< Daniel 9 >

1 In the firste yeer of Darius, the sone of Assuerus, of the seed of Medeis, that was emperour on the rewme of Caldeis,
Dario mwana wa Ahasuero, wa uzao wa Wamedi. Alikuwa na Ahasuero ambaye alifanywa mfalme juu ya ufalme wa watu wa Babeli.
2 in the firste yeer of his rewme, Y, Danyel, vndurstood in bookis the noumbre of yeeris, of which noumbre the word of the Lord was maad to Jeremye, the profete, that seuenti yeer of desolacioun of Jerusalem schulde be fillid.
Sasa katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario, mimi Danieli, nilikuwa najisomea vitabu vilivyo na neno la Yahweh, neno ambalo lilikuwa limemjia Yeremia nabii. Niligundua kwamba kungekuwa na miaka sabini hadi mwisho wa kuachwa kwa Yerusalemu ungefika.
3 And Y settide my face to my Lord God, to preie and to biseche in fastyngis, in sak, and aische.
Niliugeuza uso wangu kumwelekea Bwana Mungu, ili kumtafuta yeye kwa sala na maombi, kwa kufunga, na kuvaa nguo za magunia na kukaa katika majivu.
4 And Y preiede my Lord God, and Y knoulechide, and seide, Y biseche, thou Lord God, greet and ferdful, kepynge couenaunt and mercy to hem that louen thee, and kepen thi comaundementis.
Nilimwomba Yahweh Mungu wangu, na niliungama dhambi zetu. Nilisema, “Tafadhali, Bwana, wewe ni Mungu mkuu na mwenye kuheshimiwa, wewe hutunza maagano na uliye mwaminifu katika kuwapenda wale wanaokupenda wewe na kuzishika amri zako.
5 We han synned, we han do wickidnesse, we diden unfeithfuli, and yeden awei, and bowiden awei fro thi comaundementis and domes.
Tumetenda dhambi na tumefanya yaliyo mabaya. Tumeenenda kwa uovu na tumeasi, tumegeuka upande kinyume na amri na maagizo yako.
6 We obeieden not to thi seruauntis, profetis, that spaken in thi name to oure kyngis, to oure princes, and to oure fadris, and to al the puple of the lond.
Hatujawasikiliza watumishi wako manabii walizungumza na wafalme wetu, viongozi wetu, baba zetu, na kwa watu wote wa nchi kwa jina lako.
7 Lord, riytfulnesse is to thee, forsothe schenschipe of face is to vs, as is to dai to a man of Juda, and to the dwelleris of Jerusalem, and to al Israel, to these men that ben niy, and to these men that ben afer in alle londis, to which thou castidist hem out for the wickidnessis of hem, in whiche, Lord, thei synneden ayens thee.
Kwako Bwana, kuna uadilifu. Hata hivyo, kwetu kuna aibu katika nyuso zetu, kwa watu wa Yuda na wale wanaoishi Yerusalem, na kwa Israeli yote. Hii ni pamoja na wale walio karibu na wale walio mbali katika nchi zote ambazo kwazo uliwatawanya. Hii ni kwasababu ya udanganyifu mkubwa tulioufanya kinyume chako.
8 Schame of face is to vs, to oure kyngis, to oure princes, and to oure fadris, that synneden;
Kwetu sisi, Yahweh, kuna fedheha katika nyuso, na kwa wafalme wetu, na kwa viongozi wetu, na kwa baba zetu, kwasababu tumekutenda dhambi wewe.
9 but merci and benygnytee is to thee, oure Lord God. For we yeden awei fro thee,
Kwa Bwana Mungu wetu kuna huruma na msamaha, kwa kuwa tumemwasi yeye.
10 and herden not the vois of oure Lord God, that we schulden go in the lawe of hym, whiche he settide to vs bi hise seruauntis, profetis.
Hatujaitii sauti ya Yahweh Mungu wetu kwa kutembea katika sheria zake alizotupatia kupitia watumishi wake manabii.
11 And al Israel braken thi lawe, and bowiden awei, that thei herden not thi vois; and cursyng, and wlatyng, which is writun in the book of Moises, the seruaunt of God, droppide on vs, for we synneden to hym.
