< Waefeso 4 >

1 Pauluo, heene n'kunguavwimila u Mutwa, nikuvasuma mughendelelaghe ndavule ng'emelo jino u Nguluve alya vakemelile.
Basi, mimi niliye mfungwa kwa kuwa namtumikia Bwana, nawasihi muishi maisha yanayostahili wito mlioitiwa.
2 Mukulaghe nu vwoghofi mu vuhugu nulugudo. Kupindilanila n'kate mulughano.
Muwe daima wanyenyekevu, wapole na wenye saburi; vumilianeni ninyi kwa ninyi kwa mapendo.
3 Mulolelanilaghe ni ngufu kulolela uvumo vwa Mhepo muvukungua uvwa lutengano.
Fanyeni bidii ya kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa kuzingatia amani iliyo kati yenu.
4 Kuli m'bili ghumo ku Mhepo jumo, ndavule mulyale mukemelilue muvwa kyang'haani uvwa lughulilo lumo ulwa ulwa ng'emelelo jinu.
Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile tumaini mliloitiwa na Mungu ni moja.
5 Kange kwale u Ntua jumo, ulwofugho lumo,
Kuna Bwana mmoja, imani moja na ubatizo mmoja;
6 nu Nguluve jumo ghwe Nhaata ghwa vooni. Umwene alipakyanya pa sooni iisi, na kusooni isi na mun'kate mu ku sooni.
kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote.
7 Kwa muunhu ghweni mulyusue apelilue ikipelua kuling'ana nikighelelo ikya kipelua ikya Kilisite.
Kila mmoja wetu amepewa neema kadiri ya kipimo alichojaliwa na Kristo.
8 Ndavule amalembe ghijova: “Pano alyatoghile ku kyanya kyongo, alyalongwisie ava galulu muvukami. Akahumia ifipelua ku vaanhu.”
Kama yasemavyo Maandiko: “Alipopaa mbinguni juu kabisa, alichukua mateka; aliwapa watu zawadi.”
9 Kwekuuti kiki iisi, “Alyatoghile,” neke looli alikile kange pasi pa iisi?
Basi, inaposemwa: “alipaa juu,” ina maana gani? Maana yake ni kwamba, kwanza alishuka mpaka chini kabisa duniani.
10 Umwene juno alikile ghwe mwene julajula juno kange alyatoghile kuvutali kukyanya kuvulanga vwooni. Alyavombile n'diki ulwakuuti uvuvaha vwa mweene vuvisaghe mu finu fyooni.
Basi, huyo aliyeshuka hapa duniani, ndiye aliyepaa juu ya mbingu zote apate kuujaza ulimwengu.
11 U Kilisite alya humisie ifipelua ndavule ifi: avasung'ua, avaviili, avainjilisiti, avadiimi nava vulanisi.
Ndiye aliyewapa watu zawadi: wengine aliwajalia wawe mitume, wengine manabii, wengine wawe waeneza Habari Njema, wengine wachungaji na walimu.
12 Alyavombile vulevule kukuvatanga avitiki vwimila vwa mbombo ija vuvombi, vwimila vwa kuvuvujenga um'biili ghwa Kilisite.
Alifanya hivyo apate kuwatayarisha watu wote wa Mungu kwa ajili ya kazi ya huduma ya Kikristo ili kuujenga mwili wa Kristo,
13 Ivomba n'diki kuhanga usue tweeni tufikile uvumo vwa lwitiko nhuvu mang'anyi vwa mwana ghwa Nguluve. Ivomba vulevule mpaaka tukangale ndavule vaala vano valyafikile ikyimo kino kikwiline ikya Kilisite.
na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe.
14 Ulu kwekuuti tulekaghe kuuva heene vaana, natungapululusivwaghe kuno nakula. Ulwakuuti tuleke pitolua ni mhepo sisino sivisaghe sa mbulanisio, nigiilabsa vaanhu mumanjughulu gha vudesi vuno vusoveleng'ine.
Basi, hatutakuwa tena kama watoto, tukitupwa na kupeperushwa huko na huko kwa kila upepo wa mafundisho wanayozua watu wadanganyifu, ili wawapotoshe wengine kwa hila.
15 Palwene uluo tujovaghe uvwakyang'haani mulughano na kukula kyoongo mu siila sooni n'kate mwa mweene juno ghwe muutu, u Kilisite.
Ila, sisi tukisema ukweli kwa moyo wa mapendo tutakua zidi katika kila jambo kulingana na Kristo ambaye ndiye kichwa;
16 U Kilisite adumining'inie, palikimo u m'biili ghwooni ughwa vitiki. Ghulunginisivue palikimo nifipelua fyooni ulwakuuti um'biili ghwoni ghukule napikujenga gwene mulughano.
chini ya uongozi wake, viungo vyote vya mwili hushikamana pamoja, na mwili wote hutegemezwa kwa msaada wa viungo vyake. Basi, kila kiungo kikitekeleza kazi yake ipasavyo, mwili wote hukua na kujijenga katika upendo.
