< Esther 10 >

1 And the King Ahashuerosh layd a tribute vpon the land, and vpon the yles of the sea.
Kisha Mfalme Ahusiero akaweka kodi juu ya nchi na maeneo ya bahari.
2 And all the actes of his power, and of his might, and the declaration of the dignitie of Mordecai, wherwith the King magnified him, are they not written in the booke of the Chronicles of the Kings of Media and Persia?
Mafanikio yote na nguvu na ukuu wake, pamoja na wa Modekai ambao mfalme alimwinua, yameandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu ya wafalme wa Wamedi na Waajemi.
3 For Mordecai the Iewe was the second vnto King Ahashuerosh, and great among the Iewes, and accepted among the multitude of his brethren, who procured the wealth of his people, and spake peaceably to all his seede.
Modekai Muyahudi alikuwa wa pili kutoka kwa Mfalme Ahusiero. Alikuwa mkuu na maarufu miongoni mwa ndugu zake Wayahudi, kwa sababu alitetea mahitaji ya watu wake na haki za watu na akatetea amani kwa watu wote.

< Esther 10 >