< 2 Wafalme 23 >

1 Hivyo mfalme akawatuma wajumbe waliokuwa wamemzunguka wazee wote wa Yuda na wa Yerusalemu.
Тогава царят прати, та събраха при него всичките Юдови и ерусалимски старейшини.
2 Kisha mfalme akapanda hadi kwenye nyumba ya Yahwe, na watu wote wa Yuda na wenyeji wote wa Yerusalemu pamoja naye, na makuhani, manabii, na watu wote, kuanzia mdogo hadi mkubwa. Kisha akasoma katika masikioni kwao maneno yote ya kitabu cha agano ambalo lililokuwa limepatikana kwenye nyumba ya Yahwe.
И царят възлезе в Господния дом, и с него всичките Юдови мъже и всичките ерусалимски жители - свещениците, пророците и всичките люде от малък до голям; и прочете на всеослушание пред тях всичките думи от книгата на завета, която се намери в Господния дом.
3 Mfalme akasimama karibu na nguzo na kufanya agano mbele ya Yahwe, kutembea pamoja na Yahwe na kukumbuka maagizo yake, kanuni zake, na sheria zake, kwa moyo wake wote na kwa roho yake yote, kuthibitisha maneno ya hili agano ambalo lililokuwa limeandikwa kwenye hiki kitabu. Hivyo watu wote wakakubaliana kusimama kwenye agano
И царят застана до стълба, та направи завет пред Господа да следва Господа, да пази заповедите Му и заявленията Му, и повеленията Му с цалото си сърце и с цялата си душа, та да изпълняват думите, но тоя завет, който са написани в тая книга. И всичките люде потвърдиха завета.
4 Mfalme akamwamuru Hilkia yule kuhani mkuu, makuhani chini yake, na walinzi wa lango watoe kwenye hekalu vyombo vilivyokuwa vimetengenezwa kwa ajili ya Baali na Ashera, na kwa ajili ya nyota zote za mbinguni. Akivichoma moto Yerusalimu kwenye mashamba ya bonde la Kidroni na kubeba majivu yake kwenda Betheli.
Тогава царят заповяда на първосвещеник Хелкия, на свещениците от втория чин и на вратарите да извадят из Господния храм всичките ващи направени за Ваала, за ашерите и за цялото небесно множество; и изгори ги вън от Ерусалим, в полетата на Кедрон, и отнесе пепелта им във Ветил.
5 Akawaondoa makuhani waliokuwa wanaabudu miungu ambao wafalme wa Yuda waliwachagua ili kwa ajili ya kufukiza ubani katika mahali pa juu kwenye miji ya Yuda na sehemu zinazoizunguka Yerusalemu-wale waliokuwa wanchoma ubani kwa Baali, kwa juana kwa mwezi, kwa sayari, na kwa nyota zote za mbinguni.
И премахнаха идолопоклонническите жартви, които Юдовите царе бяха, апределили да кадят по високите места в Юдовите градове и околностите на Ерусалим, както и тия, които кадяха на Ваала, на слънцето, на луната, на дванадесетте съзвездия, на цялото небесно множество.
6 Akaiondoa Ashera kutoka kwenye hekalu la Yahwe, nje ya Yerusalemu hata bonde la Kidroni na kuichoma hapo. Akaipiga kwenye mavumbi na kuiyatupa yale mavumbi kwenye makaburi ya watu wa kawaida.
Занесе ашерата из Господния дом вън от Ерусалим на потока Кедрон, стри я на прах, и хвърли праха й по общенародните гробища.
7 Akavisafisha vyumba vya makahaba ambao walikuwa kwenye hekalu la Yahwe, ambako wanawake waliposhonea nguo kwa ajili ya Ashera
Събори и къщите на мъжеложниците, които бяха в Господния дом, гдето жените тъчаха завеси за ашера.
8 Yosia akawaleta makuhani wote nje ya miji ya Yuda na kupanajisi mahali pa juu ambako makuhani walipokuwa wakichomea ubani, kutoka Geba hata Bersheba. Akapaharibu mahala pa juu kwenye malango ambayo yaliyokuwa ya kuingilia kwenda kwenye lango la Yoshua (liwali wa mji), upande wa kushoto wa lango la mji.
И доведе всичките свещеници от Юдовите градове, и оскверни високите места, гдето тия свещеници бяха кадили, от Гава до Вирсавее; и събори високите места на портата, които бяха във входа на портата на градоначалника Исус, който вход беше отляво на градската порта.
