< 2 до коринтян 2 >

1 А я постановив у собі те, щоб до вас не прийти знов у смутку.
Kwa hiyo niliamua kwa sehemu yangu mwenyewe kwamba nisingekuja tena kwenu katika hali ya uchungu.
2 Бо коли я засму́чую вас, то хто той, хто потішить мене, як не той, кого я засмути́в?
Kama niliwasababishia ninyi maumivu, ni nani angenifurahisha mimi, lakini ni yule ambaye aliumizwa na mimi?
3 І це саме писав я до вас, щоб, прийшовши, я смутку не мав би від тих, що від них мені тішитися нале́жало, про всіх вас бувши певний, що радість моя — то радість усіх вас!
Niliandika kama nilivyofanya ili kwamba wakati nikija kwenu nisiweze kuumizwa na wale ambao wangekuwa wamenifanya nifurahi. Ninao ujasiri kuhusu ninyi nyote kwamba furaha yangu ni furaha ile ile mliyonayo ninyi nyote.
4 Бо з великого горя та з ту́ги сердечної я написав вам з рясни́ми слізьми́ не на те, щоб були ви засму́чені, але щоб пізнали любов, що в мене її пребагато до вас!
Kwa kuwa niliwaandikia ninyi kutokana na mateso makubwa, na dhiki ya moyo, na kwa machozi mengi. Sikutaka kuwasababishia ninyi maumivu. Badala yake, nilitaka mjue upendo wa kina nilionao kwa ajili yenu.
5 А як хто засмутив, не мене засмутив, а поча́сти — щоб не пригніти́ти — і всіх вас.
Kama kuna yeyote amesababisha maumivu, hajasababisha tu kwangu, lakini kwa kiwango fulani - bila kuweka ukali zaidi - kwenu ninyi nyote.
6 До́сить такому кара́ння того, що від багатьох,
Hii adhabu ya mtu huyo kwa wengi inatosha.
7 через те навпаки́, — краще простити й поті́шити, щоб смуток великий його не поже́р.
Kwa hiyo sasa badala ya adhabu, mnapaswa kumsamehe na kumfariji. Fanyeni hivi ili kwamba asiweze kushindwa na huzuni iliyozidi.
8 Через те вас благаю: зміцніть до нього любов!
Kwa hiyo ninawatia moyo kuthibitisha upendo wenu hadharani kwa ajili yake.
9 Бо на це я й писав, щоб пізнати ваш до́свід, чи в усім ви слухня́ні.
Hii ndiyo sababu niliandika, ili kwamba niweze kuwajaribu na kujua kuwa kama ni watii katika kila kitu.
10 А кому ви прощаєте що, тому й я; бо й я, як простив що кому, то кому я простив, зробив те через вас від Особи Христа,
Kama mkimsamehe yeyote, na mimi pia namsamehe mtu huyo. Kile nilicho kisamehe - kama nimesamehe chochote-kimesamehewa kwa faida yenu katika uwepo wa Kristo.
11 щоб нас сатана не перехитрував, — відо́мі бо нам його задуми!
Hii ni kwamba Shetani asije akatufanyia madanganyo. Kwa kuwa sisi sio wajinga kwa mipango yake.
12 А коли я прийшов до Троа́ди звіщати Христову Єва́нгелію, і були двері для мене відчинені в Господі,
Mlango ulifunguliwa kwangu na Bwana nilipokuja kwenye mji wa Troa kuhubiri injili ya Kristo pale.
13 не мав я споко́ю для духа свого, бо я не знайшов був свого брата Тита; але, попрощавшися з ними, я пішов в Македонію.
Hata hivyo, sikuwa na amani ya moyo, kwa sababu sikumkuta ndugu yangu Tito pale. Hivyo niliwaacha na nikarudi Makedonia.
14 А Богові подяка, що Він постійно чинить нас переможцями в Христі, і запа́шність знання́ про Себе через нас виявляє на всякому місці!
Lakini ashukuriwe Mungu, ambaye katika Kristo mara zote hutuongoza sisi katika ushindi. Kupitia sisi husambaza harufu nzuri ya maarifa yake mahala pote.
15 Ми бо для Бога Христова запа́шність серед тих, хто спасається, і тих, які гинуть,
Kwa kuwa sisi kwa Mungu, ni harufu nzuri ya Kristo, wote kati ya wale waliookolewa na kati ya wale wanaoangamia.
16 для одних бо смертельна запа́шність на смерть, а для других запа́шність життє́ва в життя. І хто здатен на це?
Kwa watu ambao wanaangamia, ni harufu kutoka kifo hadi kifo. Kwa wale wanaookolewa, ni harufu nzuri kutoka uzima hadi uzima. Ni nani anayestahili vitu hivi?
17 Бо ми не такі, як багато-хто, що Боже Слово фальшують, але ми провіщаємо, як із щирости, як від Бога, перед Богом, у Христі!
Kwa kuwa sisi sio kama watu wengi wanaouza neno la Mungu kwa faida. Badala yake, kwa usafi wa nia, tunanena katika Kristo, kama vile tunavyotumwa kutoka kwa Mungu, mbele ya Mungu.

< 2 до коринтян 2 >