< Књига пророка Језекиља 47 >

1 Потом одведе ме опет к вратима од дома, и гле, вода излажаше испод прага од дома к истоку, јер лице дому беше према истоку; и вода течаше доле с десне стране дома, с јужне стране олтара.
Kisha yule mtu akanirudisha nyuma kwenye lango la kuingia la hekalu, na kulikuwa na maji yakitiririka nje kutoka chini ya hekalu kizingiti cha nyumba kuelekea masharikii-kwa mbele ya hekalu kulekea mashariki-na maji yalikuwa yakitiririka chini upande wa kusini mwa hekalu, kuelekea upande wa kuume wa madhabahu.
2 Потом ме изведе вратима северним, и проведе ме около спољашњим путем к спољашњим вратима, путем који гледа на исток, и гле, вода течаше с десне стране.
Hivyo akanileta kwenye lango la kaskazini na kuniongoza kuzunguka lango kuelekea mashariki, na hapo maji yalikuwa yakitiririka kutoka lango hili kwa upande wa kusini yake.
3 И кад човек изиђе на исток с мером у руци, измери хиљаду лаката, и преведе ме преко воде, и вода беше до глежања.
Yule mtu alipokuwa akienda mashariki, kulikuwa na kamba ya kupimia kwenye mkono wake; akapima dhiraa elfu moja akanivusha kwenye maji hata maji yakafika kwenye magoti.
4 Потом опет измери хиљаду лаката, и преведе ме преко воде, а вода беше до колена; опет измери хиљаду лаката, и преведе ме, а вода беше до појаса.
Kisha akapima dhiraa elfu moja ten akanivusha kwenye yale maji yaliyofika kwenye magoti; akapima dhiraa elfu kumi nyingine na kunivusha maji yakafika hata kwenye nyonga.
5 И опет измери хиљаду лаката, и поста река, које не могох прећи, јер вода устаде да требаше пливати, поста река која се не може прегазити.
Tena akapima dhiraa elfu moja nyingine, lakini ulikuwa mto ambao sikuweza kuuvuka kwa sababu maji yalizidi na yalijaa maji ya kuogelea ndani-yalikuwa mto usiovukika
6 Тада ми рече: Виде ли, сине човечји? И одведе ме и поврати ме на брег реци.
Yule mtu akanambia, “Mwanadamu, unaona hii?” akanipeleka na kunirudisha karibu na ukingo wa mto.
7 А кад се вратих, гле, по брегу реци врло много дрва отуд и одовуд.
Nilipokuwa nikirudi, hapo kwenye ukingo wa mto kulikuwa na miti mingi katika huu upande na upande mwingine pia.
8 И рече ми: Ова вода тече у Галилеју прву, и спушта се у поље, и утече у море, и кад дође у море, његова ће вода постати здрава.
Yule mtu akanambia, “Haya maji yanatoka kwenda pande za nchi ya mashariki na chini hata Araba; haya maji hutiririka kwenye Bahari ya Chumvi itaifanya kuwa mpya.
9 И све животиње што се мичу куда год дођу ове реке, биће живе и биће велико мноштво риба, јер кад дође ова вода онамо, друга ће постати здрава, и све ће бити живо где ова река дође.
Itakuwa kwamba kila kiumbe hai kisongamanacho kitaishi mahali maji yanapoelekea; kutakuwa na samaki wengi, kwenye hayo maji yatiririkayo huko. Itafanya maji ya chumvi kuwa mapya. Kila kitu kitaishi popote mto utakapoelekea.
10 И рибари ће стајати крај њега од Енгада до Ен-еглаима и разапињати мреже; и биће риба свакојаких врло много као у великом мору.
Kisha itatokea kwamba wavuvi wa En Gedi watasimama karibu na maji, na kutakuwa na sehemu ya kutandazia nyavu za samaki karibu na En Eglaimu. Kutakuwa na samaki nyingi za aina tofauti tofauti katika Bahari ya Chumvi, kama samaki kwenye Bahari Kuu kwa wingi wao.
11 А баре његове и глибови неће бити здрави, него ће остати слани.
Lakini Bahari ya Chumvi ikajaa maji na matope hayataachwa mapya; yataachwa yawe kwa ajili ya kutengeneza chumvi.
