< Псалми 141 >

1 Псалом Давидів.
Ee Yahwe, ninakulilia wewe; uje upesi kwangu. Unisikilize nikuitapo.
2 Нехай ста́не молитва моя як кади́ло перед лицем Твоїм, підно́шення рук моїх — як жертва вечі́рня!
Maombi yangu na yawe kama uvumba mbele zako; mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama dhabihu ya jioni.
3 Поклади, Господи, сторо́жу на у́ста мої, стережи́ двері губ моїх!
Ee Yahwe, uweke mlinzi kinywani mwangu; mngojezi malangoni pa midomo yangu.
4 Не дай нахиля́тися серцю моєму до речі лихо́ї, — щоб учи́нки робити безбо́жністю, із людьми, шо чинять пере́ступ, і щоб не ласува́вся я їхніми присма́ками!
Usiruhusu tamaa ya moyo wangu kutamani uovu wowote wala kushiriki katika matendo ya dhambi na watu waishio maovuni. Nisile vyakula vyao vya anasa.
5 Як праведний вра́зить мене, — то це милість, а доко́рить мені, — це оли́ва на го́лову, її не відкине моя голова, бо ще і молитва моя проти їхнього зла.
Mwenye haki na anipige; nao utakuwa ni wema kwangu. Anirudi; itakuwa kama mafuta kichwani pangu; kichwa changu na kisikatae kupokea. Lakini maombi yangu siku zote yatakuwa dhidi ya matendo yao mauvu.
6 Їхні су́дді по скелі розки́дані, та слова́ мої вчують, бо приємні вони.
Viongozi wao watatupwa chini toka juu mlimani; watayasikia maneno yangu kuwa ni matamu.
7 Як дро́ва руба́ють й розко́люють їх на землі, так розки́дані наші кістки́ над отво́ром шео́лу. (Sheol h7585)
Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol h7585)
8 Бо до Тебе, о Господи, Владико, мої очі, на Тебе наді́юсь — не зруйно́вуй мого життя!
Hakika macho yangu yanakutazama wewe, Yahwe, Bwana; katika wewe napata kimbilio; usiiache nafsi yangu.
9 Бережи Ти від па́стки мене, що на мене поставили, та від тене́т переступників!
Unilinde dhidi ya mitego waliyoiweka kwa ajili yangu, na matanzi yao watendao maovu.
10 Хай безбожні попа́дають ра́зом до сі́тки своєї, а я промину́!
Waovu na waangukie kwenye nyavu zao wenywe pindi mimi nitorokapo.

< Псалми 141 >