< Acts 7 >

1 Then sayde ye chefe prest: is it even so?
Kuhani mkuu akasema,”mambo haya ni ya kweli”?
2 And he sayde: ye men brethren and fathers harken to. The God of glory appered vnto oure father Abraha whyll he was yet in Mesopotamia before he dwelt in Charran
Stephano akasema, “Ndugu na mababa zangu, nisikilizeni mimi: Mungu wa utukufu alimtokea baba yetu Abrahamu wakati alipokuwa Mesopotamia, kabla hajaishi Harani,'
3 and sayd vnto him: come out of thy contre and from thy kynred and come into the londe which I shall shewe the.
akamwambia,' Ondoka katika nchi yako na jamaa zako na uende katika nchi nitakayokuonyesha'.
4 Then came he out of the londe of Chaldey and dwelt in Charran. And after that assone as his father was deed he brought him into this lande in which ye now dwell
Kisha akaondoka katika nchi ya Ukaldayo akaishi Harani, kutoka hapo, baada ya baba yake kufa, Mungu akamleta kwenye nchi hii, wanayoishi sasa.
5 and he gave him none inheritaunce in it no not the bredeth of a fote: but promised yt he wolde geve it to him to possesse and to his seed after him when as yet he had no chylde.
Hakumpa chochote kama urithi wake, hapakuwa na sehemu hata ya kuweka mguu. Lakini Abrahamu aliahidiwa hata kabla hajapata mtoto kuwa atapewa nchi kama miliki yake na uzao wake.
6 God verely spake on this wyse that his seade shulde be a dweller in a straunge londe and that they shulde kepe them in bondage and entreate them evyll. iiii. C. yeares.
Mungu alinena naye hivi, ya kwamba wazao wake wangeishi katika nchi ya ugeni, na kwamba wenyeji wa huko watawafanya kuwa watumwa wao na kuwatenda vibaya kwa muda wa miaka mia nne.
7 But the nacion to whom they shalbe in bondage will I iudge sayde God. And after that shall they come forthe and serve me in this place.
Na Mungu akasema, nitalihukumu taifa ambalo litawafanya mateka, na baada ya hapo watatoka na kuniabudu katika sehemu hii.'
8 And he gave him the covenaunt of circumcision. And he begat Isaac and circumcised him the viii. daye and Isaac begat Iacob and Iacob the twelve patriarkes
Na akampa Abrahamu agano la tohara, hivyo Abrahamu akawa baba wa Isaka akamtahiri siku ya nane; Isaka akawa baba wa Yakobo, na Yakobo akawa baba wa mababu zetu kumi na wawili.
9 And the patriarkes havinge indignacio solde Ioseph into Egipte. And God was with him
Mababu zetu wakamwonea wivu Yusufu wakamuuza katika nchi ya Misri, na Mungu alikuwa pamoja naye,
10 and delivered him out of all his adversities. And gave him faveour and wisdome in the sight of Pharao kynge of Egipte which made him governer over Egipte and over all his housholde.
na akamwokoa katika mateso yake, na akampa fadhili na hekima mbele ya Farao mfalme wa Misri. Farao akamfanya awe mtawala juu ya Misri na juu ya nyumba yake yote.
11 Then came ther a derth over all the londe of Egipt and Canaan and great affliccion that our fathers founde no sustenauce.
Basi kukawa na njaa kuu na mateso mengi katika nchi ya Misri na Kanani, na baba zetu hawakupata chakula.
12 But when Iacob hearde that ther was corne in Egipte he sent oure fathers fyrst
Lakini Yakobo aliposikia kuna nafaka Misri, aliwatuma baba zetu kwa mara ya kwanza.
13 and at the seconde tyme Ioseph was knowen of his brethren and Iosephs kynred was made knowne vnto Pharao.
Katika safari ya pili Yusufu akajionyesha kwa ndugu zake, familia ya Yusufu ikajulikana kwa Farao.
14 Then sent Ioseph and caused his father to be brought and all his kynne thre score and xv. soules.
Yusufu akawatuma ndugu zake kwenda kumwambia Yakobo baba yao aje Misri, pamoja na jamaa yake, jumla ya watu wote ni sabini na tano.
15 And Iacob descended into Egipte and dyed bothe he and oure fathers
Hivyo Yakobo akashuka Misri; kisha akafa yeye pamoja na baba zetu.
