< Ezekiel 1 >

1 And it was don, in the thrittithe yeer, in the fourthe monethe, in the fyuethe dai of the moneth, whanne Y was in the myddis of caitifs, bisidis the flood Chobar, heuenes weren openyd, and Y siy the reuelaciouns of God.
Katika mwaka wa thelathini, mwezi wa nne, na siku ya tano ya mwezi, ikawa kuhusu kwamba nilikuwa nikiishi miongoni mwa wafungwa karibu na Kebari Kanali. Mbingu zilifunguka, na kuona maono ya Mungu.
2 In the fyueth dai of the monethe; thilke is the fyuethe yeer of passing ouer of Joachym, kyng of Juda;
Katika siku ya tano katika mwezi huo-ilikuwa mwaka wa tano wa utumwani wa Mfalme Yehoyakini-
3 the word of the Lord was maad to Ezechiel, preest, the sone of Busi, in the lond of Caldeis, bisidis the flood Chobar; and the hond of the Lord was maad there on hym.
Neno la Yahwe likamjia Ezekieli mwana wa Buzi kuhani, katika nchi ya Wakaldayo karibu na Keberi Kanali, na mkono wa Yahwe ulikuwa juu yake hapo.
4 And Y siy, and lo! a whirlewynd cam fro the north, and a greet cloude, and fier wlappynge in, and briytnesse in the cumpas therof; and as the licnesse of electre fro the myddis therof, that is, fro the myddis of the fier.
Kisha nikaona, kulikuwa na upepo wa dhoruba unakuja kutoka kaskazini; wingu kubwa pamoja na moto wa nuru ndani yake na kung'aa ukizunguka ndani yake, na moto ulikuwa na rangi ya kaharabu ndani ya hilo wingu.
5 And of myddis therof was a licnesse of foure beestis. And this was the biholdyng of tho, the licnesse of a man in tho.
Katikati kulikuwa na viumbe vinne vinavyofanana. Mwonekano wao ulikuwa hivi: walikuwa wanamfanano wa mtu,
6 And foure faces weren to oon, and foure wyngis weren to oon.
lakini walikuwa na sura nne kila mmoja, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne.
7 And the feet of tho weren streiyt feet, and the soole of the foote of tho was as the soole of a foot of a calf, and sparclis, as the biholdynge of buylynge bras.
Miguu yao ilikuwa imenyooka, lakini nyayo za miguu yao zilikuwa kama kwato za ndama zilizokuwa zinang'aa kama shaba iliyosuguliwa.
8 And the hondis of a man weren vndur the wyngis of tho, in foure partis. And tho hadden faces and wyngis bi foure partis;
Bado walikuwa na mikono ya binadamu chini ya mabawa yao chini kwenye pande zote nne. Kwa wote wanne, nyuso zao na mabawa vilikuwa hivi:
9 and the wyngis of tho weren ioyned togidir of oon to another. Tho turneden not ayen, whanne tho yeden, but eche yede bifore his face.
mabawa yao yalikuwa yameungana na kiumbe kingine, na hawakurudi walipokuwa wameenda; badala yake, kila mmoja alienda mbele.
10 Forsothe the licnesse `of the face of tho was the face of a man and the face of a lioun at the riythalf of tho foure. Forsothe the face of an oxe was at the left half of tho foure; and the face of an egle was aboue tho foure.
Mfanano wa nyuso zao ulikuwa kama uso wa mwanadamu. Wanne hao walikuwa na uso wa simba kwa upande wa kuume. Hao wanne pia walikuwa na uso wa tai.
11 And the faces of tho and the wengis of tho weren stretchid forth aboue. Twei wyngis of eche weren ioyned togidere, and tweyne hiliden the bodies of tho.
Nyuso zao zilikuwa hivyo, na mabawa yao yalikuwa yametawanyika juu, hivyo basi kila kiumbe kilikuwa na jozi ya za mabawa yaliyokuwa yameshikamana na bawa la kiumbe kingine, na pia jozi za mabawa yaliyokuwa yamefunika miili yao.
12 And ech of tho yede bifore his face. Where the fersnesse of the wynd was, thidur tho yeden, and turneden not ayen, whanne tho yeden.
Kila mmoja alienda mbele, hivyo basi popote Roho alipowaelekeza kwanda, walienda bila kurudi.
13 And the licnesse of the beestis, and the biholdyng of tho, was as of brennynge coolis of fier, and as the biholdyng of laumpis. This was the siyt rennynge aboute in the myddis of beestis, the schynyng of fier, and leit goynge out of the fier.
Kama kwa mfanano wa hao viumbe hai, mwonekano wao ulikuwa ni kama kuchoma kaa la moto, kama mwonekano wa nuru; mng'ao wa moto pia ulihama karibu na miongoni mwa viumbe, na kulikuwa na nuru za radi.
14 And the beestis yeden, and turneden ayen at the licnesse of leit schynynge.
Hao viumbe hai vilikuwa vikihama mbio mbele na nyuma, na walikuwa na mwonekano wa radi!
15 And whanne Y bihelde the beestis, o wheel, hauuynge foure faces, apperide on the erthe, bisidis the beestis.
Kisha nikawatazama wale viumbe hai; kulikuwa na gurudumu moja juu ya aridhi kando ya vile viumbe hai.
16 And the biholdyng of the wheelis and the werk of tho was as the siyt of the see; and o licnesse was of tho foure; and the biholdyng and the werkis of tho, as if a wheel be in the myddis of a wheel.