Israeli wote wameiasi sheria yako na kugeukia upande, kwa kukataa kuitii sauti yako. Laana na viapo vilivyoandikwa katika sheria ya Musa, mtumishi wa Mungu, zimemwagwa juu yetu kwa kuwa tummetenda dhambi.
12 And he ordeynede hise wordis, whiche he spak on vs, and on oure princes, that demyden vs, that thei schulden brynge in on vs greet yuel, what maner yuel was neuer vndur al heuene, bi that that is doon in Jerusalem,
Yahweh ameyathibitisha maneno ambayo aliyasema kinyume na sisi na kinyume na viongozi wetu juu yetu, kwa kuleta juu yetu janga kubwa. Kwa kuwa chini ya mbingu yote haijawahi kufanyika kitu chochote ambacho kinaweza kulinganishwa na kile kilichofanyika huko Yerusalemu.
13 as it is writun in the lawe of Moises. Al this yuel cam on vs, and, oure Lord God, we preieden not thi face, that we schulden turne ayen fro oure wickidnessis, and schulden thenke thi treuthe.
Kama ilivyoandikwa kwenye sheria ya Musa, baa hili lote limetupata, ingawa bado hatujaomba rehema kutoka kwa Yahweh Mungu wetu kwa kugeuka na kuacha maovu yetu na kuufuata ukweli wako.
14 And the Lord wakide on malice, and brouyt it on vs; oure Lord God is iust in alle his werkis whiche he made, for we herden not his vois.
Hivyo basi, Yahweh ameyaweka tayari maafa na ameyaleta juu yetu, kwa kuwa Yahweh Mungu wetu ni mwenye haki katika matendo yote anayoyafanya, ingawa bado hatujaitii sauti yake.
15 And now, Lord God, that leddist thi puple out of the lond of Egipt in strong hond, and madist to thee a name bi this dai, we han synnede,
Basi sasa, Bwana Mungu wetu, uliwatoa watu wako katika nchi ya Misri kwa mkono wenye nguvu, na umejifanyia jina maarufu kwa ajli yako mwenyewe, hata siku hii ya leo. Lakini bado tumekutenda dhambi; tumefanya mambo ya hila. Kwasababu ya matendo yako yote ya haki,
16 we han do wickidnesse, Lord, ayens thi riytfulnesse. Y biseche, thi wraththe and thi stronge veniaunce be turned awey fro thi citee Jerusalem, and fro thi hooli hil; for whi for oure synnes, and for the wickidnessis of oure fadris, Jerusalem and thi puple ben in schenschipe, to alle men bi oure cumpas.
Bwana, iache hasira na ghadhabu yako iwe mbali na mji wako Yerusalemu, mlima wako mtakatifu. Hii ni kwasababu ya dhambi zetu, na kwasababu ya uovu wa baba zetu, Yerusalemu na watu wako wamekuwa kitu cha kudharauliwa na wote wanaotuzunguka.
17 But now, oure God, here thou the preyer of thi seruaunt, and the bisechyngis of him, and schewe thi face on thi seyntuarie, which is forsakun.
Basi sasa, Mungu wetu, sikiliza sala za mtumishi wako na maombi yake kwa ajili ya rehema; kwa ajili yako, Bwana ufanye uso wako ung'ae katika sehemu yako takatifu iliyoachwa ukiwa.
18 My God, for thi silf boowe doun thin eere, and here; opene thin iyen, and se oure desolacioun, and the citee, on which thi name is clepid to help. For not in oure iustifiyngis we setten forth mekeli preiers bifor thi face, but in thi many merciful doyngis.
Mungu wangu, fungua masikio yako na usikie; fumbua macho yako na uone. Tumeharibiwa; utazame mji unaoitwa kwa jina lako. Hatukuombi msaada wako kwasababu ya haki yetu, ila kwasababu ya rehema zako kuu.
19 Lord, here thou; Lord, be thou plesid, perseyue thou, and do; my Lord God, tarie thou not, for thi silf, for thi name is clepid to help on the citee, and on thi puple.
Bwana, sikiliza! Bwana, samehe! Bwana, tuangalie na ufanye jambo! Kwa ajili yako mwenyewe, usichelewe, Mungu wangu, kwa kuwa mji wako na watu wako wanaitwa kwa jina lako.”
