< 2 Korinæanima 9 >

1 Jer za takovu porezu koja se kupi svetima nije mi trijebe pisati vam;
Hakuna haja yangu kuwaandikia kuhusu huduma hii itolewayo kwa ajili ya watakatifu.
2 Jer poznajem vašu dobru volju, za koju se o vama hvalim Maæedoncima da se Ahaja prigotovi od lanjske godine, i vaša revnost razdraži mnoge.
Kwa kuwa ninajua mlivyo na shauku ya kusaidia, nami nimekuwa nikijivuna kwa ajili ya jambo hilo kwa watu wa Makedonia, nikiwaambia kuwa ninyi wa Akaya mmekuwa tayari kutoa tangu mwaka jana na shauku yenu imewachochea wengi wao katika kutoa.
3 A braæu poslah da se hvala naša vama ne isprazni u ovoj stvari, nego da budete prigotovljeni, kao što sam govorio;
Lakini sasa nawatuma hawa ndugu ili kujivuna kwetu kuhusu mchango wenu kusiwe maneno matupu, bali mpate kuwa tayari kama nilivyosema mngekuwa tayari.
4 Da se, ako doðu sa mnom Maæedonci i naðu vas neprigotovljene, ne osramotimo mi da ne reèem vi) u toj hvali.
Kwa maana kama nikija na Mmakedonia yeyote na kuwakuta hamjawa tayari, tutaona aibu kusema chochote juu yenu katika matoleo.
5 Tako naðoh da je potrebno umoliti braæu da naprijed idu k vama, i da priprave ovaj naprijed obreèeni vaš blagoslov da bude gotov tako kakono ti blagoslov, a ne kao lakomstvo.
Kwa hivyo niliona ni muhimu niwahimize hawa ndugu watangulie kuja huko kwenu kabla yangu, wafanye mipango ya hayo matoleo ya ukarimu mliyokuwa mmeahidi, ili yawe tayari kama matoleo ya hiari wala si kama ya kutozwa kwa nguvu.
6 Ovo pak velim: koji s tvrðom sije, s tvrðom æe i požnjeti; a koji blagoslov sije, blagoslov æe i požnjeti.
Kumbukeni kwamba: Yeyote apandaye kwa uchache pia atavuna kwa uchache, naye apandaye kwa ukarimu pia atavuna kwa ukarimu.
7 Svaki po volji svojega srca, a ne sa žalošæu ili od nevolje; jer Bog ljubi onoga koji dragovoljno daje.
Kila mtu atoe kama anavyokusudia moyoni mwake, si kwa uchoyo au kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu.
8 A Bog je kadar uèiniti da je meðu vama izobilna svaka blagodat, da u svemu svagda svako dovoljstvo imajuæi izobilujete za svako dobro djelo;
Naye Mungu aweza kuwapa kila baraka kwa wingi, ili katika mambo yote kila wakati, mwe na kila kitu mnachohitaji, ili mweze kushiriki kwa wingi katika kila kazi njema.
9 Kao što je pisano: prosu, dade siromasima; pravda njegova ostaje vavijek. (aiōn g165)
Kama ilivyoandikwa: “Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele.” (aiōn g165)
10 A koji daje sjeme sijaèu, daæe i hljeb za jelo: i umnožiæe sjeme vaše, i daæe da uzrastu žita pravde vaše;
Yeye ampaye mpanzi mbegu kwa ajili ya kupanda na mkate kuwa chakula, atawapa na kuzizidisha mbegu zenu za kupanda na kuongeza mavuno ya haki yenu.
11 Da se u svemu obogatite za svaku prostotu koja kroz nas èini hvalu Bogu.
Mtatajirishwa kwa kila namna ili mpate kuwa wakarimu kila wakati, na kupitia kwetu, ukarimu wenu utamletea Mungu shukrani.
12 Jer služba ove poreze ne ispunjuje samo nedostatak svetijeh, nego èini te se i mnoge hvale daju Bogu,
Huduma hii mnayofanya si tu kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya watakatifu, bali huzidi sana kwa shukrani nyingi apewazo Mungu.
13 Ogledom poreze ove hvaleæi Boga za vaše pokorno priznanje jevanðelja Hristova, i za prostotu podjele k njima i k svima,
Kwa sababu ya huduma ambayo mmejithibitisha wenyewe, watu watamtukuza Mungu kwa ajili ya utiifu ufuatanao na ukiri wenu wa Injili ya Kristo, na kwa ukarimu wenu wa kushiriki pamoja nao na pia wengine wote.
14 I da se mole Bogu za vas i da èeznu za vama za premnogu blagodat Božiju na vama.
Nao katika maombi yao kwenu mioyo yao itawaonea shauku kwa sababu ya neema ipitayo kiasi mliyopewa na Mungu.
15 A hvala Bogu na njegovu neiskazanome daru.
Ashukuriwe Mungu kwa karama yake isiyoelezeka.

< 2 Korinæanima 9 >