9 Ingawa makuhani wa mahali pa juu hawakuruhusiwa kuhudumu kwenye madhabahu ya Yahwe katika Yerusalemu, wakala mikate isiyotiwa chachu miongoni mwa ndugu zao.
Но свещениците от високите места не възлизаха да служат при Господния олтар в Ерусалим, но ядяха безквасни хлябове между братята си.
10 Yosia akainajisi Tofethi, ambayo ipo kwenye bonde la Ben Hinomu, ili kwamba mtu yeyote asimuweke mtoto wake wa kiume au binti yake kwenye moto kama sadaka kwa Molaki.
Царят оскверни и Тофета, който е в долината на Еномовите потомци, за да не може никой да преведе сина си или дъщеря си през огъна на Молоха.
11 Akawachukua farasi ambao wafalme wa Yuda waliokuwa wametolewa kwa ajili ya jua. Walikuwa kwenye eneo la lango la uingilia kwenye hekalu la Yahwe, karibu na chumba cha Nathani Meleki, msimamizi mkuu wa nyumba ya mfalme. Yosia akayachoma yale magari ya farasi ya jua
И отмахна конете, които Юдовите царе бяха посветили на слънцето във входа на Господния дом, при жилището на скопеца Натанмелех, което бе в храмовите предели, и изгори с огън колесниците на слънцето.
12 Yosia mfalme akayaharibu madhabahu yaliyokuwa kwenye dari ya juu ya chumba cha Ahazi, ambacho wafalme wa Yuda walikitengeneza, na madhabahu ambayo Manase aliyatengeneza kwenye behewa mbili za nyumba ya Yahwe. Yosia akazivunga vipande vipande na kuvitupa kwenye bonde la Kidroni.
Царят събори и жертвениците, които бяха върху покрива на Ахазовата горна стая, които Юдовите царе бяха направили, и жертвениците, които Монасия бе направил в двора на Господния дом, и като ги срина от там, хвърли праха им в потока Кедрон.
13 Mfalme akapaangamiza mahali pa juu magharibi mwa Yerusalemu, kusini mwa mlima wa uharibifu ambapo Sulemani mfalme wa Israeli alipajenga kwa ajili ya Ashtorithi, chukizo la Wamoabu; sanamu za karaha za Wasidoni; kwa Kemoshi, sanamu za karaha wa Moabu; na kwa Moleki, sanamu wa karaha wa watu wa Amoni.
Царят оскверни и високите места, които бяха пред Ерусалим, които бяха отдясно на хълма на разврата, който израилевият цар Соломон беше построил за Астарта, мерзостта на сидонците, и за Хамоса, мерзостта на моавците, и за Мелхома, мерзостта на амонците.
14 Akazivunja nguzo za jiwe kuwa vipande vipande na kuziangusha chini nguzo za Ashera na kuzijaza zile sehemu kwa mifupa ya watu.
И сломи изтуканите, съсече ашерите и напълни местата им с човешки кости.
15 Yosia pia akaiteketeza kabisa madhabahu iliyokuwa Betheli na mahali pa juu ambako Yeroboamu mwana wa Nebati (ambaye aliwafanya Waisraeli kuasi) aliijenga. Pia aliichoma moto ile madhabahu na mahali pa juu na kupapiga hadi pakawa vumbi. Pia akaichoma moto nguzo ya Ashera.
При това царят събори жертвеника, който бе във Ветил, и восокото място, което бе построил Еровоам, Наватовият син, който направи Израиля да греши, да! оня жертвеник и онова високо място, и като изгори високото място, стри го на прах, и изгори ашерата.
16 Yosia alipotazama kwenye lile eneo, akagundua kwamba yale makaburi yalikuwa juu ya mlima. Akawatuma watu kuichukua mifupa kutoka kwenye yale makaburi; kisha akaichoma kwenye madhabahu, akainajisi. Hii ilitokana na neno la Yahwe ambalo mtu wa Mungu aliliongea, yule mtu aliyekuwa ameongea haya mambo kabla.
И като се обърна и съгледа гробовете, които бяха там в хълма, Иосия прати та взе костите из гробовете, изгори ги на жертвеника, и го оскверни, според Господното слово прогласено от Божия човек, който прогласи тия неща.
