< Çölde Sayim 13 >

1 RAB Musa'ya, “İsrail halkına vereceğim Kenan ülkesini araştırmak için bazı adamlar gönder” dedi, “Ataların her oymağından bir önder gönder.”
Bwana akamwambia Mose,
2
“Watume baadhi ya watu wakaipeleleze nchi ya Kanaani, ambayo ninawapa Waisraeli. Kutoka kwa kila kabila la baba zao, tuma mmoja wa viongozi wao.”
3 Musa RAB'bin buyruğu uyarınca Paran Çölü'nden adamları gönderdi. Hepsi İsrail halkının önderlerindendi.
Hivyo kwa agizo la Bwana Mose akawatuma kutoka Jangwa la Parani. Wote walikuwa viongozi wa Waisraeli.
4 Adları şöyleydi: Ruben oymağından Zakkur oğlu Şammua;
Haya ndiyo majina yao: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
5 Şimon oymağından Hori oğlu Şafat;
kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
6 Yahuda oymağından Yefunne oğlu Kalev;
kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
7 İssakar oymağından Yusuf oğlu Yigal;
kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yosefu;
8 Efrayim oymağından Nun oğlu Hoşea;
kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
9 Benyamin oymağından Rafu oğlu Palti;
kutoka kabila la Benyamini, Palti mwana wa Rafu;
10 Zevulun oymağından Sodi oğlu Gaddiel;
kutoka kabila la Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi,
11 Yusuf oymağından –Manaşşe oymağından– Susi oğlu Gaddi;
kutoka kabila la Manase (kabila la Yosefu), Gadi mwana wa Susi;
12 Dan oymağından Gemalli oğlu Ammiel;
kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemali;
13 Aşer oymağından Mikael oğlu Setur;
kutoka kabila la Asheri, Sethuri mwana wa Mikaeli;
14 Naftali oymağından Vofsi oğlu Nahbi;
kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Wofsi;
15 Gad oymağından Maki oğlu Geuel.
kutoka kabila la Gadi, Geueli mwana wa Maki.
16 Ülkeyi araştırmak üzere Musa'nın gönderdiği adamlar bunlardı. Musa Nun oğlu Hoşea'ya Yeşu adını verdi.
Haya ndiyo majina ya watu ambao Mose aliwatuma kuipeleleza nchi. (Mose akampa Hoshea mwana wa Nuni jina Yoshua.)
17 Musa, Kenan ülkesini araştırmak üzere onları gönderirken, “Negev'e, dağlık bölgeye gidin” dedi,
Mose alipowatuma wakaipeleleze Kanaani, alisema, “Pandeni kupitia Negebu, mwende mpaka nchi ya vilima.
18 “Nasıl bir ülke olduğunu, orada yaşayan halkın güçlü mü zayıf mı, çok mu az mı olduğunu öğrenin.
Mwone nchi ni ya namna gani, na kama watu waishio humo wana nguvu au ni wadhaifu, iwapo ni wachache au wengi.
19 Yaşadıkları ülke iyi mi kötü mü, kentleri nasıl, surlu mu değil mi anlayın.
Wanaishi katika nchi ya namna gani? Je, ni nzuri au mbaya? Wanaishi katika miji ya namna gani? Je, haina kuta au ngome?
20 Toprak nasıl? Verimli mi, kıraç mı? Çevre ağaçlık mı, değil mi? Elinizden geleni yapıp orada yetişen meyvelerden getirin.” Mevsim üzümün olgunlaşmaya başladığı zamandı.
Ardhi iko aje? Ina rutuba au la? Je, kuna miti ndani yake au la? Jitahidini kadiri mwezavyo kuleta baadhi ya matunda ya nchi.” (Ulikuwa msimu wa kuiva zabibu za kwanza.)
21 Böylece adamlar yola çıkıp ülkeyi Zin Çölü'nden Levo-Hamat'a doğru Rehov'a dek araştırdılar.
Hivyo wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka Jangwa la Sini hadi Rehobu, kuelekea Lebo-Hamathi.
