< Klagovisorna 4 >

1 Huru har icke guldet berövats sin glans, den ädla metallen förvandlats! Heliga stenar ligga kringkastade i alla gators hörn.
Dhahabu imechakaa; jinsi gani dhahabu safi imebadilika! Mawe matakatifu yamezagaa katika kila njia ya mtaa.
2 Sions ädlaste söner som aktades lika med fint guld, huru räknas de icke nu såsom lerkärl, krukmakarhänders verk!
Wana wa dhamani wa Sayuni walikuwa na dhamani ya uzito wa dhahabu safi, lakini sasa hawana dhamani zaidi ya majagi ya udogo, kazi ya mikono ya mfinyazi!
3 Själva schakalerna räcka spenarna åt sina ungar för att giva dem di; men dottern mitt folk har blivit grym, lik strutsen i öknen.
Ata mbwa wa mitaani wanatoa maziwa yao kuwanyonyesha watoto wao, lakini binti wa watu wangu amekuwa katili, kama mbuni katika jangwa.
4 Spenabarnets tunga låder av törst vid dess gom; le späda barnen bedja om bröd, men ingen bryter sådant åt dem.
Ulimi wa mtoto mchanga anaye nyonya unagota juu mdomo wake kwa kiu; watoto wanaomba chakula, lakini hakuna kwa ajili yao.
5 De som förr åto läckerheter försmäkta nu på gatorna; de som uppföddes i scharlakan måste nu ligga i dyn.
Wao walizoea kula chakula cha gharama sasa wana shinda njaa mitaani; wao walio lelewa kwa kuvaa nguo za zambarau, sasa wamelala katika majalala.
6 Så var dottern mitt folks missgärning större än Sodoms synd, Sodoms, som omstörtades i ett ögonblick, utan att människohänder kommo därvid.
Hukumu ya binti wa watu wangu ni kubwa kuliko hiyo ya Sodoma, na ilipinduliwa kwa dakika na hakuna aliye yanyua mkono kumsaidia.
7 Hennes furstar voro mer glänsande än snö, de voro vitare än mjölk, deras hy var rödare än korall, deras utseende var likt safirens.
Viongozi wake walikuwa wasafi kuliko theluji, weupe kuliko maziwa; miili yao ilikuwa imara kuliko jiwe, mwili wao ulikuwa kama yakuti samawi.
8 Nu hava deras ansikten blivit mörkare än svart färg, man känner icke igen dem på gatorna; deras hud sitter fastklibbad vid benen, den har förtorkats och blivit såsom trä.
Muonekano wao umekuwa mweusi kama giza; hawatambuliki mitaani. Ngozi zao zimesinya kwenye mifupa yao; imekuwa kavu kama kuni.
9 Lyckligare voro de som dräptes med svärd, än de äro, som dräpas av hunger, de som täras bort under kval, utan näring från marken.
Hao walio uawa kwa upanga walikuwa na furaha zaidi kuliko hao walio kufa kwa njaa, walio potea, wakatobolewa kwa ukosefu wa mavuno shambani.
10 Med egna händer måste ömsinta kvinnor koka sina barn för att hava dem till föda vid dottern mitt folks skada.
Mikono ya wanawake wenye huruma imewachemsha watoto wao; wamekuwa chakula chao wakati ambapo binti wa watu wangu alipo kuwa akiharibiwa.
11 HERREN har uttömt sin förtörnelse, utgjutit sin vredes glöd; i Sion har han tänt upp en eld, som har förtärt dess grundvalar.
Yahweh alionyesha gadhabu yake yote; alimwaga hasira yake kali. Aliwasha moto Sayuni uliteketeza misingi yake.
12 Ingen konung på jorden hade trott det, ingen som bor på jordens krets, att någon ovän eller fiende skulle komma in genom Jerusalems portar.
Wafalme wa dunia hawaku amini, wala wakazi wa dunia, kwamba maadui au wapinzani waliweza kuingia malangoni ya Yerusalemu.
13 För dess profeters synders skull har så skett, för dess prästers missgärningar, därför att de därinne utgöto de rättfärdigas blod.
Haya yalitokea kwasababu ya dhambi za manabii na na maasi ya makuhani walio mwaga damu ya wenye haki mbele zake.
14 Såsom blinda irra de omkring på gatorna, fläckade av blod. så att ingen finnes, som vågar komma vid deras kläder.
Walitanga, kwa upofu, mitaani. Walikuwa wamejitia unajisi kwa damu hiyo ambapo hakuna aliye ruhusiwa kushika nguo zao.
15 "Viken undan!" "Oren!", så ropar man framför dem; "Viken undan, viken undan, kommen icke vid den!" ja, flyktiga och ostadiga måste de vara; bland hedningarna säger man om dem: "De skola ej mer finna någon boning."
“Kaa mbali! Wewe mnajisi!” Watu waliwapazia sauti. “Kaa mbali! Kaa mbali! Usiguse!” Hivyo wakatanga; watu walisema miongoni mwa mataifa, “Hawawezi kukaa hapa tena.”
16 HERRENS åsyn förskingrar dem, han vill icke mer akta på dem; mot prästerna visas intet undseende, mot de äldste ingen misskund.
Yahweh mwenyewe akawatawanyisha; hawatazami tena. Hawa waheshimu makuhani, na hawaonyeshi upendeleo kwa wazee.
17 Ännu försmäkta våra ögon i fåfäng väntan efter hjälp; från vårt vårdtorn speja vi efter ett folk som ändå ej kan frälsa oss.
Macho yetu yalikwama, yakitazama bure kwa msaada; kutoka minara yetu ya ulinzi tulitazama taifa lisilo weza tuokoa.
18 Han lurar på vara steg, så att vi ej våga gå på våra gator. Vår ände är nära, vara dagar äro ute; ja, vår ande har kommit.
Walifuata hatua zetu, hatukuweza kutembea mitaani mwetu. Mwisho wetu ulikuwa karibu na siku zetu zilihesabiwa, mwisho wetu ulifika.
19 Våra förföljare voro snabbare än himmelens örnar; på bergen jagade de oss, i öknen lade de försåt för oss.
Walio tukimbiza walikuwa wepesi kuliko tai wa aangani. Walitukimbiza kwenye milima na kutuwinda nyikani.
20 HERRENS smorde, han som var vår livsfläkt, blev fångad i deras gropar, han under vilkens skugga vi hoppades att få leva bland folken.
Pumzi katika pua zetu - mpakwa mafuta wa Yahweh - ndiye aliye kamatwa katika shimo; ambaye ndiye aliye semewa, “Chini ya kivuli chake tutaishi miongoni mwa mataifa.”
21 Ja, fröjda dig och var glad, du dotter Edom, du som bor i Us' land! Också till dig skall kalken komma; du skall varda drucken och få ligga blottad.
Shangilia na ufurahi, binti wa Edomu, wewe unaye ishi nchi ya Uzi. Lakini kwako pia kikombe kitapitishwa; utalewa na kuvua nguo.
22 Din missgärning är ej mer, du dotter Sion; han skall ej åter föra dig bort i fångenskap. Men din missgärning, du dotter Edom, skall han hemsöka; han skall uppenbara dina synder.
Binti wa Sayuni, hukumu yako itafika mwisho, hataongeza mateka yako lakini binti wa Edomu, ata muhadhibu; ata funua dhambi zako.

< Klagovisorna 4 >