20 And whanne Y spak yit, and preiede, and knoulechide my synnes, and the synnes of my puple Israel, that Y schulde sette forth mekeli my preieris in the siyt of my God, for the hooli hil of my God,
Nilipokuwa ninaongea kwa kuomba na kuungama dhambi yangu na dhambi ya watu wangu Israeli, na kuwasilisha maombi yangu mbele ya Yahweh Mungu wangu kwa niaba ya mlima mtakatifu wa Mungu.
21 the while Y spak yit in my preyer, lo! the man Gabriel, whom Y hadde seyn in visioun at the bigynnyng, flei soone, and touchide me in the tyme of euentid sacrifice;
Nilipokuwa ninaomba, mtu Gabrieli, ambaye nilikuwa nimemwona katika ndoto hapo awali, alipaa kwa kasi kushuka kuja nilipo, ilikuwa ni wakati wa sadaka ya jioni.
22 and he tauyt me, and he spak to me, and seide, Danyel, now Y yede out, that Y schulde teche thee, and thou schuldist vndurstonde.
Alinipa ufahamu na aliniambia, “Danieli, nimekuja sasa ili nikupe utambuzi na ufahamu.
23 Fro the bigynnyng of thi preieris a word yede out. Forsothe Y cam to schewe to thee, for thou art a man of desiris; therfor perseyue thou the word, and vndurstonde thou the visioun.
Ulipoanza kuomba rehema, amri ilitolewa na nimekuja kukueleza jibu, kwa kuwa unapendwa sana. Hivyo basi, tafakari neno hili na uufahamu ufunuo.
24 Seuenti woukis of yeeris ben abreggid on thi puple, and on thin hooli citee, that trespassyng be endid, and synne take an ende, and that wickidnesse be doon awei, and euerlastynge riytfulnesse be brouyt, and that the visioun, and prophesie be fillid, and the hooli of seyntis be anoyntid.
Miaka sabini na saba zimeamriwa kwa ajili ya watu wako na mji wako mtakatifu kukomesha hatia na kumaliza dhambi, na kuleta haki ya milele, na kutimiza maono na unabii, na kupaweka wakfu mahali patakatifu sana.
25 Therfor wite thou, and perseyue; fro the goyng out of the word, that Jerusalem be bildid eft, til to Crist, the duyk, schulen be seuene woukis of yeeris and two and sixti woukis of yeeris; and eft the street schal be bildid, and wallis, in the angwisch of tymes.
Ujue na kufahamu kuwa tangu kupitishwa kwa amri ya kurudi na kuijenga upya Yerusalemu mpaka ujio wa mpakwa mafuta (atakayekuwa kiongozi), kutakuwa na majuma saba na majuma sitini na mbili. Yerusalemu itajengwa pamoja na mitaa yake na handaki, licha ya kuwepo kwa nyakati za shida
26 And after two and sixti woukis `of yeeris Crist schal be slayn. And it schal not be his puple, that schal denye hym. And the puple with the duyk to comynge schal distrie the citee, and the seyntuarie; and the ende therof schal be distriyng, and after the ende of batel schal be ordeynede desolacioun.
Baada ya miaka ya majuma sitini na mbili, mtiwa mafuta ataharibiwa na atakuwa hana kitu chochote. Jeshi la kiongozi ajaye litauangamiza mji na mahali patakatifu. Mwisho wake utatatokea kwa gharika, na kutakuwa na vita hata mwisho. Uharibifu umekwisha amriwa.
27 Forsothe o wouk `of yeeris schal conferme the couenaunt to many men, and the offryng and sacrifice schal faile in the myddis of the wouke of yeeris; and abhomynacioun of desolacioun schal be in the temple, and the desolacioun schal contynue til to the parformyng and ende.
Atalithibitisha agano pamoja na watu wengi kwa miaka saba. Katikati ya miaka saba atakomesha dhabihu na sadaka. Baada ya chukizo la uharibifu atatokea mtu atakayeleta ukiwa. Mwisho kamili na uharibifu umeamriwa kutokea kwa yeye aliyesababisha ukiwa.”

< Daniel 9 >