< 2 Akoritho 2 >

1 Kwa eyo niamwile kw sehemu yangi mwene panga niise kwaa kae kwinu katika hali ya uchunhu.
Kwa hiyo niliamua kwa sehemu yangu mwenyewe kwamba nisingekuja tena kwenu katika hali ya uchungu.
2 Mana natiasababishia mwenga matamwe, ni nyai ywanipuraisha nenga, lakini ni yolo ywabile ywaumizwa ni nenga?
Kama niliwasababishia ninyi maumivu, ni nani angenifurahisha mimi, lakini ni yule ambaye aliumizwa na mimi?
3 Niandikile kati ya nipangite ili panga wakati waniisa kwinu niweze kwaa umizwa na balo babile panipangite nipuraike. Nibile na ujasiri kuhusu mwenga mwabote panga furaha yango yeyelo mubile nayo mwenga mwabote.
Niliandika kama nilivyofanya ili kwamba wakati nikija kwenu nisiweze kuumizwa na wale ambao wangekuwa wamenifanya nifurahi. Ninao ujasiri kuhusu ninyi nyote kwamba furaha yangu ni furaha ile ile mliyonayo ninyi nyote.
4 Kwa kuwa naandikya mwenga lingana na mateso makolo, na dhiki ya mwoyo, na kwa machozi yanyansima. Nipala kwaa kuwasababishia mwenga matamwe. Badala yake, nipala muutange upendo wanyansima wanibile nao kwa ajili yinu.
Kwa kuwa niliwaandikia ninyi kutokana na mateso makubwa, na dhiki ya moyo, na kwa machozi mengi. Sikutaka kuwasababishia ninyi maumivu. Badala yake, nilitaka mjue upendo wa kina nilionao kwa ajili yenu.
5 Mana kwabile ni yeyote ywasababisha matamwe, asababisha kwaa kwango kae, lakini kwa kiwango pulani bila beka ukale muno-kwinu mwenga mwabote.
Kama kuna yeyote amesababisha maumivu, hajasababisha tu kwangu, lakini kwa kiwango fulani - bila kuweka ukali zaidi - kwenu ninyi nyote.
6 Ayee nga adhabu ya mundu yoo kwa baingi yatosha.
Hii adhabu ya mtu huyo kwa wengi inatosha.
7 Kwa eyo nambeambe badala ya adhabu, mpalikwa kumsamee ni kumfariji. Mupange nyoo ili panga aweze kwaa shindwa na huzunu yanyansima.
Kwa hiyo sasa badala ya adhabu, mnapaswa kumsamehe na kumfariji. Fanyeni hivi ili kwamba asiweze kushindwa na huzuni iliyozidi.
8 Kwa eyo naatia mwoyo kuthibitisha upendo winu hadharani kwa ajili yaywembe.
Kwa hiyo ninawatia moyo kuthibitisha upendo wenu hadharani kwa ajili yake.
9 Ayee nga sababu niandikile, ili panga niweze kuajaribu na kuyowa kuwa mana ni batii katika kila kilebe.
Hii ndiyo sababu niliandika, ili kwamba niweze kuwajaribu na kujua kuwa kama ni watii katika kila kitu.
10 Mana mwaweza msamiya yeyote, ni nenga namsamiya mundu yoo. Chelo chanikisamiya-kati nakisamiya chochote-kisameelwa kwa faida yinu katika uwepo wa Kristo.
Kama mkimsamehe yeyote, na mimi pia namsamehe mtu huyo. Kile nilicho kisamehe - kama nimesamehe chochote-kimesamehewa kwa faida yenu katika uwepo wa Kristo.
11 Ayee nga panga nchela aise kwaa kutupangia ubocho. Kwa kuwa twenga twaalalo kwaa kwa mipango yake.
Hii ni kwamba Shetani asije akatufanyia madanganyo. Kwa kuwa sisi sio wajinga kwa mipango yake.
12 Nnango utiyongoliwa kwango ni Ngwana paniisile katika mji wa Troa hubiri injili ya Kristo palyo.
Mlango ulifunguliwa kwangu na Bwana nilipokuja kwenye mji wa Troa kuhubiri injili ya Kristo pale.
13 Hata nyoo, nibile kwaa na amani ya mwoyo, kwa sababu nikwembine kwaa ni nongo bango Tito kolyo. Nga nyoo nialekite na kelebuka Makedonia.
Hata hivyo, sikuwa na amani ya moyo, kwa sababu sikumkuta ndugu yangu Tito pale. Hivyo niliwaacha na nikarudi Makedonia.
14 Lakini ashukuriwe Nnongo, ywabile katika Kristo mara yote utuongoza twenga katika ushindi. Pitya twenga sambaza harufu inoite ya maarifa gake mahali pote.
Lakini ashukuriwe Mungu, ambaye katika Kristo mara zote hutuongoza sisi katika ushindi. Kupitia sisi husambaza harufu nzuri ya maarifa yake mahala pote.
15 Kwa mana twenga kwa Nnongo, ni harufu inoite ya Kristo, bote kwati ya balo babile lopolelwa na kati ya balo baangamia.
Kwa kuwa sisi kwa Mungu, ni harufu nzuri ya Kristo, wote kati ya wale waliookolewa na kati ya wale wanaoangamia.
16 Kwa bandu baangamia, ni harufu boka mu'kiwo mpaka kiwo. Kwa balo balopolwa, ni harufu inoite boka ukoto mpaka ukoto. Ywa nyai ywastahili ilebe yee?
Kwa watu ambao wanaangamia, ni harufu kutoka kifo hadi kifo. Kwa wale wanaookolewa, ni harufu nzuri kutoka uzima hadi uzima. Ni nani anayestahili vitu hivi?
17 Kwa mana twenga twabile kwaa kati bandu banyansima bapemeya neno lya Nnongo kwa faida. Badala yake, kwa usapi wa nia, twabaya katika Kristo, kati ya tutumilwe boka kwa Nnongo, nnongi ya Nnongo.
Kwa kuwa sisi sio kama watu wengi wanaouza neno la Mungu kwa faida. Badala yake, kwa usafi wa nia, tunanena katika Kristo, kama vile tunavyotumwa kutoka kwa Mungu, mbele ya Mungu.

< 2 Akoritho 2 >