< 1 Tarihler 8 >

1 Benyamin'in ilk oğlu Bala, İkinci oğlu Aşbel, Üçüncü oğlu Ahrah,
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 Dördüncü oğlu Noha, Beşinci oğlu Rafa'ydı.
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 Bala'nın oğulları: Addar, Gera, Avihut,
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4 Avişua, Naaman, Ahoah,
Abishua, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Şefufan, Huram.
Gera, Shefufani na Huramu.
6 Ehutoğulları Geva'da yaşayan ailelerin başlarıydı. Oradan Manahat'a sürüldüler. Adları şunlardır:
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 Naaman, Ahiya ve onları sürgüne gönderen Gera. Gera Uzza'yla Ahihut'un babasıydı.
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 Şaharayim, karıları Huşim'le Baara'yı boşadıktan sonra, Moav kırında çocuk sahibi oldu.
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 Yeni karısı Hodeş'ten doğan oğulları şunlardır: Yovav, Sivya, Meşa, Malkam,
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 Yeus, Sakeya, Mirma. Bunlar Şaharayim'in oğullarıydı. Hepsi de boy başlarıydı.
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 Şaharayim'in karısı Huşim'den de Avituv ve Elpaal adında iki oğlu vardı.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 Elpaal'ın oğulları: Ever, Mişam, Ono ve Lod kentleriyle çevrelerindeki köyleri yeniden kuran Şemet, Beria, Şema. Beria'yla Şema Ayalon'da yaşayan halkın boy başlarıydı. Bunlar Gat'ta yaşayan halkı sürdüler.
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 Ahyo, Şaşak, Yeremot,
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
15 Zevadya, Arat, Eder,
Zebadia, Aradi, Ederi,
16 Mikael, Yişpa ve Yoha Beria'nın oğullarıydı.
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 Zevadya, Meşullam, Hizki, Hever,
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 Yişmeray, Yizliya ve Yovav Elpaal'ın oğullarıydı.
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
19 Yakim, Zikri, Zavdi,
Yakimu, Zikri, Zabdi,
20 Elienay, Silletay, Eliel,
Elienai, Silethai, Elieli,
21 Adaya, Beraya ve Şimrat Şimi'nin oğullarıydı.
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
22 Şaşak'ın oğulları: Yişpan, Ever, Eliel,
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
23 Avdon, Zikri, Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hananya, Elam, Antotiya,
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 Yifdeya, Penuel.
Ifdeya na Penueli.
26 Yeroham'ın oğulları: Şamşeray, Şeharya, Atalya,
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 Yaareşya, Eliya, Zikri.
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 Bunların hepsi soy kütüğüne göre boy başları ve önderlerdi. Yeruşalim'de yaşadılar.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 Givon'un kurucusu Yeiel Givon'da yaşadı. Karısının adı Maaka'ydı.
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 Yeiel'in ilk oğlu Avdon'du. Öbürleri şunlardı: Sur, Kiş, Baal, Ner, Nadav,
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 Gedor, Ahyo, Zeker
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 ve Şima'nın babası Miklot. Bunlar Yeruşalim'deki akrabalarının yanında yaşarlardı.
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 Ner Kiş'in, Kiş Saul'un babasıydı. Saul Yonatan, Malkişua, Avinadav ve Eşbaal'ın babasıydı.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 Yonatan Merib-Baal'ın, Merib-Baal Mika'nın babasıydı.
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 Mika'nın oğulları: Piton, Melek, Tarea, Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 Ahaz Yehoadda'nın babasıydı. Yehoadda Alemet, Azmavet, Zimri'nin, Zimri Mosa'nın,
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 Mosa Binea'nın, Binea Rafa'nın, Rafa Elasa'nın, Elasa da Asel'in babasıydı.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 Asel'in altı oğlu vardı. Adları şöyledir: Azrikam, Bokeru, İsmail, Şearya, Ovadya, Hanan. Bütün bunlar Asel'in oğullarıydı.
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 Asel'in kardeşi Esek'in oğulları: İlk oğlu Ulam, ikincisi Yeuş, üçüncüsü Elifelet.
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 Ulamoğulları ok atmakta usta, yiğit savaşçılardı. Ulam'ın birçok oğlu, torunu vardı. Sayıları yüz elli kişiydi. Hepsi Benyamin soyundandı.
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

< 1 Tarihler 8 >