< Йов 41 >

1 Чи левіята́на потя́гнеш гачко́м, і йому язика стягнеш шну́ром?
Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
2 Чи очерети́ну вкладеш йому в ні́здря, чи терни́ною що́ку йому продіра́виш?
Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
3 Чи він бу́де багато благати тебе, чи бу́де тобі говорити лагі́дне?
Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
4 Чи складе він умову з тобою, і ти ві́зьмеш його за раба собі вічного?
Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
5 Чи ним ба́витись будеш, як пта́хом, і прив'яжеш його для дівча́ток своїх?
Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
6 Чи ним спільники́ торгува́тимуть, чи поділять його між купців -ханане́їв?
Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
7 Чи шпилька́ми проко́лиш ти шкіру його, а остро́гою ри́б'ячою — його го́лову?
Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
8 Поклади ж свою ру́ку на нього, й згадай про війну, — і більше того не чини!
Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
9 Тож наді́я твоя неправдива, — на сам ви́гляд його упаде́ш.
Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
10 Нема смільчака́, щоб його він збудив, — а хто ж перед обличчям Моїм зможе стати?
Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
11 Хто ви́йде навпроти Мене́ — й буде ці́лий? Що під небом усім — це Моє!
Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
12 Не буду мовчати про чле́ни його, про стан його сили й красу́ його складу.
Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
13 Хто відкриє пове́рхню одежі його? Хто піді́йде коли до двійни́х його ще́лепів?
Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
14 Двері обличчя його хто відчи́нить? Навко́ло зубів його жах!
Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
15 Його спи́на — канали щитів, поє́днання їх — крем'яна́я печать.
Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
16 Одне до одно́го дохо́дить, а вітер між ними не про́йде.
Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
17 Одне до одно́го притве́рджені, сполучені, і не відді́ляться.
Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
18 Його чха́ння засвічує світло, а очі його — як пові́ки зорі́ світово́ї!
Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
19 Бу́хає по́лум'я з па́щі його, вириваються і́скри огне́нні!
Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
20 Із ні́здер його валить дим, немов з то́го горшка, що кипить та біжить.
Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
21 Його по́дих розпалює ву́гіль, і бу́хає по́лум'я з па́щі його.
Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
22 Сила ночує на шиї його, а страх перед ним утікає.
Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
23 М'ясо нутра́ його міцно тримається, — воно в ньому тверде́, не хитається.
Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
24 Його серце, мов з каменя вилите, і тверде́, як те долішнє жо́рно!
Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
25 Як підво́диться він, перелякуються силачі́, та й ховаються з жа́ху.
Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
26 Той меч, що дося́гне його, не встої́ть, ані спис, ані ра́тище й па́нцер.
Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
27 За солому залізо вважає, а мідь — за гнилу́ дереви́ну!
Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
28 Син лука, стріла, не приму́сит увтікати його, камі́ння із пра́щі для нього зміняється в сіно.
Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
29 Булаву́ уважає він за соломи́нку, і сміється із по́свисту ра́тища.
Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
30 Під ним гостре чере́п'я, — лягає на го́стре, немов у болото.
Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
31 Чинить він, що кипить глибочі́нь, мов горня́, і обе́ртає море в окрі́п.
Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
32 Стежка світить за ним, а безо́дня здається йому́ сиви́ною.
Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
33 Немає подоби йому на землі, він безстрашним створений,
Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
34 він бачить усе, що висо́ке, він цар над усім пишним зві́р'ям!“
Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”

< Йов 41 >