< Псалми 149 >

1 Алілу́я!
Msifuni Yahwe. Mwimbieni Yahwe wimbo mpya; imbeni sifa zake katika kusanyiko la waaminifu.
2 Хай Ізраїль радіє Творце́м своїм, хай Царем своїм тішаться діти Сіону!
Israeli ishangilie katika yeye aliye iumba; watu wa Sayuni na washangilie katika mfalme wao.
3 Нехай славлять Ім'я́ Його та́нцем, нехай виграва́ють для Нього на бу́бні та гу́слах,
Nao walisifu jina lake kwa kucheza; na wamuimbie sifa yeye kwa ngoma na kinubi.
4 бо знахо́дить Господь уподо́бу в наро́ді Своїм, прикраша́є покірних спасі́нням!
Kwa kuwa Yahwe hupata furaha katika watu wake; huwapa utukufu wanyeyekevu kwa wokovu.
5 Хай радіють у славі святі, хай співають на ло́жах своїх,
Wacha Mungu wauchangilie ushindi; nao waimbe kwa furaha vitandani mwao.
6 просла́влення Бога — на їхніх уста́х, а меч обосі́чний — ув їхніх рука́х,
Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na panga mbili zenye makali mkononi mwao
7 щоб чинити між племе́нами по́мсту, між наро́дами — ка́ри,
kutekeleza kisasi juu ya mataifa na matendo ya adhabu juu ya watu.
8 щоб їхніх царів пов'язати кайда́нами, а їхніх вельмо́ж — ланцюга́ми,
Nao watawafunga wafalme wao kwa minyororo na wakuu wao kwa pingu za chuma. Watatekeleza hukumu ambayo imeandikwa.
9 щоб між ними чини́ти суд написаний! Він — вели́чність для всіх богобі́йних! Алілу́я!
Hii itakuwa ni heshima kwa ajili ya watakatifu wake wote. Msifuni Yahwe.

< Псалми 149 >