22 Negev'den geçip Anakoğulları'ndan Ahiman, Şeşay ve Talmay'ın yaşadığı Hevron'a vardılar. –Hevron Mısır'daki Soan Kenti'nden yedi yıl önce kurulmuştu.–
Wakapanda kupitia Negebu hadi wakafika Hebroni, mahali ambapo Ahimani, Sheshai na Talmai, wazao wa Anaki, waliishi. (Hebroni ulikuwa umejengwa miaka saba kabla ya mji wa Soani ulioko Misri.)
23 Eşkol Vadisi'ne varınca, üzerinde bir salkım üzüm olan bir asma dalı kestiler. Adamlardan ikisi dalı bir sırıkta taşıdılar. Yanlarına nar, incir de aldılar.
Walipofika katika Bonde la Eshkoli, walivunja tawi lililokuwa na kishada kimoja cha zabibu. Wawili wao wakalichukua lile tawi kwenye mti, pamoja na komamanga na tini.
24 İsrailliler'in kestiği üzüm salkımından dolayı oraya Eşkol Vadisi adı verildi.
Eneo lile likaitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya kile kishada cha zabibu ambacho Waisraeli walikikata huko.
25 Kırk gün dolaştıktan sonra adamlar ülkeyi araştırmaktan döndüler.
Mwishoni mwa siku arobaini wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.
26 Paran Çölü'ndeki Kadeş'e, Musa'yla Harun'un ve İsrail topluluğunun yanına geldiler. Onlara ve bütün topluluğa gördüklerini anlatıp ülkenin ürünlerini gösterdiler.
Wakarudi kwa Mose, Aroni na jumuiya yote ya Waisraeli huko Kadeshi kwenye Jangwa la Parani. Hapo ndipo walipotoa habari kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya hiyo nchi.
27 Musa'ya, “Bizi gönderdiğin ülkeye gittik” dediler, “Gerçekten süt ve bal akıyor orada! İşte ülkenin ürünleri!
Wakampa Mose taarifa hii: “Tuliingia katika nchi uliyotutuma, nayo inatiririka maziwa na asali! Hili hapa tunda lake.
28 Ancak orada yaşayan halk güçlü, kentler de surlu ve çok büyük. Orada Anak soyundan gelen insanları bile gördük.
Lakini watu wanaoishi huko ni wenye nguvu, na miji yao ina ngome na ni mikubwa sana. Huko tuliona hata wazao wa Anaki.
29 Amalekliler Negev'de; Hititler, Yevuslular ve Amorlular dağlık bölgede; Kenanlılar da denizin yanında ve Şeria Irmağı'nın kıyısında yaşıyor.”
Waamaleki wanaishi Negebu; Wahiti, Wayebusi na Waamori wanaishi katika nchi ya vilima; nao Wakanaani wanaishi karibu na bahari na kando ya Yordani.”
30 Kalev, Musa'nın önünde halkı susturup, “Oraya gidip ülkeyi ele geçirelim. Kesinlikle buna yetecek gücümüz var” dedi.
Kisha Kalebu akawanyamazisha watu mbele ya Mose na kusema, “Imetupasa kupanda na kuimiliki nchi, kwa maana hakika tunaweza kufanya hivyo.”
31 Ne var ki, kendisiyle oraya giden adamlar, “Bu halka saldıramayız, onlar bizden daha güçlü” dediler.
Lakini watu waliokuwa wamepanda pamoja naye wakasema, “Hatuwezi kuwashambulia wale watu; wana nguvu kutuliko sisi.”
32 Araştırdıkları ülke hakkında İsrailliler arasında kötü haber yayarak, “Boydan boya araştırdığımız ülke, içinde yaşayanları yiyip bitiren bir ülkedir” dediler, “Üstelik orada gördüğümüz herkes uzun boyluydu.
Wakaeneza taarifa mbaya miongoni mwa Waisraeli kuhusu nchi waliyoipeleleza. Wakasema, “Nchi tuliyoipeleleza hula watu waishio ndani yake. Watu wote tuliowaona huko ni majitu.
33 Nefiller'i, Nefiller'in soyundan gelen Anaklılar'ı gördük. Onların yanında kendimizi çekirge gibi hissettik, onlara da öyle göründük.”
Tuliwaona Wanefili huko (wazao wa Anaki wanatokana na Wanefili.) Tulijiona kama panzi machoni petu wenyewe, nao ndivyo walivyotuona.”

< Çölde Sayim 13 >