< Eyüp 3 >

1 Sonunda Eyüp ağzını açtı ve doğduğu güne lanet edip şöyle dedi:
Baada ya jambo hili, Ayubu akafumbua kinywa chake na kuilaani siku ya kuzaliwa kwake.
2
Kisha akasema:
3 “Doğduğum gün yok olsun, ‘Bir oğul doğdu’ denen gece yok olsun!
“Siku ya kuzaliwa kwangu na ipotelee mbali, nao usiku ule iliposemekana, ‘Mtoto wa kiume amezaliwa!’
4 Karanlığa bürünsün o gün, Yüce Tanrı onunla ilgilenmesin, Üzerine ışık doğmasın.
Siku ile na iwe giza; Mungu juu na asiiangalie; nayo nuru isiiangazie.
5 Karanlık ve ölüm gölgesi sahip çıksın o güne, Bulut çöksün üzerine; Işığını karanlık söndürsün.
Giza na kivuli kikuu kiikalie tena; wingu na likae juu yake; weusi na uifunike nuru yake.
6 Zifiri karanlık yutsun o geceyi, Yılın günleri arasında sayılmasın, Aylardan hiçbirine girmesin.
Usiku ule na ushikwe na giza kuu; usihesabiwe katika siku za mwaka, wala usihesabiwe katika siku za mwezi wowote.
7 Kısır olsun o gece, Sevinç sesi duyulmasın içinde.
Usiku ule na uwe tasa; sauti ya furaha na isisikike ndani yake.
8 Günleri lanetleyenler, Livyatan'ı uyandırmaya hazır olanlar, O günü lanetlesin.
Wale wazilaanio siku wailaani hiyo siku, wale walio tayari kumwamsha Lewiathani.
9 Akşamının yıldızları kararsın, Boş yere aydınlığı beklesin, Tan atışını görmesin.
Nyota zake za alfajiri na ziwe giza; nao ungojee mwanga bila mafanikio, wala usiuone mwonzi wa kwanza wa mapambazuko,
10 Çünkü sıkıntı yüzü görmemem için Anamın rahminin kapılarını üstüme kapamadı.
kwa sababu huo usiku haukunifungia mlango wa tumbo la mama yangu, ili kuyaficha macho yangu kutokana na taabu.
11 “Neden doğarken ölmedim, Rahimden çıkarken son soluğumu vermedim?
“Kwa nini sikuangamia wakati wa kuzaliwa? Kwa nini sikufa nilipokuwa ninatoka tumboni?
12 Neden beni dizler, Emeyim diye memeler karşıladı?
Kwa nini pakawa na magoti ya kunipokea na matiti ili nipate kunyonyeshwa?
13 Çünkü şimdi huzur içinde yatmış, Uyuyup dinlenmiş olurdum;
Kwa maana sasa ningekuwa nimepumzika kwa amani. Ningekuwa nimelala na kupumzika
14 Yaptırdıkları kentler şimdi viran olan Dünya kralları ve danışmanlarıyla birlikte,
pamoja na wafalme na washauri wa dunia, waliojijengea mahali ambapo sasa ni magofu,
15 Evlerini gümüşle dolduran Altın sahibi önderlerle birlikte.
pamoja na watawala waliokuwa na dhahabu, waliozijaza nyumba zao kwa fedha.
16 Neden düşük bir çocuk gibi, Gün yüzü görmemiş yavrular gibi toprağa gömülmedim?
Au kwa nini sikufichwa ardhini kama mtoto aliyezaliwa mfu, kama mtoto mchanga ambaye kamwe hakuuona mwanga?
17 Orada kötüler kargaşayı bırakır, Yorgunlar rahat eder.
Huko waovu huacha kusumbua na huko waliochoka hupumzika.
18 Tutsaklar huzur içinde yaşar, Angaryacının sesini duymazlar.
Wafungwa nao hufurahia utulivu wao, hawasikii tena sauti ya kukemea ya kiongozi wa watumwa.
19 Küçük de büyük de oradadır, Köle efendisinden özgürdür.
Wadogo na wakubwa wamo humo, na mtumwa ameachiwa huru kutoka kwa bwana wake.
20 “Niçin sıkıntı çekenlere ışık, Acı içindekilere yaşam verilir?
“Mbona nuru inawaangazia wale walio taabuni, na hao wenye uchungu kupewa uhai,
21 Oysa onlar gelmeyen ölümü özler, Onu define arar gibi ararlar;
wale wanaotamani kifo ambacho hakiji, wale watafutao kufa zaidi ya kutafuta hazina iliyofichwa,
22 Mezara kavuşunca Neşeden coşar, sevinç bulurlar.
ambao hujawa na furaha, na hushangilia wafikapo kaburini?
23 Neden yaşam verilir nereye gideceğini bilmeyen insana, Çevresini Tanrı'nın çitle çevirdiği kişiye?
Kwa nini uhai hupewa mtu ambaye njia yake imefichika, ambaye Mungu amemzungushia boma?
24 Çünkü iniltim ekmekten önce geliyor, Su gibi dökülmekte feryadım.
Kwa maana kulia kwangu kwa uchungu kwanijia badala ya chakula; kusononeka kwangu kunamwagika kama maji.
25 Korktuğum, Çekindiğim başıma geldi.
Lile nililokuwa naliogopa limenijia; lile nililokuwa ninalihofia limenipata.
26 Huzur yok, sükûnet yok, rahat yok, Yalnız kargaşa var.”
Sina amani, wala utulivu; sina pumziko, bali taabu tu.”

< Eyüp 3 >