16 and were translated into Sichem ond were put in ye sepulcre that Abraham bought for money of the sonnes of Emor at Sichem.
Wakachukuliwa hata Shekemu wakazikwa katika kaburi ambalo Abrahamu alilinunua kwa vipande vya fedha kutoka kwa wana wa Hamori huko Shekemu.
17 When ye tyme of ye promes drue nye (which God had sworme to Abraham) the people grewe and multiplied in Egipte
Wakati wa ile ahadi ambayo Mungu alimwahidi Abrahamu ulipokaribia, watu wakiwa wameongezeka huko Misri,
18 till another kynge arose which knewe not of Ioseph.
wakati huo aliinuka mfalme mwingine juu ya Misri, mfalme asiyejua kuhusu Yusufu.
19 The same dealte suttelly with oure kynred and evyll intreated oure fathers and made them to cast oute their younge chyldren that they shuld not remayne alyve.
Huyo mfalme mwingine akawadanganya watu wetu na kuwatenda mabaya baba zetu, na kuwatupa watoto wao wachanga ili wasiishi.
20 The same tyme was Moses borne and was a proper childe in ye sight of God which was norisshed vp in his fathers housse thre monethes.
Katika kipindi kile Musa alizaliwa; alikuwa mzuri mbele za Mungu, akalelewa miezi mitatu katika nyumba ya baba yake.
21 When he was cast out Pharoes doughter toke him vp and norisshed him vp for her awne sonne.
Wakati alipotupwa, binti wa Farao alimchukua akamlea kama mwanaye.
22 And Moses was learned in all maner wisdome of the Egipcians and was mighty in dedes and in wordes.
Musa alifundishwa mafundisho yote ya Kimisri; alikuwa na nguvu katika maneno na matendo.
23 And when he was full forty yeare olde it came into his hert to visit his brethren the chyldren of Israhel.
Lakini baada ya kutimiza miaka arobaini, ikamjia katika moyo wake kuwatembelea ndugu zake, wana wa Israeli.
24 And when he sawe one of them suffre wronge he defended him and avenged his quarell that had the harme done to him and smote the Egypcian.
Alipomwona Mwisraeli akitendewa mabaya, Musa alimtetea na kulipiza kisasi aliyekuwa akimwonea kwa kumpiga Mmisiri:
25 For he supposed hys brethren wolde have vnderstonde how yt God by his hondes shuld save them But they vnderstode not.
akifikiri kuwa ndugu zake watafahamu kwamba Mungu anawaokoa kwa mkono wake, lakini hawakufahamu.
26 And the next daye he shewed him selfe vnto the as they strove and wolde have set the at one agayne sayinge: Syrs ye are brethren why hurte ye one another?
Siku iliyofuata akaenda kwa baadhi ya Waisraeli waliokuwa wanagombana; akajaribu kuwapatanisha; akisema,' Mabwana, Ninyi ni ndugu; mbona mnakoseana ninyi kwa ninyi?
27 But he that dyd his neghbour wronge thrust him awaye sayinge: who made ye a rular and a iudge amonge vs?
Lakini aliyemkosea jirani yake akamsukumia mbali, na kusema, 'Nani kakufanya mtawala na muhukumu wetu?
28 What wilt thou kyll me as thou dyddest the Egyptian yester daye?
Wewe unataka kuniua, kama ulivyomuua Mmisri jana?”
29 Then fleed Moses at that sayenge and was a stranger in the londe of Madian where he begat two sonnes.
Musa akakimbia baada ya kusikia hivyo; akawa mgeni katika nchi ya Midiani, ambapo akawa baba wa wana wawili.
30 And when. xl. yeares were expired ther appered to him in the wyldernes of mounte Syna an angell of the Lorde in a flamme of fyre in a busshe.
Baada ya miaka arobaini kupita, malaika akamtokea katika jangwa la mlima Sinai, katika mwali wa moto ndani ya kichaka.
31 When Moses sawe it he wondred at the syght. And as he drue neare to beholde the voyce of the Lorde came vnto him:
Wakati Musa alipoona moto, alishangaa na kustaajabia kile alichokiona, na alipojaribu kukisogelea ili kukitazama, sauti ya Bwana ikamjia Ikisema,
32 I am ye God of thy fathers the God of Abraham the God of Isaac and the God of Iacob. Moses trembled and durst not beholde.