12 А крај реке по брегу отуд и одовуд рашће дрвета свакојака родна, којима лишће неће опадати нити ће рода на њима нестајати; сваког ће месеца рађати нов род, јер јој вода тече из светиње; зато ће род њихов бити за јело и лишће њихово за лек.
Karibu na huo mto juu ya ukingo wake, pande zote, aina zote za miti utazaa chakula. Majani yake hayatanyauka na matunda yake hayataacha kukua. Kila mwezi miti itazaa matunda, kwa sababu maji kutoka patakatifu yatatirirka kwenda kwenye hiyo miti. Matunda yake yatakuwa kwa ajili ya chakula, na majani yake yatakuwa kwa ajili ya dawa.
13 Овако вели Господ Господ: Ово су међе у којима ћете наследити земљу по дванаест племена Израиљевих: Јосифу два дела.
Bwana Yahwe asema hivi: Hii itakuwa njia ambayo mtaigawanya nchi kwa ajili ya kabila kumi na mbili za Israeli: Yusufu atakuwa na mafungu mawili.
14 Наследићете је како један тако други, за коју подигох руку своју да ћу је дати оцима вашим; и припашће вам та земља у наследство.
Mtaigawa kila mtu sawa sawa ambayo niliinua mkono wangu na kuapa kuwapa baba zenu. Hii nchi itakuja kuwa urithi kwenu.
15 Ово је дакле међа земље: на северној страни од великог мора на Етлон како се иде у Седад,
Huu utakuwa mpaka wa nchi upande wa kaskazini kutoka Bahari Kubwa kwa njia ya Hethloni, na kisha kuelekea Zedada.
16 Емат, Вирота, Сиврајим, који је између међе дамаштанске и међе ематске, Асаратихон, који је на међи авранској.
Kisha mpaka utaenda hata Berotha, hadi Sibraimu, iliyopo kati ya Damaskasi na Hamathi, na kisha hata Hazer-hatikoni, iliyopo karibu na mpaka wa Haurani.
17 Тако ће бити међе од мора Асаренан, међа дамаштанска и северна страна на север, и међа ематска; то је северна страна.
Hivyo mpaka utaenda kutoka kwenye bahari hadi Hazar-enoni kwenye mpaka wa Damaskasi na Hamathi hata kaskazini. Huu utakuwa upande wa kaskazini.
18 А источну страну измерите од Аврана и од Дамаска и од Галада и од земље Израиљеве на Јордану, од те међе до мора источног. И то је источна страна.
Kwa upande wa mashariki, kati ya Haurani na Damaskasi na kati ya Geliadi na nchi ya Israeli kutakuwa na mto Yordani. Mtapima kutoka kwenye mpaka hata kwenye bahari ya mashariki; huo wote utakuwa mpaka wa mashariki.
19 А јужна страна према југу од Тамара до воде Мериве у Кадису, дуж потока до великог мора. И то је јужна страна према југу.
Kisha upande wa kusini: kusini mwa Tamari hadi kwenye maji ya Meriba Kadeshi, kijito cha Misri hata Bahari Kuu, na upande wa kusini kuelekea kusini.
20 А западна ће страна бити велико море, од те међе до према уласку у Емат; то је западна страна.
Kisha mpaka wa magharibi utakuwa Bahari Kuu utaelekea hata nyuma ya Hamathi. Huu utakuwa upande wa mgharibi.
21 И разделите ту земљу међу се по племенима Израиљевим.
Kwa njia hii mtaigawanya hii nchi kwa ajili yenu wenyewe, kwa kabila za Israeli.
22 А разделите је у наследство међу се и међу иностранце који се баве међу вама, који би изродили синове међу вама, и они нека су вам као домородац међу синовима Израиљевим, с вама нека добију наследство међу племенима Израиљевим.
Hivyo mtagawana urithi kwa ajili yenu wenyewe na kwa ajili ya wageni walio kati yenu, wale watakaozaa watoto kati yenu na waliokuwa, kati yenu, kama wazaliwa wa watu wa Israeli. Mtapewa urithi miongoni mwa makabila ya Israeli.
23 И у коме се племену иностранац бави, у оном му подајте наследство, говори Господ Господ.
Kisha itatokea kwamba wageni watakuwa pamoja na kabila miongoni mwa yule anayeishi. Mtapatia urithi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”

< Књига пророка Језекиља 47 >