< Eyüp 33 >

1 “Ama şimdi lütfen sözümü dinle, Eyüp, Söyleyeceğim her şeye kulak ver.
“Lakini Ayubu, sasa, sikiliza maneno yangu; zingatia kila kitu nitakachosema.
2 Ağzımı açtım açacağım, Söyleyeceklerim dilimin ucunda.
Karibu nitafungua kinywa changu; maneno yangu yapo katika ncha ya ulimi wangu.
3 Sözlerim temiz bir yürekten çıkıyor, Dudaklarım bildiklerini içtenlikle söylüyor.
Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu; midomo yangu hunena kwa uaminifu yale niyajuayo.
4 Beni Tanrı'nın Ruhu yarattı, Her Şeye Gücü Yeten'in soluğu yaşam veriyor bana.
Roho wa Mungu ameniumba; pumzi ya Mwenyezi hunipa uhai.
5 Elinden gelirse beni yanıtla, Kendini hazırla, karşımda dur.
Unijibu basi, kama unaweza; jiandae kunikabili mimi.
6 Tanrı'nın önünde ben de tıpkı senin gibiyim, Ben de balçıktan yaratıldım.
Mimi ni kama wewe mbele za Mungu; mimi pia nimetolewa kwenye udongo.
7 Onun için dehşetim seni yıldırmasın, Baskım sana ağır gelmesin.
Huna sababu ya kuniogopa, wala mkono wangu haupaswi kukulemea.
8 “Sesin hâlâ kulaklarımda, Şöyle demiştin:
“Lakini umesema nikiwa ninakusikia, nami nilisikia maneno yenyewe:
9 ‘Ben kusursuz ve günahsızım, Temiz ve suçsuzum.
‘Mimi ni safi na sina dhambi; mimi ni safi na sina hatia.
10 Yine de Tanrı bana karşı bahane arıyor, Beni düşman görüyor.
Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu, naye ananiona kama adui yake.
11 Ayaklarımı tomruğa vuruyor, Yollarımı gözetliyor.’
Ananifunga miguu kwa pingu, tena anaziangalia njia zangu zote kwa karibu.’
12 “Ama sana şunu söyleyeyim, Bu konuda haksızsın. Çünkü Tanrı insandan büyüktür.
“Lakini mimi ninakuambia, katika jambo hili wewe una makosa, kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
13 İnsanın hiçbir sözünü yanıtlamıyor diye Niçin O'nunla çekişiyorsun?
Kwa nini unamlalamikia kwamba yeye hamjibu mwanadamu?
14 Çünkü insan anlamasa da, Tanrı şu ya da bu yolla konuşur.
Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja, au wakati mwingine kwa njia nyingine, ingawa mwanadamu anaweza asielewe.
15 Rüyada, geceleyin görümde, İnsanları ağır uyku basınca, Yatakta yatarlarken,
Mungu husema na mwanadamu katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito uwaangukiapo wanadamu wasinziapo vitandani mwao,
16 Kulaklarına konuşur, Uyarısıyla onları korkutur;
anaweza akasemea masikioni mwao, na kuwatia hofu kwa maonyo,
17 Onları yaptıkları kötülükten döndürmek, Gururdan uzak tutmak,
ili kumgeuza mtu kutoka kwenye kutenda mabaya na kumwepusha na kiburi,
18 Canlarını çukurdan, Hayatlarını ölümden kurtarmak için.
kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.
19 İnsan yatağında acılarla, Kemiklerinde dinmez sızılarla yola getirilir.
Mtu anaweza kutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake, kwa dhiki za mfululizo katika mifupa yake,
20 Öyle ki, içi yemek kaldırmaz, En lezzetli yiyecekten tiksinir.
kiasi kwamba maisha yake yenyewe yanakataa chakula nayo nafsi yake ikakichukia kabisa hata chakula kizuri.
21 Eti erir, görünmez olur, Gözükmeyen kemikleri ortaya çıkar.
Nyama ya mwili wake huisha kwa kukonda, nayo mifupa yake ambayo mwanzoni ilikuwa imefichika, sasa inatokeza nje.
22 Canı çukura, Hayatı ölüm meleklerine yaklaşır.
Nafsi yake inakaribia kaburi, nao uhai wake karibu na wajumbe wa kifo.
23 “Yine de insana doğruyu bildirmek için Yanında bir melek, bin melekten biri Arabulucu olarak bulunursa,
“Kama bado kuna malaika upande wake kama mtetezi, mmoja miongoni mwa elfu, wa kumwambia mwanadamu lililo jema kwake,
24 Ona lütfeder de, ‘Onu ölüm çukuruna inmekten kurtar, Ben fidyeyi buldum’ derse,
kumwonea huruma na kusema, ‘Mwokoe asije akatumbukia shimoni; nimepata ukombozi kwa ajili yake’:
25 Eti çocuk eti gibi yenilenir, Gençlik günlerine döner.
ndipo nyama ya mwili wake hufanywa mpya kama ya mtoto; hurudishwa upya kama siku za ujana wake.
26 Dua ettiğinde Tanrı ondan hoşnut kalır, O da Tanrı'nın yüzünü görüp sevinir. Tanrı onun durumunu düzeltir.
Humwomba Mungu, akapata kibali kwake, huuona uso wa Mungu na kushangilia kwa furaha; Mungu humrudisha katika hali yake ya uadilifu.
27 Sonra insanların önünde türkü çağırır: ‘Günah işleyip doğru yoldan saptım, Ama Tanrı hak ettiğim cezayı vermedi bana,
Ndipo huja mbele za watu na kusema, ‘Nilitenda dhambi na kupotosha kilichokuwa haki, lakini sikuadhibiwa kama nilivyostahili.
28 Canımı çukura inmekten O kurtardı, Işığı görmek için yaşayacağım.’
Alinikomboa nafsi yangu nisitumbukie shimoni, nami nitaishi ili kuufurahia mwanga.’
29 “İşte, insanın canını çukurdan çıkarmak, Onu yaşam ışığıyla aydınlatmak için Tanrı bütün bunları iki kez, Hatta üç kez yapar.
“Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu; mara mbili hata mara tatu,
ili aigeuze nafsi yake toka shimoni, ili nuru ya uzima imwangazie.
31 “İyi dinle, Eyüp, kulak ver, Sen sus, ben konuşacağım.
“Ayubu, zingatia, nisikilize mimi; nyamaza, nami nitanena.
32 Söyleyeceğin bir şey varsa söyle, Çünkü seni haklı çıkarmak isterim.
Kama unalo lolote la kusema, unijibu; sema, kwa maana ninataka uonekane huna hatia.
33 Yoksa, beni dinle, Sus da sana bilgelik öğreteyim.”
Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi; nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”

< Eyüp 33 >