< 1 Samuel 11 >

1 Ammon Kralı Nahaş Yaveş-Gilat üzerine yürüyüp kenti kuşattı. Bütün Yaveşliler, Nahaş'a, “Bizimle bir antlaşma yap, sana kulluk ederiz” dediler.
Nahashi yule Mwamoni, akakwea kuuzunguka kwa jeshi mji wa Yabeshi-Gileadi. Watu wote wa Yabeshi wakamwambia, “Fanya mkataba na sisi, na tutakuwa chini yako.”
2 Ama Ammonlu Nahaş, “Ancak bir koşulla sizinle antlaşma yaparım” diye karşılık verdi, “Bütün İsrail halkını küçük düşürmek için her birinizin sağ gözünü oyup çıkaracağım.”
Lakini Nahashi yule Mwamoni akajibu, “Nitafanya mkataba na ninyi tu kwa sharti kwamba nitangʼoa jicho la kulia la kila mmoja wenu, na hivyo kuleta aibu juu ya Israeli yote.”
3 Yaveş Kenti'nin ileri gelenleri ona, “İsrail'in her bölgesine ulaklar göndermemiz için bize yedi günlük bir süre tanı” dediler, “Eğer bizi kurtaracak kimse çıkmazsa o zaman sana teslim oluruz.”
Viongozi wa Yabeshi wakamwambia, “Tupe siku saba ili tuweze kutuma wajumbe katika Israeli yote, kama hakuna hata mmoja anayekuja kutuokoa, tutajisalimisha kwako.”
4 Ulaklar Saul'un yaşadığı Giva Kenti'ne gelip olanları halka bildirince, herkes hıçkıra hıçkıra ağlamaya başladı.
Wajumbe walipofika Gibea ya Sauli na kutoa taarifa juu ya masharti haya kwa watu, wote walilia kwa sauti kubwa.
5 Tam o sırada Saul, öküzlerinin ardında, tarladan dönüyordu. “Halka ne oldu? Neden böyle ağlıyorlar?” diye sordu. Yaveşliler'in söylediklerini ona anlattılar.
Wakati huo huo Sauli alikuwa anarudi kutoka mashambani, akiwa nyuma ya maksai wake, naye akauliza, “Watu wana nini? Mbona wanalia?” Ndipo wakamweleza jinsi watu wa Yabeshi walivyokuwa wamesema.
6 Saul bu sözleri duyunca, Tanrı'nın Ruhu güçlü bir biçimde onun üzerine indi. Saul çok öfkelendi.
Sauli aliposikia maneno yao, Roho wa Mungu akaja juu yake kwa nguvu, naye akawaka hasira.
7 Bir çift öküz alıp parçaladı. Ulaklar aracılığıyla İsrail'in her bölgesine bu parçaları gönderip şöyle dedi: “Saul ile Samuel'in ardınca gelmeyen herkesin öküzlerine de aynı şey yapılacaktır.” Halk RAB korkusuyla sarsıldı ve tek beden halinde yola çıktı.
Akachukua jozi ya maksai na kuwakata vipande vipande, naye kuvituma hivyo vipande kupitia wajumbe katika Israeli yote, wakitangaza, “Hivi ndivyo itakavyofanyika kwa maksai wa kila mmoja ambaye hatamfuata Sauli na Samweli.” Kisha hofu ya Bwana ikawaangukia watu, nao wakatoka kama mtu mmoja.
8 Saul onları Bezek'te topladı. İsrail halkı üç yüz bin, Yahudalılar ise otuz bin kişiydi.
Sauli alipowakusanya huko Bezeki, watu wa Israeli walikuwa 300,000 na watu wa Yuda 30,000.
9 Oraya gelen Yaveşli ulaklara şöyle dediler: “Yaveş-Gilat halkına, ‘Yarın öğleye doğru kurtarılacaksınız’ deyin.” Ulaklar gidip bu haberi iletince Yaveşliler sevindi.
Wakawaambia wale wajumbe waliokuwa wamekuja, “Waambieni watu wa Yabeshi-Gileadi, ‘Kesho kabla jua halijawa kali, mtaokolewa.’” Wajumbe walipokwenda na kutoa taarifa hii kwa watu wa Yabeshi, wakafurahi.
10 Ammonlular'a, “Yarın size teslim olacağız” dediler, “Bize ne dilerseniz yapın.”
Wakawaambia Waamoni, “Kesho tutajisalimisha kwenu, nanyi mtaweza kututendea chochote mnachoona chema kwenu.”
11 Ertesi gün Saul adamlarını üç bölüğe ayırdı. Adamlar sabah nöbetinde Ammonlular'ın ordugahına girdi. Kırım günün en sıcak zamanına dek sürdü. Sağ kalanlar dağıldı; iki kişi bile bir arada kalmadı.
Kesho yake Sauli alitenganisha watu wake katika vikosi vitatu; wakati wa zamu ya mwisho ya usiku wakaingia katika kambi ya Waamoni na kuwachinja mpaka mchana. Wale walionusurika wakasambaa, kiasi kwamba hawakusalia watu wawili pamoja.
12 Bundan sonra halk Samuel'e, “‘Saul mu bize krallık yapacak?’ diyenler kimdi? Getirin onları, öldürelim” dedi.
Kisha watu wakamwambia Samweli, “Ni nani yule aliyeuliza, ‘Je, Sauli atatawala juu yetu?’ Tuletee hawa watu, nasi tutawaua.”
13 Ama Saul, “Bugün hiç kimse öldürülmeyecek” diye yanıtladı, “Çünkü RAB bugün İsrail halkına kurtuluş verdi.”
Lakini Sauli akasema, “Hakuna hata mmoja atakayeuawa leo, kwa kuwa siku hii Bwana ameokoa Israeli.”
14 Samuel halka, “Haydi, Gilgal'a gidip orada krallığı yeniden onaylayalım” dedi.
Ndipo Samweli akawaambia watu, “Njooni, twendeni Gilgali na huko tuthibitishe ufalme.”
15 Böylece bütün halk Gilgal'a gidip RAB'bin önünde Saul'un kral olduğunu onayladı. Orada, RAB'bin önünde esenlik kurbanları kestiler; Saul da bütün İsrailliler de büyük bir sevinç yaşadılar.
Kwa hiyo watu wote wakaenda Gilgali na kumthibitisha Sauli kuwa mfalme mbele za Bwana. Huko wakatoa dhabihu za sadaka za amani mbele za Bwana, naye Sauli na Waisraeli wote wakafanya karamu kubwa.

< 1 Samuel 11 >