17 Kisha akasema, “Ni ukumbusho wa nani ule ninao uona?” Mtu wa ule mji akamwambia, “Lile ni kaburi la mtu wa Mungu ambaye alikuja kutoka Yuda na kuongea kuhusu haya mambo ambayo ameyafanya dhidi ya madhabahu ya Betheli.”
Какъв е тоя стълб, който виждам? А градските мъже му разправиха: Това е гробът на Божия човек, който дойде от Юда та прогласи тия дела, които ти извърши против ветилския жертвеник.
18 Hivyo Yosia akasema, “Mwacheni. Mtu asihamishe mifupa yake.” Hivyo wakaacha mifupa yake, pamoja na mifupa ya nabii ambaye alikuja kutoka Samaria.
Тогава царят каза: Оставете го; никой да не поклати костите му. И така оставиха костите му непоклатени, заедно с костите на пророка, който дойде от Самария.
19 Kisha Yosia akahamisha nyumba zote za mahali pa juu ambazo zilikuwa katika mji wa Samaria, ambazo wafalme wa Israeli walizokuwa wamezitengeneza, na ambazo zilizokuwa zimemgadhabisha Yahwe kwa hasira.
Иосия отмахна и всичките капища на високите места, които се намираха в сирийските градове, и които Израилевите царе бяха направили та бяха разгневили Господа, и постъпи с тях точно според делата, които беше извършил във Ветил.
20 Aliwafanyia kile ambacho kilikuwa kimefanyika katika Betheli. Aliwachinja makuhani wote wa mahali pa juu ya madhabahu na aliichoma mifupa ya watu juu yao. Kisha akarudi Yerusalemu.
И като изкла на жертвениците всичките жреци от високите маста, които бяха там, и изгори върху тях човешки кости, той се върна в Ерусалим.
21 Kisha mfalme akawaamuru watu wote, akisema, “Itunzeni Pasaka ya Yahwe Mungu wenu, kama ilivyoandikwa kwenye hiki kitabu cha agano.”
След това, царят заповяда на всичките люде, казвайки: Направете пасхата на Господа вашия Бог, както е писано в тая книга на завета.
22 Hiyo Pasaka haijawahi kufanyika tangu siku za waamuzi ambao waliiongoza Israeli, wala katika siku zote za wafalme wa Israeli au Yuda.
Навярно ни във времето на съдиите, които съдиха Израиля, нито във времето на никой от Израилевите царе или Юдовите царе, не е ставала такава пасха,
23 Lakini katika mwaka wa kumi na nane wa Mfalme Yosia hii Pasaka ya Yahwe ilisheherekewa katika Yerusalemu.
както стана тая пасха Господу в Ерусалим в осемнадесетата година на цар Иосия.
24 Yosia pia akawafukuza wale ambao waliokuwa wameongea na wafu au na roho. Pia aliifukuza miungu ya sananmu, sanamu, na vitu vyote ambavyo ni chukizo vilivyokuwa vinaonekana katika nchi ya Yuda na katika Yerusalemu, hivyo kwa kuthibitisha yale maneno ya sheria ambayo iliyokuwa imeandikwa kwenye kitabu cha Hilkia yule kuhani aliyekuwa amepatikana kwenye nyumba ya Yahwe.
При това, Иосия премахна запитвачите на зли духове и врачовете, домашните идоли и кумирите, и всичките мерзости, които се намериха в Юдовата земя и в Ерусалим, за да изпълни думите на закона, написани в кнегата, която свещеник Хелкия намери в Господния дом.
25 Kabla ya Yosia, hapakuwa na mfalme kama yeye, aliyekuwa amemwelekea yahwe kwa moyo wake wote, roho yake yote, na nguvu zake zote, ambaye alifuata sheria zote za Musa. Hapakuwa na mfalme kama Yosia aliyeinuka baada ya yeye.
Цар подобен наму не е имало преди него, който да се е обърнал към Господа с цялото си сърце, с цялата си деша и с всичката си сила, напълно според Моисеевия закон; нито след наго настана подобен нему.
26 Walakini, Yahwe hakugeuka kutoka kwenye ukali wa hasira yake, ambayo ilikuwa dhidi ya Yuda kwa waabudu wapagani wote pamoja ambao Manase aliokuwa amemgadhibisha.
При все това, обаче, Господ не се върна от яростния Си и голам гняв; защото гневът Му пламна против юда поради всичките предизвикателства, с които Манасия беше Го разгневил.
