< 1 Krönikeboken 6 >

1 Levis söner voro Gerson, Kehat och Merari.
Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
2 Kehats söner voro Amram, Jishar, Hebron och Ussiel.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
3 Amrams barn voro Aron, Mose och Mirjam. Arons söner voro Nadab och Abihu, Eleasar och Itamar.
Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
4 Eleasar födde Pinehas, Pinehas födde Abisua.
Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
5 Abisua födde Bucki, och Bucki födde Ussi.
Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
6 Ussi födde Seraja, och Seraja födde Merajot.
Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
7 Merajot födde Amarja, och Amarja födde Ahitub.
Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
8 Ahitub födde Sadok, och Sadok födde Ahimaas.
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
9 Ahimaas födde Asarja, och Asarja födde Johanan.
Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
10 Johanan födde Asarja; det var han som var präst i det tempel som Salomo byggde i Jerusalem.
Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
11 Asarja födde Amarja, och Amarja födde Ahitub.
Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
12 Ahitub födde Sadok, och Sadok födde Sallum.
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
13 Sallum födde Hilkia, och Hilkia födde Asarja.
Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
14 Asarja födde Seraja, och Seraja födde Josadak.
Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
15 Men Josadak måste gå med i fångenskap, när HERREN lät Juda och Jerusalem föras bort genom Nebukadnessar.
Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
16 Levis söner voro Gersom, Kehat och Merari.
Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
17 Och dessa voro namnen på Gersoms söner: Libni och Simei.
Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
18 Och Kehats söner voro Amram, Jishar, Hebron och Ussiel.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
19 Meraris söner voro Maheli och Musi. Dessa voro leviternas släkter, efter deras fäder.
Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
20 Från Gersom härstammade hans son Libni, dennes son Jahat, dennes son Simma,
Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
21 dennes son Joa, dennes son Iddo, dennes son Sera, dennes son Jeaterai.
Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
22 Kehats söner voro hans son Amminadab, dennes son Kora, dennes son Assir,
Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
23 dennes son Elkana, dennes son Ebjasaf, dennes son Assir,
Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
24 dennes son Tahat, dennes son Uriel, dennes son Ussia och dennes son Saul.
Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
25 Elkanas söner voro Amasai och Ahimot.
Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
26 Hans son var Elkana; hans son var Elkana-Sofai; hans son var Nahat.
Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
27 Hans son var Eliab; hans son var Jeroham; hans son var Elkana.
Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
28 Och Samuels söner voro Vasni, den förstfödde, och Abia.
Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
29 Meraris söner voro Maheli, dennes son Libni, dennes son Simei, dennes son Ussa,
Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
30 dennes son Simea, dennes son Haggia, dennes son Asaja.
Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
31 Och dessa voro de som David anställde för att ombesörja sången i HERRENS hus, sedan arken hade fått en vilostad.
Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
32 De gjorde tjänst inför uppenbarelsetältets tabernakel såsom sångare, till dess att Salomo byggde HERRENS hus i Jerusalem; de stodo där och förrättade sin tjänst, såsom det var föreskrivet för dem.
Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
33 Dessa voro de som så tjänstgjorde, och dessa voro deras söner: Av kehatiternas barn: Heman, sångaren, son till Joel, son till Samuel,
Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
34 son till Elkana, son till Jeroham, son till Eliel, son till Toa,
Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
35 son till Sif, son till Elkana, son till Mahat, son till Amasai,
Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
36 son till Elkana, son till Joel, son till Asarja, son till Sefanja,
Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
37 son till Tahat, son till Assir, son till Ebjasaf, son till Kora,
Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
38 son till Jishar, son till Kehat, son till Levi, son till Israel;
Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
39 vidare hans broder Asaf, som hade sin plats på hans högra sida, Asaf, son till Berekja, son till Simea,
Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
40 son till Mikael, son till Baaseja, son till Malkia,
Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
41 son till Etni, son till Sera, son till Adaja,
Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
42 son till Etan, son till Simma, son till Simei,
Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
43 son till Jahat, son till Gersom, son till Levi.
Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
44 Och deras bröder, Meraris barn stodo på den vänstra sidan: Etan son till Kisi, son till Abdi, son till Malluk,
Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
45 son till Hasabja, son till Amasja, son till Hilkia,
Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
46 son till Amsi, son till Bani, son till Semer,
Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
47 son till Maheli, son till Musi, son till Merari, son till Levi.
Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
48 Och deras bröder, de övriga leviterna, hade blivit givna till allt slags tjänstgöring vid tabernaklet, Guds hus.
Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
49 Men Aron och hans söner ombesörjde offren på brännoffersaltaret och på rökelsealtaret, och skulle utföra all förrättning i det allraheligaste och bringa försoning för Israel, alldeles såsom Mose, Guds tjänare, hade bjudit.
Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
50 Och dessa voro Arons söner: hans son Eleasar, dennes son Pinehas, dennes son Abisua,
Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
51 dennes son Bucki, dennes son Ussi, dennes son Seraja,
Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
52 dennes son Merajot, dennes son Amarja, dennes son Ahitub,
Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
53 dennes son Sadok, dennes son Ahimaas.
Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
54 Och dessa voro deras boningsorter, efter deras tältläger inom deras område: Åt Arons söner av kehatiternas släkt -- ty dem träffade nu lotten --
Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
55 åt dem gav man Hebron i Juda land med dess utmarker runt omkring.
Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
56 Men åkerjorden och byarna som hörde till staden gav man åt Kaleb, Jefunnes son.
lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
57 Åt Arons söner gav man alltså fristäderna Hebron och Libna med dess utmarker, vidare Jattir och Estemoa med dess utmarker.
Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
58 Hilen med dess utmarker, Debir med dess utmarker,
Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
59 Asan med dess utmarker och Bet-Semes med dess utmarker;
Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
60 och ur Benjamins stam Geba med dess utmarker, Alemet med dess utmarker och Anatot med dess utmarker, så att deras städer tillsammans utgjorde tretton städer, efter deras släkter.
na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
61 Och Kehats övriga barn fingo ur en stamsläkt, nämligen den stamhalva som utgjorde ena hälften av Manasse stam, genom lottkastning tio städer.
Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
62 Gersoms barn åter fingo, efter sina släkter, ur Isaskars stam, ur Asers stam, ur Naftali stam och ur Manasse stam i Basan tretton städer.
Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
63 Meraris barn fingo, efter sina släkter, ur Rubens stam, ur Gads stam och ur Sebulons stam genom lottkastning tolv städer.
Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
64 Så gåvo Israels barn åt leviterna dessa städer med deras utmarker.
Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
65 Genom lottkastning gåvo de åt dem ur Juda barns stam, ur Simeons barns stam och ur Benjamins barns stam dessa städer, som de namngåvo.
Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
66 Och bland Kehats barns släkter fingo några följande städer ur Efraims stam såsom sitt område:
Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
67 Man gav dem fristäderna Sikem med dess utmarker i Efraims bergsbygd, Geser med dess utmarker,
Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
68 Jokmeam med dess utmarker, Bet-Horon med dess utmarker;
Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
69 vidare Ajalon med dess utmarker och Gat-Rimmon med dess utmarker;
Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
70 och ur ena hälften av Manasse stam Aner med dess utmarker och Bileam med dess utmarker. Detta tillföll Kehats övriga barns släkt.
Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
71 Gersoms barn fingo ur den släkt som utgjorde ena hälften av Manasse stam Golan i Basan med dess utmarker och Astarot med dess utmarker;
Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
72 och ur Isaskars stam Kedes med dess utmarker, Dobrat med dess utmarker,
Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
73 Ramot med dess utmarker och Anem med dess utmarker;
Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
74 och ur Asers stam Masal med dess utmarker, Abdon med dess utmarker,
Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
75 Hukok med dess utmarker och Rehob med dess utmarker;
Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
76 och ur Naftali stam Kedes i Galileen med dess utmarker, Hammon med dess utmarker och Kirjataim med dess utmarker.
Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
77 Meraris övriga barn fingo ur Sebulons stam Rimmono med dess utmarker och Tabor med dess utmarker,
Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
78 och på andra sidan Jordan mitt emot Jeriko, öster om Jordan, ur Rubens stam Beser i öknen med dess utmarker, Jahas med dess utmarker,
Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
79 Kedemot med dess utmarker och Mefaat med dess utmarker;
Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
80 och ur Gads stam Ramot i Gilead med dess utmarker, Mahanaim med dess utmarker,
Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
81 Hesbon med dess utmarker och Jaeser med dess utmarker.
Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.

< 1 Krönikeboken 6 >