< Waefeso 3 >

1 Ulwakuva pa uluo une, Paulo, nilin'kungua ghwa Yesu Kilisite vwimila umue mwe vapanji.
Kutokana na hayo, mimi Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu kwa ajili yenu, namwomba Mungu.
2 Nikwitika ulwakuuti mupulike vwimila imbombo ija lusungu lwa Nguluve luno amelile vwimila umue
Bila shaka mmekwisha sikia kwamba Mungu, kwa neema yake, alinikabidhi kazi hii niifanye kwa faida yenu.
3 Nikuvalembela kuhumila ulwakuuti ndavule ulusetulilo lufwikwike kulyune. Ulu se sakyang'haani sino sifisimesinonilyalembile pavufipi mu kalata ijinge.
Mimi nilijulishwa kwa njia ya ufunuo mpango wake uliofichika. (Nimeandika kwa ufupi juu ya jambo hili,
4 Pano ghukwimba vwimila isi, ghukagula pikulutang'ania uluvelo lwango mu vwa kyang'haani uvu vuno vufisime vwimila u Kilisite.
nanyi mkiyasoma maneno yangu mtaweza kujua jinsi ninavyoielewa siri hiyo ya Kristo.)
5 Ku fisina ifinge uvwa kyang'haani uvu navukavombilue ulwakuuti vukagulike ku vaana va vaanhu. Looli lino ghuvikilue pavulogholofu kwa Mhepo kuva sung'ua vano vabaghulilue nava viili.
Zamani watu hawakujulishwa siri hiyo; lakini sasa Mungu amewajulisha mitume na manabii wake watakatifu kwa njia ya Roho.
6 Uvwakyang'haani uvu vuno vufisime kwe kuuti avaanu ava panji vahangilanesi nusue nava humia mola ava jitu ava m'biili. Vahangilanisi palikimo nu lufingo lwa Kilisite Yesu kuhumila ili vangili.
Siri yenyewe ni hii: kwa njia ya Habari Njema watu wa mataifa mengine wanapata sehemu yao pamoja na Wayahudi katika zile baraka za Mungu; wao ni viungo vya mwili uleule, na wanashiriki ahadi ileile aliyofanya Mungu kwa njia ya Kristo Yesu.
7 Pa ulu nivombike m'bombi ku luvonolo lwa lusungu lwa Mutwa luno ahumisie une kukila uvuvombele vwa ngufu sa mwene.
Mimi nimefanywa kuwa mtumishi wa Habari Njema kwa neema ya pekee aliyonijalia Mungu kwa uwezo wake mkuu.
8 U Nguluve alyahumisie uluvonolo ulu kulyune, nambebune nili muunhu n'debe kuvoni vala vano vabaghulivue vwimila u Nguluve. Uluvonolo kwe kuuti luninoghile kupulisia kuva panji ilivangili lino lilinuvumofu vuno navwakughanulania.
Mimi ni mdogo kuliko watu wote wa Mungu; lakini amenijalia neema yake, ili niwahubirie watu wa mataifa utajiri wake Kristo usiopimika,
9 Lunoghile kukuvamulika avaanhu vooni vwimila une vutavike vwa Nguluve ughwa kuvusyefu. Uvu vwe vitavike vuno vulyafisilue amaka minga ghano ghakiling'inie, nu Nguluve juno alyapelile ifiinu fyoni. (aiōn g165)
tena niwaangazie watu wote waone jinsi mpango wa Mungu uliofichika unavyotekelezwa. Mungu aliye Muumba wa vitu vyote alificha siri hiyo yake tangu milele, (aiōn g165)
10 Ulu lulyale kuu, kukila ulukong'ano, avatema nuvu tavulilua mun'kate muvulanga vakagule kukagula imbale nyinga isa pavukulu vwa vughane vwa Nguluve.
kusudi, sasa kwa njia ya kanisa, wakuu na wenye enzi wa mbinguni wapate kuitambua hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi.
11 Agha ghakale ghahumile kukila uvutavike vwa kuvusila na kusila vuno alyaghukwisikisie mun'kate mwa Kilisite u Yesu u Mutwa ghwitu. (aiōn g165)
Mungu alifanya jambo hilo kufuatana na azimio lake la milele ambalo amelifanya kwa njia ya Kristo Bwana wetu. (aiōn g165)
12 Ulwakuva mwa Kilisite tuliningufu na kukitang'ania kukwingila ni ngufu vwimila ulawtiko ulwitiko lwitu kwa mwene.
Basi, katika kuungana na Kristo, na kwa njia ya imani katika Kristo, sisi tunathubutu kumkaribia Mungu kwa uhodari.
13 Pauluo nikuvasuma muleke pidendevuka vwimilanimumuko sango vwimila umue. Isi lwe lwitiko lwinu.
Kwa hiyo, nawaombeni msife moyo kwa sababu ya mateso ninayopata kwa ajili yenu, maana hayo ni kwa ajili ya utukufu wenu.
14 Pauluo nifughama kwa Nhaata.
Kwa sababu hiyo, nampigia magoti Baba,
15 Juno kwa mwene ifisina fyoni kukyanya na mu iisi jooni jitambulilue litavua.
aliye asili ya jamaa zote duniani na mbinguni.
16 Nisumile kuuti akagule kukuvasungukila, vwimila vwa vumofu vwa lwimiko lwa mwene, avakangasiaghe kukila u Mhepo ghwa mwene, juuno alin'kate mulyumue.
Namwomba Mungu, kadiri ya utajiri wa utukufu wake, awajalieni kwa uwezo wa Roho wake, nguvu ya kuwa imara ndani yenu,
17 Nisuma kuuti u Kilidite ikalaghe mun'kate mu moojo ghinu kukilila ulwitiko.
naye Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani. Namwomba mpate kuwa na mzizi na msingi katika mapendo
18 Nisuma kuuti muve nikisikina mu lwuutu lwa lughano lwa mwene. Muvisaghe nulughano lwa mwene ulwa kuuti mkagule pikulutang'ani, palikimo palikimo na vooni vano vitike, ndavule uvwelefu, nubvutali ni kyomo ni kigho ikya lughano lwa Kilisit.
kusudi muweze kufahamu pamoja na watu wote wa Mungu jinsi upendo wa Kristo ueneavyo kwa mapana na marefu, kwa kimo na kina.
19 Nisuma kuuti mukagule uvuvaha vwa lughano lwa Kilisite, vano vikilila ku nang'anio. Muvombaghe isi mulwakuuti mumemaghe muvupesie vwoni uvwa Nguluve.
Naam, mpate kujua upendo wa Kristo upitao elimu yote, mjazwe kabisa utimilifu wote wa Mungu.
20 Lino kwawene juno anoghile kuvomba sooni, kukila sooni sino tusivombile nasino tukasivomba, kukila ingufu sa mwene sino sivomba imbombo mun'kate mulyusue,
Kwake yeye ambaye kwa nguvu yake ifanyayo kazi ndani yetu, aweza kufanya mambo makuu zaidi ya yale tuwezayo kuomba au kufikiria;
21 kwamwene juula kuvisaghe lwimiko n'kate mu lukong'ano na mwa Kilisite Yesu ku fisina fyoni kusila na kusila. Ameni. (aiōn g165)
kwake Mungu uwe utukufu katika kanisa na katika Kristo Yesu, nyakati zote, milele na milele! Amina. (aiōn g165)

< Waefeso 3 >