< Romans 12 >

1 I beseche you therfore brethre by ye mercyfulnes of God that ye make youre bodyes aquicke sacrifise holy and acceptable vnto God which is youre resonable seruynge of god.
Kwa hiyo nawasihi, ndugu, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, inayokubalika kwa Mungu. Hii ndiyo ibada yenu yenye maana.
2 And fassion not youre selves lyke vnto this worlde: But be ye chaunged in youre shape by the renuynge of youre wittes that ye maye fele what thynge that good yt acceptable and perfaycte will of god is. (aiōn g165)
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Fanyeni hivi mpate kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yakumpendeza na kamilifu. (aiōn g165)
3 For I saye (thorowe the grace that vnto me geve is) to every man amonge you that noman esteme of him selfe moare then it becometh him to esteme: but that he discretely iudge of him selfe accordynge as God hath dealte to every man the measure of fayth.
Kwa maana nasema, kwa sababu ya neema niliyopewa, kwamba kila mtu ambaye yupo miongoni mwenu hapaswi kufikiri zaidi juu yake mwenyewe kuliko inavyompasa kufikiri. Bali, imempasa kufikiri kwa hekima, kama ambavyo Mungu amewapa kila mmoja kiasi fulani cha imani.
4 As we have many members in one body and all members have not one office:
Kwa kuwa tuna viungo vingi katika mwili mmoja, lakini si viungo vyote vina kazi moja.
5 so we beynge many are one body in Christ and every man (amoge oure selves) one anothers mebers Seynge
Vivyo hivyo, sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo kila mmoja kwa mwenzake.
6 that we have dyvers gyftes accordynge to the grace that is geven vnto vs: yf eny man have ye gyft of prophesye let him have it that it be agreynge vnto the fayth.
Tuna karama zilizo mbalimbali kwa kadiri ya neema mliyopewa. Ikiwa karama ya mtu ni unabii, na itendeke kwa kadiri ya imani yake.
7 Let him that hath an office wayte on his office. Let him that teacheth take hede to his doctrine.
Ikiwa karama ya mtu ni huduma, na atumike. Ikiwa mwingine ana karama ya kufundisha, basi, afundishe.
8 Let him that exhorteth geve attendaunce to his exhortacion. Yf eny man geve let him do it with singlenes. Let him that ruleth do it with diligence. Yf eny man shewe mercy let him do it with cherfulnes.
Ikiwa karama ya mtu ni faraja, basi, afariji. Ikiwa karama ya mtu ni kutoa, afanye hivyo kwa ukarimu. Ikiwa karama ya mtu ni kuongoza, na litendeke kwa uangalifu. Ikiwa karama ya mtu ni katika kuonesha huruma, na litendeke kwa furaha.
9 Let love be wt out dissimulacion. Hate that which is evyll and cleave vnto that which is good.
Pendo lisiwe na unafiki. Chukieni uovu; mshikilie yaliyo mema.
10 Be kynde one to another with brotherly love. In gevynge honoure goo one before another.
Kuhusu upendo wa ndugu, pendaneni ninyi kwa ninyi. Kuhusu heshima, heshimianeni ninyi kwa ninyi.
11 Let not yt busynes which ye have in honde be tedious to you. Be fervet in ye sprete. Applye youre selves to ye tyme.
Kuhusu bidii, msiwe walegevu. Kuhusu roho, iweni na shauku. Kuhusu Bwana, mtumikieni.
12 Reioyce in hope. Be paciet in tribulacion. Continue in prayer.
Furahini katika ujasiri mlionao kuhusu siku zijazo. Muwe na subira katika matatizo yenu. Mdumu katika kuomba.
13 Distribute vnto the necessite of the saynctes and diligently to harboure.
Mshiriki katika mahitaji ya waumini. Tafuteni njia nyingi za kuonesha ukarimu.
14 Blesse the which persecute you: blesse but course not.
Watakieni baraka wote wanaowatesa ninyi; muwabariki na wala msiwalaani.
15 Be mery with the that are mery. Wepe wt them that wepe.
Furahini pamoja na wanaofurahi, lieni pamoja na wanaolia.
16 Be of lyke affeccion one towardes another. Be not hye mided: but make youreselves equall to the of ye lower sorte. Be not wyse in youre awne opinios.
Muwe na nia moja ninyi kwa ninyi. Msifikiri kwa kujivuna, lakini wakubalini watu wa hali ya chini. Msiwe na hekima juu ya mawazo yenu wenyewe.
17 Recopence to no ma evyll fore evyll. Provyde afore honde thinges honest in ye syght of all men.
Msimlipe mtu yeyote ovu kwa ovu. Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote.
18 Yf it be possible howbe it of youre parte have peace with all men.
Kama inawezekana, kama ilivyowekwa kwenu, muwe na amani na watu wote.
19 Derly beloued avenge not youre selves but geve roume vnto the wrath of God. For it is written: vengeaunce is myne and I will rewarde saith the lorde.
Wapenzi, msijilipizie kisasi wenyewe, lakini ipisheni ghadhabu ya Mungu. Kwa maana imeandikwa, '' 'kisasi ni changu; Mimi nitalipa,' asema Bwana.”
20 Terfore yf thyn enemy honger fede him: yf he thurst geve him drinke. For in so doynge thou shalt heape coles of fyre on his heed:
“Lakini ikiwa adui yako ana njaa, mlishe. Akiwa na kiu, mnyweshe. Kwa maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya moto juu ya kichwa chake.”
21 Be not overcome of evyll: But overcome evyll wt goodnes.
Usishindwe na ubaya, bali ushinde ubaya kwa wema.

< Romans 12 >