< Псалми 138 >

1 Давидів.
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote; mbele ya miungu nitakuimbia sifa.
2 Вклоняюсь до храму святого Твого, і сла́влю Іме́ння Твоє за Твоє милосердя й за правду Твою, бо звели́чив Ти був над усе Своє Йме́ння та слово Своє!
Nitasujundu mbele ya hekalu lako takatifu na kulishukuru jina lako kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na kwa uaminifu wako. Umelifanya muhimu zaidi neno lako na jina lako kuliko kitu chochote.
3 Удень, як взива́ю, почуєш мене, підбадьо́рюєш силою душу мою!
Siku ile niliyo kuita, ulinijibu; ulinitia moyo na kuitia nguvu nafsi yangu.
4 Усі зе́мні царі прославля́ть Тебе, Господи, бу́дуть, бо почують вони слово уст Твоїх,
Wafalme wote wa nchi watakushukuru wewe, Yahwe, maana watasikia maneno kutoka kinywani mwako.
5 і бу́дуть співати про Господні доро́ги, бо слава Господня велика,
Hakika, wataimba kuhusu matendo ya Yahwe, kwa kuwa utukufu wa Yahwe ni mkuu.
6 бо високий Госпо́дь, — але бачить низько́го, а гордого Він пізнає́ іздале́ка!
Maana ingawa Yahwe yuko juu, lakini anawajali wanyenyekevu, lakini hawatambui wenye majivuno.
7 Якщо серед тісно́ти піду́, — Ти ожи́виш мене, на лютість моїх ворогів пошлеш руку Свою, і прави́ця Твоя допоможе мені, —
Nijapopita katikati ya hatari, wewe utauhifadhi uhai wangu; utanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu, na mkono wako wa kuume utaniokoa.
8 для мене Господь оце виконає! Твоя милість, о Господи, вічна, — чи́нів Своєї руки не полиш!
Yahwe yuko pamoja nami hadi mwisho; uaminifu wa agano lako, Yahwe, wadumu milele. Usiwaache wale ambao mikono yako imewaumba.

< Псалми 138 >