< Job 18 >

1 Y RESPONDIÓ Bildad Suhita, y dijo:
Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
2 ¿Cuándo pondréis fin á las palabras? Entended, y después hablemos.
Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
3 ¿Por qué somos tenidos por bestias, y en vuestros ojos somos viles?
Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
4 Oh tú, que despedazas tu alma con tu furor, ¿será dejada la tierra por tu causa, y serán traspasadas de su lugar las peñas?
Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
5 Ciertamente la luz de los impíos será apagada, y no resplandecerá la centella de su fuego.
Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
6 La luz se oscurecerá en su tienda, y apagaráse sobre él su lámpara.
Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
7 Los pasos de su pujanza serán acortados, y precipitarálo su mismo consejo.
Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
8 Porque red será echada en sus pies, y sobre red andará.
Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
9 Lazo prenderá [su] calcañar: afirmaráse la trampa contra él.
Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
10 Su cuerda está escondida en la tierra, y su torzuelo sobre la senda.
Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
11 De todas partes lo asombrarán temores, y haránle huir desconcertado.
Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
12 Su fuerza será hambrienta, y á su lado estará aparejado quebrantamiento.
Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
13 El primogénito de la muerte comerá los ramos de su piel, y devorará sus miembros.
Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
14 Su confianza será arrancada de su tienda, y harále esto llevar al rey de los espantos.
Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
15 En su tienda morará como si no fuese suya: piedra azufre será esparcida sobre su morada.
Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
16 Abajo se secarán sus raíces, y arriba serán cortadas sus ramas.
Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
17 Su memoria perecerá de la tierra, y no tendrá nombre por las calles.
Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
18 De la luz será lanzado á las tinieblas, y echado fuera del mundo.
Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
19 No tendrá hijo ni nieto en su pueblo, ni quien [le] suceda en sus moradas.
Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
20 Sobre su día se espantarán los por venir, como ocupó el pavor á los que fueron antes.
Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
21 Ciertamente tales son las moradas del impío, y este será el lugar del que no conoció á Dios.
Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”

< Job 18 >