27 Hivyo Yahwe akasema, “Pia nitaiondoa Yuda usoni kwangu, kama nilivyoiondoa Israeli, na nitautupilia mbali huu mji ambao nilio uchagua, Yerusalemu, na ile nyumba ambayo niliyokuwa nimesema, 'Jina langu litakuwa humo.”'
И рече Господ: Ще отхвърля и Юда от лицето Си, както отхвърлих Израиля; ще отхвърля и тоя гред Ерусалим, който избрах, и дома, за който рекох: Името Ми ще бъде там.
28 Kama kwa mambo mengine yanayo muhusu Yosia, kila kitu alichofanya, je vimeandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
А останалите дела на Иосия, и всичко що извърши, не са ли написани в Книгата на летописите на Юдовите царе?
29 Katika siku zake, Farao Neko, mfalme wa Misri, alienda kupigana dhidi ya mfalme wa Ashuru huko mto Frati. Mfalme Yosia akaenda kuonana na Neco katika mapigano, na Neko akamuua huko Megido.
В неговите дни египетския цар Фараон-нехао възлезе против асирийския цар при реката Евфрат. Затова цар Иосия отиде против него; а той, като го видя, уби го в Магедон.
30 Watumishi wa Yosia wakambeba kwenye gari la farasi akiwa amekufa kutoka Migido, kumleta Yerusalemu, na kumzika katika kaburi lake mwenyewe. Kisha watu wa nchi wakamchukua Yehoahazi mwana wa Yosia, wakamtia mafuta, na kumfanya kuwa mfalme katika mahali pake.
И слугите му го закараха мъртъв в колесницата от Магедон и докараха го в Ерусалим, гдето го погребаха в собствения му гроб. А людете от земята взеха Иоахаза, Иосиевия син, и като го помазаха, направиха го цар вместо баща му.
31 Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu alipoanza kutawala, na alitawala miezi mitatu katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa akiitwa Hamutali; alikuwa binti wa Yeremia wa Libana.
Иоахаз бе двадесет и три години на възраст когато се възцари, и царува три месеца в Ерусалим; а името на майка му беше Амитала, дъщеря на Еремия от Ливна.
32 Yehoahazi alifanya yaliyo maovu usoni kwa Yahwe, kama kila kitu ambacho babu zake walichokifanya.
Той върши зло пред Господа, напълно както бяха направили бащите му.
33 Farao Neko akamfunga gerezani huko Ribla katika nchi ya Hamathi, hivyo asiweze kutawala katika Yerusalemu. Kisha Neko akaitoza Yuda talanta mia moja za fedha na talanta moja ya dhahabu.
А Фараон-нехао го затвори в Ривла, в земята Емат, за да не царува в Ерусалим; и наложи на земята данък от сто таланта сребро и един талант злато.
34 Farao Neko akamfanya Eliakimu mwana wa Yosia mfalme katika mahali pa Yosia baba yake, na kubadilisha jina lake kuwa Yehoyakimu. Lakini akamchukua mfalme Yehoahazi kwenda Misri, na Yehoahazi akafia huko.
И Фараон-нехао постави Елиакима, Иосиевия син, цар вместо баща му Иосия, като промени името му на Иоаким, а Иоахаза отпрати; и той дойде в Египет и там умря.
35 Yehoyakimu akalipa fedha na dhahabu kwa Farao. Ili akutane na amri ya Farao, Yehoyakimu akaitoza nchi na kulazimisha kila mtu miongoni mwa watu wa nchi wamlipe fedha na dhahabu kulingana na makadirio yao.
А Иоаким даде на Фараона среброто и златото, обаче обложи с данък земята, за да даде парите според Фараоновата заповед; с несилие събра среброто и златото от людете на земята, от всекиго, според, както беше състоянието ме, за да ги даде на Фараон-нехао.
36 Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka ishirini na tano alipoanza kutawala, na alitawala miaka kumi na moja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa akiitwa Zebida; alikuwa binti wa Pedaia wa Ruma.
Иоаким бе двадесет и пет години на възраст, когато се възцари, и царува единадесет години в Ерусалим; а името на майка му бе Зевуда, дъщеря на Федаия от Рема.
37 Yehoyakimu akafanya yale yaliyo maovu usoni kwa Yahwe, kama waliyoyafanya babu zake.
Той върши зло пред Господа, напълно както бяха направили бащите му.

< 2 Wafalme 23 >