< Књига пророка Језекиља 46 >

1 Овако вели Господ Господ: Врата унутрашњег трема, која гледају на исток, нека су затворена у шест дана тежатних, а у суботу нека се отварају, и на дан младине нека се отварају.
Bwana Yahwe asema hivi: Lango la uzio wa ndani, linaloelekea mashariki, litafungwa kwa mda wa siku sita za kazi, lakini katika siku za Sabato litakuwa wazi, na katika siku ya mwezi mpya litafunguliwa.
2 И кнез нека дође кроз трем од врата спољашњих, и нека стане код довратника, а свештеници нека принесу његову жртву паљеницу и жртву захвалну, и он поклонивши се на прагу нека отиде, а врата да се не затварају до вечера.
Mwana wa mfalme ataingia kwa kutumia lango la njia ya nyuma ya varanda upande wa nje, na atasimama mbele ya muhimili wa mwimo wa lango la ndani wakati makuhani wakiwa wakitengeza sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya amani. Kisha ataabudu kwenye kizingiti cha lango la ndani na kutoka nje, lakini lango halitakuwa linafungwa hadi jioni.
3 И народ земаљски нека се поклања Господу на истим вратима у суботе и на младине.
Watu wa nchi pia wataabudu mbele ya Yahwe kwenye hili lango la kuingilia katika siku ya Sabato na siku mpya za mwezi.
4 А жртва паљеница, што ће приносити кнез Господу суботом, биће шест јагањаца здравих и ован здрав;
Sadaka ya kuteketezwa ambayo mwana wa mfalme aitoayo kwa Yahwe katika siku ya Sabato itakuwa wanakondoo sita wasiokuwa na dosari na kondoo dume asiyekuwa na dosari.
5 А дар ефа на овна, а на јагањце дар колико му рука може, и ин уља на ефу;
Sadaka ya unga pamoja na kondoo dume itakuwa efa moja, na sadaka ya unga pamoja na wanakondoo kiasi awezacho kutoa, na hini moja ya mafuta pamoja na kila efa ya unga.
6 А о младини да буде јунац здрав, и шест јагањаца и ован, све здраво;
Katika siku ya mwezi mpya atatoa ng'ombe mchanga asiyekuwa na dosari kutoka kuchungwa, wanakondoo sita, na kondoo asyekuwa na dosari.
7 И дар да принесе ефу на јунца и ефу на овна, а на јагањце колико му може рука, и уља ин на ефу.
Atatengeneza sadaka ya unga ya efa moja kwa ajili ya ng'ombe na efa moja kwa ajili ya kondoo, na kwa kiasi awezacho kukitoa kwa ajili ya wanakondoo, na hini ya mafuta kwa kila efa ya unga.
8 А кнез кад иде, нека иде кроз трем од врата, и истим путем нека одлази.
Wakati mwana wa mfalme atakapokuwa anaingia kwa njia ya lango lenye varanda, ataondoka kwa njia hiyo hiyo.
9 А кад народ земаљски доходи пред Господа о празницима, ко уђе на северна врата да се поклони, нека излази на јужна врата; а ко уђе на јужна врата, нека излази на северна врата; нека се не враћа на врата на која уђе, него нека излази на она која су на супрот.
Lakini wakati watu wa nchi watakakuja kwa Yahwe katika sikukuu zilizoteuliwa, kila mmoja kuingia kupitia kwenye lango la kaskazini kuabudu ataondoka kupitia lango la kusini; na kila atakayeingillia kupitia lango la kusini atatoka kupitia lango la kaskazini. Hakuna atakayerudia kwa lile lango aliloingilia, kwa kuwa atatoka nje moja kwa moja.
10 А кнез с њима нека улази кад они улазе, и нека излази кад они излазе.
Mwana wa mfalme atakuwa kati yao; watakapoingia, ataingia ndani, na watakapoondoka, atatoka nao.
11 И о празницима и о светковинама дар нека је ефа на јунца, и ефа на овна, а на јагањце колико му рука даде, а уља ин на ефу.
Kwenye sikukuu hizo, sadaka ya unga itakuwa efa moja ya unga kwa ng'ombe mmoja na efa moja kwa kondoo dume, na chochote atakacho kitoa pamoja na wanakondoo, na hini moja ya mafuta kwa kila efa.
12 А кад кнез приноси драговољну жртву, паљеницу или захвалну, од своје воље Господу, тада нека му се отворе врата која гледају на исток, и нека принесе жртву своју паљеницу и захвалну, како чини суботом; по том нека изиђе, и врата нека се затворе кад изиђе.
