< Књига пророка Данила 10 >

1 Треће године Кира, цара персијског, објави се реч Данилу, који се зваше Валтасар; и реч беше истинита и о великим стварима; и разабра реч и разуме утвару.
Katika mwaka wa tatu wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ujumbe ulifunuliwa kwa Danieli, aliyeitwa pia Belteshaza. Ujumbe huu ulikuwa ni wa kwelil. Ulihusu vita kuu. Danieli aliufahamu ujumbe alipopata ufumbuzi kutoka katika maono.
2 У то време ја Данило бејах у жалости три недеље дана.
Katika siku hizo, mimi Danieli, nilikuwa katika maombolezo kwa wiki tatu.
3 Јела угодна не једох, ни месо ни вино не уђе у моја уста, нити се намазах уљем док се не навршише три недеље дана.
Sikula chakula kizuri, sikula nyama, sikunywa divai, na sikujipaka mafuta mwenyewe mpaka ukamilifu wa wiki tatu nzima.
4 А двадесет четвртог дана првог месеца бејах на брегу велике реке Хидекела.
Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kwanza, nilipokuwa niko karibu na mto mkubwa (ambao ni Tigrisi),
5 И подигох очи своје и видех, а то један човек обучен у платно, и појас беше око њега од чистог злата из Уфаза;
Nilitazama juu na nikamwona mtu aliyevaa kitani, akiwa na mkanda kiunoni mwake uliotengenezwa kwa dhahabu safi kutoka Ufazi.
6 А тело му беше као хрисолит, и лице му као муња, а очи му као лучеви запаљени, а руке и ноге као бронза углађена, а глас од речи његових као глас многог људства.
Mwili wake ulikuwa kama kito, na sura yake ilikuwa kama radi. Macho yake yalikuwa kama miali ya tochi, na mikono yake na miguu yake ilikuwa kama shaba iliyosafishwa. Sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati mkubwa wa watu.
7 И ја Данило сам видех утвару, а људи што беху са мном не видеше је, али их попаде страх велик, те побегоше и сакрише се.
Mimi, Danieli peke yangu niliyaona maono, na watu niliokuwa na pamoja hawakuyaona maono. Lakini, jambo kuu la kuogofya liliwaijia juu yao, na walikimbia na kujificha wao wenyewe.
8 И остах сам и видех ту велику утвару, и не оста снаге у мени, и лепота ми се нагрди, и не имах снаге.
Hivyo niliachwa peke yangu na niliyaona maono haya ajabu. Hakuna nguvu iliyobakia ndani yangu; mwonekano wangu wa kung'aa ulibadilika na kuwa mwonekano wa uharibifu, na hazikubakia nguvu ndani yangu.
9 И чух глас од речи његових, и кад чух глас од речи његових, изван себе падох ничице лицем на земљу.
Kisha nikasikia maneno yake, na nilipoyasikia, nilianguka kifudifudi na kupata usingizi mzito.
10 И гле, рука ме се дотаче и подиже ме на колена моја и на дланове моје.
Mkono ulinigusa, na ilinifanya nitetemeke katika magoti yangu na viganja vya mikono yangu.
11 И рече ми: Данило, мили човече! Слушај речи које ћу ти казати, и стани право, јер сам сада послан к теби. И кад ми рече ту реч, устах дрхћући.
Malaika aliniambia, “Danieli, mtu aliyetunzwa sana, yafahamu maneno ninayokwambia wewe. Simama wima, kwa kuwa nimeshakutuma.” Na alipomaliza kuniambia ujumbe huu, nilisimama nikiwa natetemeka.
12 И рече ми: Не бој се, Данило, јер првог дана кад си управио срце своје да разумеваш и да мучиш себе пред Богом својим, услишене бише речи твоје, и ја дођох твојих речи ради.
Kisha aliniambia, “Usiogope, Danieli. Tangu siku ya kwanza ulipoiweka akili yako kutaka kufahamu na kujinyenyekeza mwenyewe mbele ya Mungu, maneno yako yalisikiwa, na nimekuja kwasababu ya maneno yako.
13 Али кнез царства персијског стаја ми насупрот двадесет и један дан; али, гле, Михаило један од првих кнезова дође ми у помоћ; тако ја остах онде код царева персијских.
Mwana wa mfalme wa ufalme wa Uajemi alinizuia, na niliwekwa huko na mfalme wa Uajemi kwa siku ishirini na moja. Lakini Mikaeli, mmoja kati ya wakuu alikuja kunisaidia.
14 И дођох да ти кажем шта ће бити твом народу после; јер ће још бити утвара за те дане.
Sasa nimekuja kukusaidia ili ufahamu kile kitakachotokea kwa watu wako katika siku za mwisho. Kwa kuwa maono ni kwa ajili siku ambazo hazijatokea bado.
15 И кад ми говораше тако, оборих очи своје на земљу и занемех.
Na alipokuwa akali akiniambia maneno haya, niligeuza uso wangu na kuuelekeza chini na sikuwa na uwezo wa kuzungumza.
16 И гле, као човек дотаче се усана мојих, и отворих уста своја, и проговорих и рекох оном који стајаше према мени: Господару мој, од ове утваре навалише моји болови на мене и нема снаге у мени.
Yeye aliyekuwa kama wana wa mtu alinigusa mdomo wangu na nifumbua kinywa changu na nilimwambia huyo aliyekuwa amesimam mbele yangu: “Bwana wangu, niko katika masumbuko makali kwasababu ya maono; sina nguvu ndani yangu iliyosalia.
17 А како може слуга мог господара говорити с господарем мојим? Јер од овог часа у мени неста снаге и ни дихање не оста у мени.
Mimi ni mtumishi wako. Je ninawezaje kuongea na Bwana wangu? Kwa kuwa sasa sina nguvu, na hakuna pumzi iliyosalia ndani yangu.”
18 Тада онај што беше као човек опет ме се дотаче и охрабри ме.
Tena yule mwenye mwonekano wa mtu alinigusa na kunitia nguvu.
19 И рече: Не бој се, мили човече; мир да ти је! Охрабри се, охрабри се. И докле ми говораше, охрабрих се и рекох: Нека говори господар мој, јер си ме охрабрио.
Alisema, “Usiogope, mtu ulithaminiwa sana. Amani na iwe kwako! Uwe mwenye nguvu, uwe na nguvu!” Na alipokuwa anaongea na mimi, nilipata nguvu. Nilimwambia, “Bwana wangu na aseme, kwa kuwa umenitia nguvu.”
20 А он рече: Знаш ли зашто сам дошао к теби? А сада ћу се вратити да војујем на кнеза персијског; потом ћу отићи, и гле, доћи ће кнез грчки.
Aliniambia, “Je unajua ni kwanini nimekuja kwako? Nitarudi hivi karibuni kupigana na mkuu wa Uajemi. Na nitakapoenda, mkuu wa Ugiriki atakuja.
21 Али ћу ти казати шта је написано у књизи истинитој. Нема никога да јуначки ради са мном у том осим Михаила, кнеза вашег.
Lakini nitakwambia kile kilichoandikwa katika Kitabu cha Ukweli. Hakuna yeyote anayejionesha kuwa na nguvu pamoja nami dhidi yao, isipokuwa Mikaeli mkuu wenu.”

< Књига пророка Данила 10 >