Huu ndio ulikuwa mwonekano na umbo wa hizo gurudumu: kila gurudumu lilikuwa kama zabarajadi, na manne hayo yalikuwa na mfano mmoja; mwonekano wao na umbo vilikuwa kama gurudumu lililoungana na jingine.
17 Tho goynge yeden bi foure partis of tho, and turneden not ayen, whanne tho yeden.
Wakati yale magurudumu yalipokuwa yakitembea, yalienda bila kurudi kwenye mwelekeo wowote viumbe vilipokuwa vimeelekea.
18 Also stature, and hiynesse, and orible biholdyng was to the wheelis; and al the bodi was ful of iyen in the cumpas of tho foure.
Kama kwa upande kingo, walikuwa warefu na wakutisha, kwa upande kingo kulikuwa na macho yamezunguka kote.
19 And whanne the beestis yeden, the wheelis also yeden togidere bisidis tho. And whanne the beestis weren reisid fro the erthe, the wheelis also weren reisid togidere.
Popote vile viumbe hai vilipokuwa vikielekea, yale magurudumu yalielekea karibu nao. Wakati vile viumbe hai vilipoinuka kutoka kwenye nchi, na yale magurudumu yaliinuka pia.
20 Whidur euere the spirit yede, whanne the spirit yede thedur, also the wheelis suynge it weren reisid togidere; for whi the spirit of lijf was in the wheelis.
Popote Roho alipokwenda, walikwenda, na yale magurudumu yaliinuka karibu nao, roho wa kiumbe hai ilikuwa magurudumu.
21 Tho yeden with the beestis goynge, and tho stoden with the beestis stondynge. And with the beestis reisid fro erthe, also the wheelis suynge tho beestis weren reisid togidere; for the spirit of lijf was in the wheelis.
Popote vile viumbe vilipoelekea, magurudumu pia yalielekea huko; na wakati wale viumbe viliposimama hata hivyo, magurudumu yalisimama bado; wakati viumbe viliposimama kutoka kwenye nchi, magurudumu yalisimama karibu nao, kwa sababu yule roho wa wale viumbe alikuwa kwenye magurudumu.
22 And the licnesse of the firmament was aboue the heed of the beestis, and as the biholdyng of orible cristal, and stretchid abrood on the heed of tho beestis aboue.
Juu ya vichwa vya wale viumbe hai kulikuwa na mfanano wa anga la kutanuka; ilikuwa inang'aa kama mfano wa barafu juu ya vichwa vyao.
23 Forsothe vndur the firmament the wyngis of tho beestis weren streiyt, of oon to anothir; ech beeste hilide his bodi with twei wyngis, and an other was hilid in lijk maner.
Chini ya anga, kila mabawa ya kiumbe kimoja yalinyooshwa mbele na kugusana kila mabawa na kiumbe kimoja. Pia kila kiumbe hai kilikuwa na jozi moja kwa ajili ya kujifunika vyenyewe; kila kimoja kilikuwa na jozi moja kwa ajili ya kujifunika mwili wake mwenyewe.
24 And Y herde the sown of wyngis, as the sown of many watris, as the sown of hiy God. Whanne tho yeden, ther was as a sown of multitude, as the sown of oostis of batel; and whanne tho stoden, the wyngis of tho weren late doun.
Kisha nikasikia sauti ya mabawa yao. Kama mlio wa maji mengi. Kama sauti ya mwenye enzi popote walipoelekea. Kama sauti ya jeshi. Popote pale waliposimama, walishusha mabawa yao.
25 For whi whanne a vois was maad on the firmament, that was on the heed of tho, tho stoden, and leten doun her wyngis.
Sauti ikaja kutoka juu ya anga juu ya vichwa vyao popote waliposimama na kushusha mabawa yao.
26 And on the firmament, that was aboue the heed of tho, was as the biholdyng of a saphire stoon, the licnesse of a trone; and on the licnesse of the trone was a licnesse, as the biholdyng of a man aboue.
Juu ya anga juu ya vichwa vyao kulikuwa na mfanao wa kiti cha enzi ambacho kilikuwa na mwonekano wa jiwe la samawati, na juu mfano wa kiti cha enzi kilifanana kama mwonekano wa mwanadamu.
27 And Y siy as a licnesse of electre, as the biholding of fier with ynne, bi the cumpas therof; fro the lendis of hym and aboue, and fro the lendis of him til to bynethe, Y siy as the licnesse of fier schynynge in cumpas,
Nikaona umbo lenye mwonekano wa chuma chenye kung'aa pamoja na moto ndani yake kutoka kwenye mwonekano wa juu ya nyonga zake juu; Nikaona kutoka kwenye mwonekano wa nyonga zake upande wa chini mwonekano wa moto na mng'ao umezunguka kote.
28 as the biholdynge of the reynbowe, whanne it is in the cloude in the dai of reyn. This was the biholdyng of schynyng bi cumpas. This was a siyt of the licnesse of the glorie of the Lord. And Y siy, and felle doun on my face; and Y herde the vois of a spekere.
Kama mwonekano wa upinde wa mvua kwenye mawingu katika siku ya mvua ulikuwa na mwonekano wa taa iliyowaka imeizunguka. ulikuwa na mwonekano unaofanana na utukufu wa Yahwe. Wakati nilipouona, nilihisi kwenye uso wangu, na nikasikia sauti ikiongea.

< Ezekiel 1 >