< 2 Korinæanima 5 >

1 Jer znamo da kad se zemaljska naša kuæa tijela raskopa, imamo zgradu od Boga, kuæu nerukotvorenu, vjeènu na nebesima. (aiōnios g166)
Kwa maana twajua kama hema yetu ya dunia tunayoishi ikiharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu, nyumba iliyo ya milele kule mbinguni, isiyojengwa kwa mikono ya wanadamu. (aiōnios g166)
2 Jer za tijem uzdišemo, želeæi obuæi se u svoj nebeski stan.
Katika hema hii twalia kwa uchungu, tukitamani kuvikwa makao yetu ya mbinguni,
3 I da se obuèeni, ne goli naðemo!
kwa kuwa tukiisha kuvikwa hatutaonekana tena kuwa uchi.
4 Jer buduæi u ovome tijelu, uzdišemo otežali; jer neæemo da se svuèemo, nego da se preobuèemo, da život proždere smrtno.
Kwa kuwa tukiwa bado katika hema hii twalia kwa uchungu na kulemewa, kwa sababu hatutaki kuvuliwa bali kuvikwa makao yetu ya mbinguni ili kwamba kile kipatikanacho na mauti kimezwe na uzima.
5 A onaj koji nas za ovo isto stvori, Bog je, koji nam i dade zalog Duha.
Basi Mungu ndiye alitufanya kwa ajili ya jambo lilo hilo naye ametupa Roho Mtakatifu kuwa amana, akituhakikishia ahadi ya kile kijacho.
6 Dobre smo dakle volje jednako, jer znamo da putujemo u tijelu, daleko od Gospoda.
Kwa hiyo siku zote tunalo tumaini, hata ingawa tunajua kwamba wakati tukiwa katika mwili huu, tuko mbali na Bwana,
7 Jer po vjeri živimo a ne po gledanju.
kwa maana twaenenda kwa imani wala si kwa kuona.
8 Ali se ne bojimo, i mnogo volimo otiæi od tijela, i iæi ka Gospodu.
Naam, tunalo tumaini na ingekuwa bora zaidi kuuacha mwili huu na kwenda kukaa na Bwana.
9 Zato se i staramo, ili ulazili ili odlazili, da budemo njemu ugodni.
Kwa hiyo, kama tuko katika mwili huu au tuko mbali nao, lengo letu ni kumpendeza Bwana.
10 Jer nam se svima valja javiti na sudu Hristovu, da primimo svaki što je koji u tijelu èinio, ili dobro ili zlo;
Kwa kuwa sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mmoja apate kulipwa kwa ajili ya yale ambayo yametendwa katika mwili wake, yakiwa mema au mabaya.
11 Znajuæi dakle strah Gospodnji ljude svjetujemo; a Bogu smo poznati, a nadamo se da smo i u vašijem savjestima poznati.
Basi, kwa kuwa tunajua kumcha Bwana, tunajitahidi kuwavuta wengine. Lakini Mungu anatufahamu dhahiri, nami natumaini kwamba tu dhahiri katika dhamiri zenu pia.
12 Jer se ne hvalimo opet pred vama, nego vama dajemo uzrok da se hvalite nama, da imate što odgovoriti onima koji se hvale onijem što je spolja a ne što je u srcu.
Sio kwamba tunajaribu kujistahilisha kwenu tena, lakini tunataka kuwapa nafasi ili mwone fahari juu yetu mweze kuwajibu hao wanaoona fahari juu ya mambo yanayoonekana badala ya mambo yaliyo moyoni.
13 Jer ako se odviše hvalimo, Bogu se hvalimo; ako li smo smjerni, vama smo.
Kama tumerukwa na akili, ni kwa ajili ya Mungu; kama tuna akili timamu, ni kwa ajili yenu.
14 Jer ljubav Božija nagoni nas, kad mislimo ovo: ako jedan za sve umrije, to dakle svi umriješe.
Kwa kuwa upendo wa Kristo unatutia nguvu, kwa sababu tunasadiki kuwa mmoja alikufa kwa ajili ya wote, kwa hiyo wote walikufa.
15 Hristos za sve umrije, da oni koji žive ne žive više sebi, nego onome koji za njih umrije i vaskrse.
Naye alikufa kwa ajili ya watu wote, ili kwamba wote wanaoishi wasiishi tena kwa ajili ya nafsi zao wenyewe, bali kwa ajili yake yeye aliyekufa na kufufuliwa tena kwa ajili yao.
16 Zato i mi otsad nikoga ne poznajemo po tijelu; i ako Hrista poznasmo po tijelu, ali ga sad više ne poznajemo.
Hivyo tangu sasa hatumwangalii mtu yeyote kwa mtazamo wa kibinadamu. Ingawa wakati fulani tulimwangalia Kristo kwa namna ya kibinadamu, hatumwangalii tena hivyo.
17 Zato ako je ko u Hristu, nova je tvar: staro proðe, gle, sve novo postade.
Kwa hiyo kama mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita, tazama, yamekuwa mapya.
18 Ali je sve od Boga, koji pomiri nas sa sobom kroz Isusa Hrista, i dade nam službu pomirenja.
Haya yote yanatokana na Mungu, ambaye ametupatanisha sisi na nafsi yake kwa njia ya Yesu Kristo na kutupata sisi huduma ya upatanisho:
19 Jer Bog bješe u Hristu, i svijet pomiri sa sobom ne primivši im grijeha njihovijeh, i metnuvši u nas rijeè pomirenja.
Kwamba Mungu alikuwa ndani ya Kristo akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake mwenyewe, akiwa hawahesabii watu dhambi zao. Naye ametukabidhi sisi ujumbe huu wa upatanisho.
20 Tako smo mi poslani mjesto Hrista, kao da Bog govori kroz nas; molimo vas u ime Hristovo, pomirite se s Bogom.
Kwa hiyo sisi ni mabalozi wa Kristo, kana kwamba Mungu anawasihi kupitia kwa vinywa vyetu. Nasi twawaomba sana ninyi kwa niaba ya Kristo, mpatanishwe na Mungu.
21 Jer onoga koji ne znadijaše grijeha nas radi uèini grijehom, da mi budemo pravda Božija u njemu.
Kwa maana Mungu alimfanya yeye asiyekuwa na dhambi kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kufanywa haki ya Mungu kwake yeye.

< 2 Korinæanima 5 >