< Vagalatia 1 >

1 une ne nsung'ua Paulo. une nanilinsung'ua kuhuma kuvaanhu nambe kukilila kuvaanhu, neke kukilila kwa Yesu kilisite nu Nguluve Nhaata juno alyansyuluile kuhuma kuvafue.
Mimi Paulo mtume,
2 une palikimo na vanyalukolo tukusilembela itembile sooni sa Vagalatia.
na ndugu wote walio pamoja nami, tunayaandikia makanisa yaliyoko Galatia. Mimi nimepata kuwa mtume si kutokana na mamlaka ya binadamu, wala si kwa nguvu ya mtu, bali kwa uwezo wa Yesu Kristo na wa Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka wafu.
3 uvumosi nu lutengano kuhuma kwa Nguluve Nhaata ghwitu nu Mutwa Yesu Kilisite fivisaghe numue.
Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kutoka kwa Bwana Yesu Kristo.
4 jino akihumisie vwimila isambi situ neke kuuti atupoke mu fighono ifi fya vuhosi, kuhumilanila nu lughano lwa Nguluve ghwitu nu Nhaata. (aiōn g165)
Kristo alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba, ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu mbaya wa sasa. (aiōn g165)
5 kwa mwene vuve vwimike vuno navuli kusila na kusila (aiōn g165)
Kwake yeye uwe utukufu milele! Amina. (aiōn g165)
6 nidegha kuuti musyetukila ng'aning'ani mu livangili ilingi, nidegha kuuti musyetukile kutali kuhuma kwa juno alyavakemhelile ku vumosi vwa Kilisite.
Nashangaa kwamba muda mfupi tu umepita, nanyi mnamwasi yule aliyewaita kwa neema ya Kristo, mkafuata Habari Njema ya namna nyingine.
7 kusila livangili ilingi, neke kwevale avaanhu vamonga vano vikuvasababikisia imhumhuko na kunoghua kusyetulania ilivangili lwa Kilisite.
Lakini hakuna “Habari Njema” nyingine. Ukweli ni kwamba wako watu wanaowavurugeni, watu wanaotaka kuipotosha Habari Njema ya Kristo.
8 neke nambe ndeve twesue au uMhola kuhuma kukyanya apulisia kulyumue ilivangili ilingi lino tukapulisie kulyumue na aghunuaghe.
Lakini, hata kama mmoja wetu au malaika kutoka mbinguni, atawahubirieni Habari Njema tofauti na ile tuliyowahubirieni sisi, basi huyo na alaaniwe!
9 ndavule ino tukajovile muvutengulilo, lino nijova kange, “ndeve kuli nu muunhu ilikuvapulisia ilivangili ilingi lino namukupile na aghunuaghe,”
Tulikwisha sema, na sasa nasema tena: kama mtu yeyote anawahubirieni Habari Njema ya aina nyingine, tofauti na ile mliyokwisha pokea, huyo na alaaniwe!
10 pe lino nilonda kuhakikisia ku vaanhu au uNguluve. nilonda kukuvahovosia avaanhu? ndeve nighendelela kughelasia kukuvahovosia avaanhu, une nanili nsung'ua ghwa Kilisite.
Sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha Mungu? Au je, nataka kuwapendeza watu? Kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa Kristo.
11 vanyalukolo ninoghua umue mukagule kuuti ilivangili lini nikapulisie nalihumila kuvaanhu.
Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Habari Njema niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu.
12 nanikwupile kuhuma kwa muunhu, nambe nanikavulanisifue, looli lulyale lwe, vwa Yesu Kilisite kulyune.
Wala mimi sikuipokea kutoka kwa binadamu, wala sikufundishwa na mtu. Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyenifunulia.
13 mukapulike uvwumi vango uvwa kunsana ku nyifunyo isa kiYahudi, silyale sikumhumhusia ku vukali mu tembile ja Nguluve kukila na kukum'buda.
Bila shaka mlikwisha sikia jinsi nilivyokuwa ninaishi zamani kwa kuzingatia dini ya Kiyahudi, na jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kupita kiasi na kutaka kuliharibu kabisa.
14 nilyaghendelile mu tembile ja kiYahudi kukila avanyalukolo vango vinga avaYahudi. nilyalye nu lughimbo kyongo mu vutavike la vababa vango.
Naam, mimi niliwashinda wengi wa wananchi wenzangu wa rika langu katika kuizingatia dini ya Kiyahudi, nikajitahidi sana kuyashika mapokeo ya wazee wetu.
15 neke uNguluve lukamunoghile kukunavua une kuhuma mulileme lwa mama ghwango. akang'emelile une kukilila uvumosi vwake.
Lakini Mungu, kwa neema yake, alikuwa ameniteua hata kabla sijazaliwa, akaniita nimtumikie.
16 kukum'bonesia unswambe n'kate n'jango, neke kuuti nimpulisie u mwene ku vapanji. nanikalondile kuvungua na vaanhu.
Mara tu alipoamua kunifunulia Mwanae kusudi niihubiri Habari Njema yake kwa watu wa mataifa mengine, bila kutafuta maoni ya binadamu,
17 kange nanikatoghile ku Yelusalemu ku vala vano valyale vasung'ua ye nikyale une. pe pano nikaluta ku vualabuni na pambele kugomoka ku Damesiki.
na bila kwenda kwanza Yerusalemu kwa wale waliopata kuwa mitume kabla yangu, nilikwenda kwanza Arabia, kisha nikarudi tena Damasko.
18 amaka ghatatu pambele nikatogha kuluta kuYelusalemu kukumughendela uKefa, nikikalile nagho iighono kijigho ni fihano.
Ilikuwa tu baada ya miaka mitatu, ndipo nilipokwenda Yerusalemu kuonana na Kefa; nilikaa kwake siku kumi na tano.
19 neke nanikamwaghile unsung'ua ujunge neke ju Yakobo unyalukolo ghwa Mutwa.
Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
20 loola! pavulongolo pa Ngulluve nanisyanga ku kila kino nilemba kulyumue.
Haya ninayowaandikieni, Mungu anajua; sisemi uongo.
21 pe pano nikaluta ku fighavo fya Shamu na Kulikia.
Baadaye nilikwenda katika tarafa za Siria na Kilikia.
22 nanika kagulike ku maaso gha tembile ja vaYahudi vano valyale mwa Kilisite,
Wakati huo, mimi binafsi sikujulikana kwa jumuiya za Wakristo kule Yudea.
23 neke vakale vipulika lwene,” umwene juno akale ikutupumhusia lino ipulisia ulwitiko luno akale ikulunangania.”
Walichokuwa wanajua ni kile tu walichosikia: “Mtu yule aliyekuwa akitutesa hapo awali, sasa anaihubiri imani ileile aliyokuwa anajaribu kuiangamiza.”
24 valyale vikumughinia uNguluve vwimila jango.
Basi, wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.

< Vagalatia 1 >