< Job 17 >

1 MI ALIENTO está corrompido, acórtanse mis días, y me está aparejado el sepulcro.
Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
2 No hay conmigo sino escarnecedores, en cuya acrimonia se detienen mis ojos.
Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
3 Pon ahora, dame fianza para [litigar] contigo: ¿quién tocará ahora mi mano?
Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
4 Porque [á éstos] has tú escondido su corazón de inteligencia: por tanto, no [los] ensalzarás.
Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
5 El que denuncia lisonjas á sus prójimos, los ojos de sus hijos desfallezcan.
Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
6 El me ha puesto por parábola de pueblos, y delante [de ellos] he sido como tamboril.
Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
7 Y mis ojos se oscurecieron de desabrimiento, y mis pensamientos todos son como sombra.
Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
8 Los rectos se maravillarán de esto, y el inocente se levantará contra el hipócrita.
Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
9 No obstante, proseguirá el justo su camino, y el limpio de manos aumentará la fuerza.
Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
10 Mas volved todos vosotros, y venid ahora, que no hallaré entre vosotros sabio.
Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
11 Pasáronse mis días, fueron arrancados mis pensamientos, los designios de mi corazón.
Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
12 Pusieron la noche por día, y la luz se acorta delante de las tinieblas.
Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
13 Si yo espero, el sepulcro es mi casa: haré mi cama en las tinieblas. (Sheol h7585)
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
14 A la huesa tengo dicho: Mi padre eres tú; á los gusanos: Mi madre y mi hermana.
tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
15 ¿Dónde pues estará ahora mi esperanza? y mi esperanza ¿quién la verá?
liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
16 A los rincones de la huesa descenderán, y juntamente descansarán en el polvo. (Sheol h7585)
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)

< Job 17 >