'Mimi ni Mungu wa baba zako, Mungu wa Abrahamu, na wa Isaka, na wa Yakobo'. Musa alitetemeka na hakuthubutu kuangalia.
33 Then sayde ye Lorde to him: Put of thy showes from thy fete for the place where thou stondest is holy grounde.
Bwana akamwambia, 'Vua viatu vyako, sehemu uliposimama ni mahali patakatifu.
34 I have perfectly sene the affliccion of my people which is in Egypte and I have hearde their gronynge and am come doune to delyver them. And now come and I will sende the into Egypte.
Nimeona mateso ya watu wangu waliopo Misri; Nimesikia kuugua kwao, nami nimeshuka ili niwaokoe; sasa njoo, nitakutuma wewe Misri.'
35 This Moses whom they forsoke sayinge: who made the a ruelar and a iudge: the same God sent bothe a ruler and delyverer by ye hondes of the angell which appered to him in the busshe.
Huyu Musa ambaye waliyemkataa, wakati waliposema, 'nani kakufanya kuwa mtawala na mwamuzi wetu?' alikuwa ndiye ambaye Mungu alimtuma awe mtawala na mkombozi. Mungu alimtuma kwa mkono wa malaika ambaye alimtokea Musa kichakani.
36 And the same brought them out shewynge wonders and signes in Egypte and in the reed see and in the wyldernes. xl. yeares.
Musa aliwaongoza kutoka Misri baada ya kufanya miujiza na ishara katika Misri na katika bahari ya Shamu, na katika jangwa kwa kipindi cha miaka arobaini.
37 This is that Moses which sayde vnto the chyldre of Israel: A Prophet shall the Lorde youre God rayse vp vnto you of youre brethren lyke vnto me him shall ye heare.
Ni Musa huyu ndiye aliyewambia watu wa Isiraeli kuwa, 'Mungu atawainulieni nabii kutoka miongoni mwa ndugu zenu, nabii kama mimi'.
38 This is he that was in ye congregacion in the wyldernes with the angell which spake to him in ye moute Syna and with oure fathers. This man receaved the worde of lyfe to geve vnto vs
Huyu ni mtu ambaye alikuwa katika mkutano jangwani na malaika ambaye aliongea naye katika mlima Sinai. Huyu ndiye mtu ambaye alikuwa na baba zetu, huyu ni mtu ambaye alipokea neno lililo hai na kutupatia sisi.
39 to who oure fathers wolde not obeye but cast it from them and in their hertes turned backe agayne into Egypte
Huyu ni mtu ambaye baba zetu walikataa kumtii; walimsukumia mbali, na katika mioyo yao waligeukia Misri.
40 sayinge vnto Aaron: Make vs goddes to goo before vs. For this Moses that brought vs out of the londe of Egypte we wote not what is become of him.
Katika kipindi hicho walimwambia Haruni.'tutengenezee miungu itakayotuongoza. Huyo Musa, aliyekuwa akituongoza kutoka katika nchi ya Misri, hatujui kilichompata.'
41 And they made a calfe in those dayes and offered sacrifice vnto the ymage and reioysed in the workes of their awne hondes.
Hivyo wakatengeneza ndama kwa siku hizo na wakatoa sadaka kwa hiyo sananmu na wakafurahi kwa sababu ya kazi ya mikono yao.
42 Then God turned him selfe and gave them vp that they shuld worship the starres of the skye as it is written in the boke of the prophetes. O ye of ye housse of Israel gave ye to me sacrefices and meate offerynges by the space of xl. yeares in the wildernes?
Lakini Mungu aliwageuza na kuwapa waabudu nyota wa angani, kama ilivyoandikwa kwenye kitabu cha manabii, 'Je Mmenitolea mimi sadaka za wanyama mliowachinja jangwani kwa muda wa miaka arobaini, nyumba ya Israeli?
43 And ye toke vnto you the tabernacle of Moloch and the starre of youre god Remphan figures which ye made to worshippe them. And I will translate you beyonde Babylon.
Mmekubali hema ya kukutania ya Moleki na nyota ya mungu refani, na picha mliyoitengeneza na kuwaabudu wao: na nitawapeleka mbali zaidi ya Babeli.'
44 Oure fathers had the tabernacle of witnes in ye wyldernes as he had apoynted the speakynge vnto Moses that he shuld make it acordynge to the fassion that he had sene.