17 Pauluo, nijova iili, nikuvasuma mwa Mutwa: Namulaghendagha kange heene vaanhu vapanji fino vighenda muvugalusi vwa luhala luvanave.
Basi, kwa jina la Bwana, nawaonyeni: msiishi tena kama watu wasiomjua Mungu, ambao fikira zao zimekuwa upuuzi mtupu,
18 Vakapikilue ni ng'iisi mumasaghe gha vanave. Vadaghilue vwumi vwa Nguluve muvuyasu vuno vulin'kate muvanave ulwakuva vwimila uvwumi vwa moojo ghavanave.
na akili zao zimo gizani. Wako mbali na uzima wa Mungu, kwa sababu ya upumbavu ulio ndani yao na ukaidi wao.
19 Navikupulika isooni. Vitavwile veene kuvunyali mu mbombo inyali, mulwa vugheji vwooni.
Wamepotoka na hawana aibu, wamejitosa katika ufisadi; hufanya kwa pupa kila aina ya mambo ya aibu.
20 Looli, nafyelulivuo ndavule mulumanyile vwimila u Kilisite.
Lakini ninyi hamkujifunza hivyo juu ya Kristo.
21 Nakuva kuuti mupulike umwene. Nakuva kuuti mukale mumanyila mwa mweene, ndavule uvwa kyang'ani vulivuo vwimila u Yesu.
Ni dhahiri kwamba mlisikia barabara habari zake, na mkiwa wafuasi wake mkafundishwa ukweli ulivyo katika Yesu.
22 Luvanoghile mufunyaghe sooni sino silutana nulughendo lwiinu ulwa pakali, uvumuunhu uvwa pakali, uvumuunhu vwa pakali vuno vuvola vwimila vwa vunoghelua vwa vudesi.
Basi, acheni mwenendo wenu wa awali, yaani ule utu wenu wa kale uliokuwa unaangamizwa kwa tamaa zake danganyifu.
23 Mufulaghe uvumuunhu uvwa pakali ulwakuuti muvombeke vupia munumbula sa luhala lwinu.
Jirekebisheni upya rohoni na katika fikira zenu.
24 Muvombaghe vulevule ulwa kuuti mukagule kufwala uvumuunhu uvupia, vuno vulutana nu nguluve vupelilue muvwakyang'aani nu vwimike vwa kyang'ani.
Vaeni hali mpya ya utu ambayo imeumbwa kwa mfano wa Mungu na ambayo hujionyesha katika maisha ya kweli ya uadilifu na utakatifu.
25 Pa uluo, vikagha kutali nuvudesi. “Jovagha uvwa kyang'aani umuunhu ghweni nhu m'bading'ani ghwa mwene,” ulwakuva tulivahangilanisi umuunhu ghweni kwa junge.
Kwa hiyo, acheni uongo. Kila mmoja anapaswa kumwambia mwenzake ukweli, maana kila mmoja wetu ni kiungo cha mwili wa Kristo.
26 Muvisaghe ni ng'alasi, looli na mungavombaghe inyivi,” Ilijuva nalingasemaghe mujighe ni ng'alasi siinu.
Kama mkikasirika, msikubali hasira yenu iwafanye mtende dhambi, na wala msikae na hasira kutwa nzima.
27 Namungam'pelaghe uvwelefu u setano.
Msimpe Ibilisi nafasi.
28 Ghweni juno ihija anoghile kuhija kange. Pa uluo anoghile avombaghe imbombo. Avombaghe imbombo inyaluvumbulilo na mavoko gha mwene, ulwakuuti akagule pikun'tanga umuunhu juno aghilue.
Aliyekuwa akiiba, asiibe tena, bali na aanze kufanya kazi njema kwa mikono yake, apate kuwa na kitu cha kumsaidia mtu aliye maskini.
29 Injovele imbiivi najingajighaghe mumulomo ghwinu. Pa uluo amasio ghanoghile pihuma mumalomo ghiinu ghano ghanoghile kusino silondeka, kukuvapela uluvumbulilo vala vano vipulikisia.
Maneno mabaya hata yasisikike kamwe miongoni mwenu; kila mara maneno yenu yawe ya kufaa na ambayo hujenga na kuwasaidia wengine, ili yawaneemeshe wasikilizaji wenu.
30 Mulampelelagha kusukunala u Mhepo Mwimike ghwa Nguluve kwa mwene kuuti mukanyilue umuhuri vwila vwa kighono ikya vupoki
Msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu maana Roho huyo ni alama ya Mungu kwenu kwamba ninyi ni watu wake, na thibitisho kwamba siku itakuja ambapo Mungu atawakomboeni.
31 Lunoghile pikuluvika patali uvuvafi vwooni, ing'alasi, ilyoojo, amabatu, namaligho, palikimo nuvuhosi vuno vuli pa pinga.
Basi, achaneni na uhasama, chuki, hasira, kelele, matusi! Achaneni na kila uovu!
32 Muvisaghe nulusungu. Musaghilanilaghe jumue kwa jumue, ndavule u Nguluve mwa Kilisite avasaghile umue.
Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe ninyi kwa njia ya Kristo.

< Waefeso 4 >