< Zekaria 9 >

1 Hili ni tamko la neno la Yahwe kuhusu nchi ya Hadraki na Damesiki. Kwa maana jicho la Yahwe liko juu ya wanadamu wote, na juu ya kabila zote za Israeli pia.
Hadrak khohmuen neh a duemnah, Damasku ham BOEIPA kah olrhuh ol. Hlang neh Israel koca boeih kah a mik he, BOEIPA dongah ni a om.
2 Azimio hili pia linaihusu Hamathi, inayopakana na Damesiki, na linahusu Tiro na Sidoni, japokuwa ni werevu sana.
A taengah rhi aka suem Khamath khaw, bahoeng aka cueih Tyre neh Sidon khaw om.
3 Tiro amejijengea ngome na kurundika fedha kama mavumbi na dhahabu safi kama matope mitaani.
Tyre loh amah hamla vongup a sak tih, cak te laipi bangla, sui khaw vongvoel kah tangnong bangla a hmoek.
4 Tazama! Bwana atamnyang'anya na kuharibu nguvu zake juu ya bahari, kwa hiyo atateketezwa kwa moto.
Ka Boeipa loh anih te a talh vetih, a caem khaw tuitunli la a ngawn pah ni he. Te phoeiah anih te, hmai loh a hlawp pawn ni.
5 Ashikeloni ataona na kuogopa! Gaza pia atatemeka sana! Ekroni, tumanini lake litatikiswa! Mfalme ataangamizwa kuanzia Gaza, na Ashikeloni haitakuwa na watu tena!
Ashkelon loh a hmuh vaengah a rhih vetih, Gaza khaw muep poi ni. Ekron khaw a uepnah ham yak ni. Gaza lamkah manghai milh vetih, Ashkelon khaw khosak tal ni.
6 Wageni watafanya makao yao katika Ashidodi, nami nitakiondoa kiburi cha Wafilisiti.
Ashdod ah halhca loh kho a sak vetih, Philisti kah hoemdamnah ka khoe ni.
7 Kwani nitaondoa damu yao katika vinywa vyao na machukizo yao kutoka kati ya meno yao. Ndipo watakapokuwa masalia kwa Mungu wetu kama ukoo katika Yuda, na Ekironi atakuwa kama Wayebusi.
A ka lamkah a thii khaw, a no laklo lamkah a sarhingkoi khaw, ka khoe pah ni. Amah khaw mamih kah Pathen hamla sueng vetih, Judah ah khoboei la om ni. Te vaengah Ekron te Jebusi bangla om ni.
8 Nitaweka kambi kuzunguka nchi yangu kinyume cha majeshi ya adui hata hakuna atakayeweza kupita ndani yake tena, kwani hakuna mtesaji atakayeipita tena. Kwa kuwa sasa nitaangalia nchi yangu kwa macho yangu mwenyewe!
Ka im he, aka paan tih aka mael taeng lamloh, rhaltawt neh ka rhaeh thil ni. Ka mik neh ka hmuh coeng dongah, tueihno loh amih te paan voel mahpawh.
9 Piga kelele kwa furaha, ewe binti Sayuni! Piga kelele kwa shangwe, ewe binti Yerusalem! Tazama! Mfalme wako anakuja kwako pamoja na uadilifu na anakuokoa. Ni mnyenyekevu, amepanda punda, mwanapunda.
Zion nu aw bahoeng omngaih laeh, Jerusalem nu aw yuhui laeh. Na manghai te na taengah a dueng la ha pai coeng ke. Amah loh mangdaeng te a khang. Te dongah laak so neh laaknu a ca laaktal dongah ngol.
10 Ndipo nitakapoondoa kibandawazi kutoka Efraimu na farasi kutoka Yerusalemu, na upinde utaondolewa katika vita; kwani atasema amani kwa mataifa, na utawala wake utakuwa kutoka bahari hata bahari, na kutoka katika mto hadi miisho ya dunia!
Ephraim lamkah leng neh Jerusalem lamkah marhang khaw ka hnawt vetih, caemtloek lii khaw tlawt ni. Namtom taengah rhoepnah a thui vetih, a boeinah he tuitun lamloh tuitun duela, tuiva lamloh kho bawt duela a pha ni.
11 Lakini kwenu, kwa sababu ya damu ya agano langu nanyi, nitawaweka wafungwa wenu huru kutoka shimoni pasipo na maji.
Nang khaw na paipi thii rhangneh na thongtla pataeng a khuiah tui aka om pawh tangrhom lamloh ka hlah ni.
12 Rudini ngomeni, wafungwa wa matumaini! Hata leo natamka kwamba nitawarudishia mara mbili, kwani nimempinda Yuda kama upinde wangu.
Ngaiuepnah khuikah thongtla rhoek, lunghim taengla mael uh laeh, tahae khohnin ah pataeng a doek tih nang taengah rhaepnit la kan thuung ni.
13 Hata nimelijaza podo langu pamoja na Efraimu. Nimewainua wana wenu, Sayuni, kinyume cha wana wenu, Ugiriki, na amekufanya wewe, Sayuni, kama upanga wa shujaa!
Judah te kamah hamla lii la ka phuk vetih, Ephraim khaw cung ni. Greek nang ca rhoek taengah Zion nang ca rhoek te kan haeng vetih, nang te hlangrhalh kah cunghang bangla kang khueh ni.
14 Yahwe atawatokea, na mishale yake itapiga kama radi! Kwa maana Yahwe Bwana wangu atapiga tarumbeta naye ataendelea pamoja na dhoruba kutoka Temani.
BOEIPA he amih soah phoe vetih, a thaltang te rhaek bangla a khuen ni. Te vaengah ka Boeipa Yahovah loh tuki te a ueng vetih, tuithim hlipuei neh cet ni.
15 Yahwe wa majeshi atawatetea, nao watawararua na kuyashinda mawe ya kombeo. Ndipo watakapo kunywa na kupiga kelele kama mtu aliyelewa kwa mvunyo, nao watajazwa na mvinyo kama mabakuri, kama pembe za madhabahu.
Caempuei BOEIPA loh amih te a tungaep ni. Te vaengah a caak uh vetih, payai lung te a khoem uh ni. Misurtui vaengkah bangla, a ok vetih umya uh ni. Te phoeiah tah baelcak bangla, hmueihtuk rhungsut bangla hah uh ni.
16 Hivyo Yahwe Mungu wao atawaokoa siku hiyo; watakuwa kama kundi la kondoo lililo na watu wake, kwani watakuwa mapambo ya taji, yaliyoinuliwa juu ya nchi yake.
Te khohnin ah tah, amih te a Pathen BOEIPA loh, a pilnam tuping la, a khohmuen ah aka vang rhuisam lung la a khang ni.
17 Jinsi gani watakavyokuwa wazuri na warembo! vijana watastawi juu ya nafaka na bikra juu ya divai tamu!
A kawnthen khaw bahoeng then, a sakthen khaw bahoeng then. Tongpang te cangpai neh, oila khaw misur thai neh thaihsu ni.

< Zekaria 9 >