< Књига о Јову 11 >

1 А Софар Намаћанин одговори и рече:
Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
2 Зар на многе речи нема одговора? Или ће човек говорљив остати прав?
“Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
3 Хоће ли твоје лажи ућуткати људе? И кад се ругаш, зар те неће нико посрамити?
Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
4 Јер си рекао: Чиста је наука моја, и чист сам пред очима твојим.
Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
5 Али кад би Бог проговорио и усне своје отворио на те,
Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
6 И показао ти тајне мудрости, јер их је двојином више, познао би да те Бог кара мање него што заслужује твоје безакоње.
hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
7 Можеш ли ти тајне Божије докучити, или докучити савршенство Свемогућег?
Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
8 То су висине небеске, шта ћеш учинити? Дубље је од пакла, како ћеш познати? (Sheol h7585)
Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
9 Дуже од земље, шире од мора.
Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
10 Да преврати, или затвори или сабере, ко ће Му бранити?
kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
11 Јер зна ништавило људско, и видећи неваљалство зар неће пазити?
Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
12 Човек безуман постаје разуман, премда се човек рађа као дивље магаре.
Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
13 Да ти управиш срце своје и подигнеш руке своје к Њему,
Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
14 Ако је безакоње у руци твојој, да га уклониш, и не даш да неправда буде у шаторима твојим,
ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
15 Тада ћеш подигнути лице своје без мане и стајаћеш тврдо и нећеш се бојати;
Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
16 Заборавићеш муку, као воде која протече опомињаћеш је се;
Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
17 Настаће ти време ведрије него подне, синућеш, бићеш као јутро;
Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
18 Уздаћеш се имајући надање, закопаћеш се, и мирно ћеш спавати.
Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
19 Лежаћеш, и нико те неће плашити, и многи ће ти се молити.
Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
20 Али очи ће безбожницима ишчилети, и уточишта им неће бити, и надање ће им бити издисање.
Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.

< Књига о Јову 11 >