa Elishama, kutoka familia ya kifalme, wakaja na watu kumi na kumshambulia Gedalia. Gedalia akafa, pamoja na watu wa Yuda na Wababeli ambao walikuwa pamoja nae huko Mizpa.
Но в седмия месец Исмаил, син на Натания, Елисамовия син, от царския род, дойде, заедно с десетина мъже, та поразиха Годолия (тъй че умря) и юдеите и халдейците, които бяха с него в Масфа.
26 Kisha wale watu wote, kutoka chini kwenda juu, na maamiri wa jeshi, wakainuka na kwenda Misri, kwasababu walikuwa wanawaogopa Wababeli.
Тогава всичките люде от малък до голям и военачалниците станаха та отидоха в Египет; защото се уплашиха от халдейците.
27 Ilitokea baadaye katika mwaka wa thelathini na saba wa utumwa wa Yekonia mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na saba ya mwezi, Evil-merodaki mfalme wa Babeli akamtoa Yekonia mfalme wa Yuda kutoka gerezani. Hii ilitokea katika mwaka ambao Evil-Merodaki alipoanza kutawala.
А в тридесет и седмата година, от пленяването на Юдовия цар Иоахин в дванадесетия месец на двадесет и седмия ден от месеца, вавилонският цар Евилмеродах, в годината на възцаряването си, възвиси от тъмницата главата на Юдовия цар Иоахин;
28 Akaongea naye kwa ukarimu na kumpatia kiti kizuri zaidi kuliko kile cha wafalme wengine ambao walikuwa pamoja naye Babeli.
и говори бу любезно, постави неговия престол по-горе от престола на царете, които бяха с него във Вавилон,
29 Evil-Merodaki akamvua Yekonia nguo za gerezani,
и промени тъмничните му дрехи; и Иоахин се хранеше всякога пред него, през всичките дни на живота си.
30 na Yekinia akala siku zote kwenye meza ya mfalme katika maisha yake yote yaliyokuwa yamebakia.
А колкото за храната му, даваше му се от церя постоянна храна, ежедневен дял, през всичките дни на живота му.

< 2 Wafalme 25 >