Baba zetu walikuwa na hema ya kukutania ya ushuhuda jangwani, kama Mungu alivyoamuru alipoongea na Musa, kwamba angeitengeneza kwa mfano wa ule aliouona.
45 Which tabernacle oure fathers receaved and brought it in with Iosue into the possession of the gentyls which God drave out before the face of oure fathers vnto the tyme of David
Hili ni hema ambalo baba zetu, kwa wakati wao, waliletwa katika nchi na Joshua. Hii ilitokea wakati walipoingia kumiliki taifa ambalo Mungu aliwafukuza kabla ya uwepo wa baba zetu. Hii ilikuwa hivi hadi siku za Daudi,
46 which founde favour before God and desyred that he myght fynde a tabernacle for the God of Iacob.
ambaye alipata kibali machoni pa Mungu,' na akaomba kutafuta makao kwa Mungu wa Yakobo.
47 But Salomon bylt him an housse.
Lakini Selemani alimjengea nyumba ya Mungu.
48 How be it he that is hyest of all dwelleth not in teple made with hondes as saith the Prophete:
Hata hivyo Aliye Juu haishi kwenye nyumba zilizojengwa kwa mikono; hii ni kama nabii alivyosema,
49 Heven is my seate and erth is my fote stole what housse will ye bylde for me sayth the Lorde? or what place is it that I shuld rest in?
Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni sehemu ya kuwekea miguu yangu. Nyumba ya aina gani mtanijengea?, asema Bwana: au ni wapi sehemu yangu ya kupumzikia?
50 hath not my honde made all these thinges?
Siyo mkono wangu uliofanya hivi vitu vyote?'
51 Ye stiffenecked and of vncircumcised hertes and eares: ye have all wayes resisted the holy goost: as youre fathers dyd so do ye.
Enyi watu wenye shingo ngumu msiotahiriwa mioyo na masikio, kila mara mnampinga Roho Mtakatifu,' mnatenda kama baba zenu walivyotenda.
52 Which of the prophetes have not youre fathers persecuted? And they have slayne them which shewed before of the commynge of that iust whom ye have now betrayed and mordred.
Ni nabii gani katika manabii ambaye baba zenu hawakumtesa? Waliwaua manabii wote waliotokea kabla ya ujio wa Mmoja mwenye Haki,'na sasa mmekuwa wasaliti na wauaji wake pia,
53 And ye also have receaved a lawe by the ordinaunce of angels and have not kept it.
enyi watu mliopokea sheria ile iliyoagizwa na malaika lakini hamkuishika.”
54 When they hearde these thinges their hertes clave a sunder and they gnasshed on him with their tethe.
Kisha wajumbe wa baraza waliposikia mambo haya, walichomwa mioyo yao, wakamsagia meno Stefano.
55 But he beynge full of the holy goost loked vp stedfastlye with his eyes into heven and sawe the glorie of God and Iesus stondynge on the ryght honde of God
Lakini yeye, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alitazama mbinguni kwa makini na akauona utukufu wa Mungu,' na kumwona Yesu amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
56 and sayde: beholde I se the hevens open and the sonne of man stondynge on the ryght honde of god.
Stefano akasema, “Angalia nimeona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adam amesimama mkono wa kuume wa Mungu.”
57 Then they gave a shute with a loude voyce and stopped their eares and ranne apon him all at once
Lakini wajumbe wa baraza wakapiga kelele kwa sauti za juu, wakaziba masikio yao, wakamkimbilia kwa pamoja,
58 and caste him out of the cite and stoned him. And the witnesses layde doune their clothes at a yonge mannes fete named Saul.
wakamtupa nje ya mji na wakampiga mawe: na mashahidi wakavua nguo zao za nje na kuweka chini karibu na miguu ya kijana aliyeitwa Sauli.
59 And they stoned Steven callynge on and sayinge: Lorde Iesu receave my sprete.
Walipokuwa wakimpiga mawe Stefano, aliendelea kumwita Bwana na kusema, “Bwana Yesu, pokea roho yangu,”.
60 And he kneled doune and cryed with a loude voyce: Lorde laye not this synne to their charge. And when he had thus spoken he fell a slepe.
Akapiga magoti na kuita kwa sauti kubwa, “Bwana, usiwahesabie dhambi hii. “Aliposema haya, akakata roho.

< Acts 7 >