< 1 Krönikeboken 3 >

1 Dessa voro de söner som föddes åt David i Hebron: Amnon, den förstfödde, av Ahinoam från Jisreel; Daniel, den andre, av Abigail från Karmel;
Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
2 Absalom, den tredje, son till Maaka, som var dotter till Talmai, konungen i Gesur; Adonia, den fjärde, Haggits son;
watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
3 Sefatja, den femte, av Abital; Jitream, den sjätte, av hans hustru Egla.
watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
4 Dessa sex föddes åt honom i Hebron, där han regerade i sju år och sex månader. I Jerusalem åter regerade han i trettiotre år.
Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
5 Och dessa söner föddes åt honom i Jerusalem: Simea, Sobab, Natan och Salomo, tillsammans fyra, av Bat-Sua, Ammiels dotter;
Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
6 vidare Jibhar, Elisama, Elifelet,
Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
7 Noga, Nefeg, Jafia,
Noga, Nefegi, Yafia,
8 Elisama, Eljada och Elifelet, tillsammans nio.
Elishama, na Elifeleti.
9 Detta var alla Davids söner, förutom sönerna med bihustrurna; och Tamar var deras syster.
Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
10 Salomos son var Rehabeam. Hans son var Abia; hans son var Asa; hans son var Josafat.
Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
11 Hans son var Joram; hans son var Ahasja; hans son var Joas.
Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
12 Hans son var Amasja; hans son var Asarja; hans son var Jotam.
Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
13 Hans son var Ahas; hans son var Hiskia; hans son var Manasse.
Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
14 Hans son var Amon; hans son var Josia.
Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
15 Josias söner voro Johanan den förstfödde, Jojakim, den andre, Sidkia, den tredje, Sallum, den fjärde.
Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
16 Jojakims söner voro hans son Jekonja och dennes son Sidkia.
Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
17 Jekonjas söner voro Assir och dennes son Sealtiel,
Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
18 vidare Malkiram, Pedaja, Senassar, Jekamja, Hosama och Nedabja.
Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
19 Pedajas söner voro Serubbabel och Simei. Serubbabels söner voro Mesullam och Hananja, och deras syster var Selomit,
Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
20 vidare Hasuba, Ohel, Berekja, Hasadja och Jusab-Hesed, tillsammans fem.
Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
21 Hananjas söner voro Pelatja och Jesaja, vidare Refajas söner, Arnans söner, Obadjas söner och Sekanjas söner.
Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
22 Sekanjas söner voro Semaja, Semajas söner voro Hattus, Jigeal, Baria, Nearja och Safat, tillsammans sex.
Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
23 Nearjas söner voro Eljoenai, Hiskia och Asrikam, tillsammans tre.
Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
24 Eljoenais söner voro Hodauja, Eljasib, Pelaja, Ackub, Johanan, Delaja och Anani, tillsammans sju.
Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.

< 1 Krönikeboken 3 >