< Hosea 1 >

1 The word of the Lord that was maad to Osee, the sone of Bery, in the daies of Osie, Joathan, Achas, Ezechie, kingis of Juda, and in the daies of Jeroboam, sone of Joas, the kyng of Israel.
Hili ni neno la Bwana lililofika kwa Hosea mwana wa Beeri siku za Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu mwana wa Yoashi, mfalme wa Israeli.
2 The bigynnyng of the spekyng to the Lord in Osee. And the Lord seide to Osee, Go thou, take to thee a wijf of fornycaciouns, and make to thee sones of fornycaciouns, for the lond doynge fornicacioun schal do fornicacioun fro the Lord.
Wakati Bwana alipozungumza kwanza kupitia Hosea, akamwambia, “Nenda ukajitwalie mke ambaye ni kahaba. Atakuwa na watoto ambao ni matokeo ya ukahaba wake. Kwa maana nchi inafanya uzinzi mkubwa kwa kumwacha Bwana.”
3 And he yede, and took Gomer, the douyter of Debelaym; and sche conseyuede, and childide a sone to hym.
Basi Hosea akaenda akamwoa Gomeri binti Diblaimu, naye akachukua mimba, akazaa mtoti mwanamume.
4 And the Lord seide to hym, Clepe thou the name of hym Jesrael; for yit a litil and Y schal visite the blood of Jesrael on the hous of Hieu, and Y schal make to reste the rewme of the hous of Israel.
Bwana akamwambia Hosea, Mwite jina lake Yezreeli. Kwa maana kwa muda mfupi nitaiadhibu nyumba ya Yehu kwa sababu ya kumwaga damu huko Yezreeli; nami nitamaliza ufalme wa nyumba ya Israeli.
5 And in that dai Y schal al to-breke the bowe of Israel in the valei of Jesrael.
Itatokea siku ile nitakapovunja upinde wa Israeli katika bonde la Yezreeli.
6 And sche conseyuede yit, and childide a douyter. And the Lord seide to hym, Clepe thou the name of hir With out merci, for Y schal no more leye to, for to haue merci on the hous of Israel, but bi foryetyng Y schal foryete hem.
Gomeri akachukua mimba tena akamzaa binti. Ndipo Bwana akamwambia Hosea, “Mwite jina lake Lo Ruhama; kwa maana sitawahurumia tena nyumba ya Israeli, nisije nikawasamehe kwa njia yoyote.
7 And Y schal haue merci on the hous of Juda, and Y schal saue hem in her Lord God; and Y schal not saue hem in bowe, and swerd, and batel, and in horsis, and in horse men, ether kniytis.
Hata hivyo nitawahurumia nyumba ya Yuda, nami nitawaokoa mwenyewe, Bwana, Mungu wao. Sitawaokoa kwa upinde, upanga, vita, farasi, au wapanda farasi. '
8 And he wenyde hir that was With out merci. And sche conseyuede, and childide a sone to hym.
Baada ya Gomeri kumwachisha Lo Ruhama, alipata mimba na kuzaa mtoto mwingine mwanamume.
9 And he seide, Clepe thou his name Not my puple, for ye schulen not be my puple, and Y schal not be youre God.
Ndipo Bwana akasema, “Mwite jina la Lo Ami; kwa kuwa ninyi si watu wangu, wala mimi si Mungu wenu.”
10 And the noumbre of the sones of Israel schal be as grauel of the see, which grauel is with out mesure, and it schal not be noumbrid; and it schal be in the place, where it schal be seid to hem, Ye ben not my puple; it schal be seid to hem, Ye ben the sones of God lyuynge.
Hata hivyo idadi ya watu wa Israeli itakuwa kama mchanga wa bahari, ambayo haiwezi kupimwa au kuhesabiwa. Itakuwa pale ambapo waliambiwa, “Ninyi si watu wangu,” wataambiwa, “Ninyi ni watu wa Mungu aliye hai.”
11 And the sones of Juda and the sones of Israel schulen be gaderid togidere, and thei schulen sette oon heed to hem silf, and thei schulen stie fro erthe, for the dai of Jesrael is greet.
Watu wa Yuda na watu wa Israeli watakusanyika pamoja. Wao wataweka kiongozi mmoja wao wenyewe, na watatoka kutoka nchi, kwa maana itakuwa siku ya Yezreeli kuu.

< Hosea 1 >