Wakati mwana wa mfalme atakapotoa sadaka atakayojisikia kutoa, labda sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani kwa Yahwe, lango la kuelekea mashariki litafunguliwa kwa ajili yake. Atatoa sadaka yake ya kuteketezwa au sadaka ya amani kama afanyavyo siku ya Sabato. Kisha atatoka nje, na baada ya kutoka lango litafungwa.
13 И приноси сваки дан Господу на жртву паљеницу јагње од године здраво; свако јутро приноси га.
Kwa kuongeza, utatoa mwanakondoo asiyekuwa na dosari mwenye umri wa mwaka mmoja kama sadaka ya kuteketezwa kwa Yahwe kila siku; utafanya hivi kila asubuhi.
14 И додај на њ дар свако јутро шестину ефе и уља трећину ина, да се покропи бело брашно; то је ваздашњи дар Господу уредбом вечном.
Utatoa sadaka ya unga pamoja nayo kila asubuhi, efa sita na sehemu ya tatu ya hini ya mafuta kuchanganya na sadaka ya unga kwa ajili ya Yahwe, kulingana na sheria ilivyo.
15 И тако нека приносе јагње и дар и уље свако јутро, жртву паљеницу свагдашњу.
Watandaa mwanakondoo, sadaka ya kuteketezwa, na mafuta kila asubuhi, sadaka ya kuteketezwa ya kudumu.
16 Овако вели Господ Господ: Ако кнез да дар коме сину свом од свог наследства, нека буде синовима његовим, њихово је достојање.
Bwana Yahwe asema hivi: Kama mwana wa mfalme akitoa zawadi kwa mmoja wa watoto wake, imekuwa urithi wake. Itakuwa mali ya mtoto wake, imekuwa urithi.
17 Ако ли да дар од свог наследства коме слузи свом, нека му буде до године опросне, а онда нека се врати кнезу, јер је његово наследство, синовима његовим нека буде.
Lakini kama akimpatia zawadi kutoka urithi wake kwa mmoja wa watumishi wake, kisha itakuwa ya huyo mtumishi mpaka mwaka wa uhuru, na kisha itarudi kwa mwana wa mfalme. Urithi wake yamkini ukawa kwa ajili ya watoto wake.
18 И кнез да не узима народу ништа од наследства терајући их с њиховог наследства; од свог достојања нека даје синовима својим наследство да се не разгони мој народ, нико са свог наследства.
Mwana wa mfalme hatawaondolea urithi wa watu kutoka kwenye mali zao wenyewe; ataandaa kwa ajili ya watoto wake mali ili kwamba watu wangu wasitawanyike, kila mtu kutoka mali kwenye yake mwenyewe.”
19 По том ме одведе кроз улаз који је покрај врата у свете клети свештеничке које гледају на север, и гле, онде беше неко место у дну према западу.
Kisha yule mtu akaniletea kwenye lango la kutokea hata kwenye vyumba vitakatifu kwa ajili ya makuhani, vilivyokuwa vimeelekea kaskazini na tazama! Kulikuwa na sehemu mbele magharibi.
20 И рече ми: Ово је место где ће свештеници варити принос за кривицу и за грех, где ће пећи дар да не износе у спољашњи трем и народ посвећују.
Akanambia, “Hii ndio sehemu ambayo makuhani watakapo chemshia sadaka ya hatia na sadaka ya dhambi na walipookea sadaka ya unga. Wasilete sadaka nje ya uzio, kwa kuwa watu watatakaswa.”
21 Тада ме изведе у спољашњи трем, и проведе ме у четири угла од трема, и гле, у сваком углу од трема беше трем.
Kisha akanileta kwenye uzio wa nje akaniongoza kuzunguka pembe nne za uzio, nikaona kwamba katika kila pembe ya uzio kulikuwa na uwanja.
22 У четири угла од трема беху тремови с димњацима, у дужину од четрдесет лаката а у ширину од тридесет лаката, сва четири на угловима беху једне мере.
Katika hizo pembe nne za nje ya uzio kulikuwa na nzio nne ndogo, dhiraa arobaini urefu na thelathini upana. Ukubwa ule ule kwa nzio zote nne.
23 У њима четирима беше зид унаоколо, а под тим зидом беху огњишта свуда унаоколо.
Kulikuwa na safu zilizokuwa zimetengenezwa kwa mawe kuzizunguka zote nne, na meko ya kupikia ilikuwa chini ya safu ya jiwe.
24 И рече ми: Ово су кухиње, где ће жртве народне кувати који служе дому.
Yule mtu akanambia, “Hizi ndizo sehemu ambazo watumishi watachemshia dhabihu za watu.”

< Књига пророка Језекиља 46 >