< Habakuki 2 >

1 Nitasimama kwenye nguzo yangu ya ulinzi na kujiweka mwenyewe juu ya mnara wa mlinzi, na nitatazama kwa makini kuona yeye atasema nini kwangu na namna gani nitageuka kutoka kwenye lawama yangu.
Ka tuemkoi dongah ka cak vetih vongup soah khaw ka pai ni. Te vaengah kai taengah metla a thui khaw hmuh ham neh kai kah toelthamnah soah metla thuung ham ka dawn ni.
2 Yahwe alinijibu na alisema, “Rekodi maono haya, na uandike dhahiri juu ya kibao ili kwamba anayesoma anaweza kukimbia.
Tedae BOEIPA loh kai n'doo tih, “Mangthui he daek lamtah cabael dongah thuicaih laeh. Te daengah ni aka tae loh te te a yong puei eh.
3 Sababu maono haya bado ni kwa wakati ujao na hatimaye atazungumza bila kuanguka. Ingawa inachelewa, isubiri. Sababu kwa hakika itatakuja na haitachelewa.
Mangthui he tingtunnah ham pueng oe akhaw a bawtnah te thoeng. Uelh cakhaw a laithae mahpawh. Amah te rhing lah ha pawk rhoe ha pawk bitni, uelh mahpawh.
4 Tazama! yule ambae hamu yake siyo sawa ndani yake anapumua kwa nguvu. Lakini mwenye haki ataishi kwa imani.
Calak he a khui ah a hinglu a dueng moenih ne. Tedae aka dueng tah a uepomnah neh hing.
5 Sababu mvinyo ni msaliti wa kijana mwenye kiburi ili kwamba asistahimili, lakini hukuza tamaa yake kama kaburi na, kama kifo, haitaweza kuridhishwa. Yeye anajikusanyia kila taifa na anakusanya kwaajili yake watu wote. (Sheol h7585)
Misurtui dongah khaw hlang hnukpoh. Moemlal khaw a uem uh moenih. Anih te saelkhui bangla a hinglu ka tih amah khaw dueknah bangla hah tlaih pawh. Te dongah namtom boeih te amah hamla a kol tih pilnam boeih te amah hamla a coi. (Sheol h7585)
6 Haya yote hayatatengeneza usemi kumdhihaki na wimbo wa dhihaka unaomhusu, 'ole wake yule aongezaye visivyo vya kwake! kwa muda gani utaongeza uzito wa dhamana uliyochukua?'
Amih boeih he amah taengkah moenih a? Thuidoeknah neh anih te nuettahnah olkael a phueih uh bitni. Te vaengah, “Anunae, amah kah pawt neh me hil nim a kum vetih amah hamla amthah a ludoeng ve,” a ti ni.
7 Wale wanao ngojea kwako hawatainuka ghafla? na wale wanaokutetemesha kuamka? Utakuwa mwathirika kwaajili yao.
Nang aka tuk rhoek te buengrhuet thoo tih n'haeng vaengah nang n'tonga sak vetih amih kah maehbuem la na om mahpawt nim?
8 Kwasababu umeteka nyara watu wengi, mabaki yote ya watu, yatakuteka nyara wewe. Sababu umemwaga damu nyingi za watu na umetenda kwa uasi kinyume cha nchi, miji, na wote wanaokaa ndani yake.
Namah loh namtom muep na buem dongah khaw, hlang thii phu dongah khaw, khohmuen khorha neh nang n'ngaeh, a khui khosa boeih kah kuthlahnah dongah khaw pilnam aka coih boeih loh nang n'buem uh ni.
9 Ole kwa yule anayechonga mapato maovu kwaajili ya nyumba yake, hivyo anaweza kutengeneza kiota chake juu kumweka yeye salama mbali na mikono ya uovu.
Anunae a im hamla aka thae mueluemnah neh aka mueluem tih yoethae kut lamloh huul uh hamla hmuensang ah a bu aka khueh aih.
10 Umebuni aibu kwa nyumba yako kwa kuwakata watu wengi, na umefanya dhambi dhidi yako mwenyewe.
Na imkhui kah yahpohnah te na taeng tih pilnam muep na kuet dongah na hinglu tah tholh coeng.
11 Sababu jiwe litapaza sauti kutoka ukutani, na pao la mbao litawajibu,
Te dongah pangbueng lamloh lungto te pang vetih thing dong lamkah yael loh a doo ni.
12 'Ole wake yule ajengaye mji kwa damu, na anayeimarisha mji kwa katika uovu.
Anunae, thii neh kho aka thoong tih dumlai neh khorha aka saelh aih.
13 Hii haitoki kwa Yahwe wa majeshi kwamba watu wafanye kazi kwa moto na mataifa yote mengine yanachakaa menyewe bila kitu?
Te te caempuei BOEIPA taeng lamkah moenih a te? Pilnam a kohnue he hmai hamla rhoeh coeng. Namtu loh a poeyoek la a tawnba te rhoeh coeng.
14 Bado nchi itajaa maarifa ya utukufu wa Yahwe kama maji yanavyojaza bahari.
Tui loh tuitunli soah a khuk bangla BOEIPA kah thangpomnah aka ming te diklai ah bae ni.
15 'Ole wake yule anayemfanya jirani yake alewe, wewe ambaye unaye ongeza sumu uwafanye walewe ili uweze kutazama uchi wao.
Anunae, kosi na poem te a hui aka tul tih amih a tlingyal te paelki hamla aka rhuihmil sak.
16 Utavimbiwa na aibu zaidi kuliko utukufu. Kunywa hiyo vilevile, na funua uchi wako mwenyewe. Kikombe cha mkono wa kuume wa Yahwe utakuja katika kukugeukia wewe, na aibu itafunika heshima yako.
Thangpomnah lamloh yahpohnah na hah bitni. Namah khaw o lamtah hli vaikhai. BOEIPA bantang kah boengloeng loh namah taengah m'vael vetih nang kah thangpomnah soah yahrhai na poh bitni.
17 Vurugu iliyofanywa kwa Lebanoni itakufunika na uharibifu wa wanyama utakuogopesha. Sababu umemwaga damu za watu na umetenda kwa uasi dhidi ya ile nchi, miji, na wote wanaokaa humo.
Hlang thii long tih khohmuen khorha neh a khuikah khosa boeih sokah kuthlahnah dongah Lebanon kah kuthlahnah loh nang n'khuk vetih rhamsa kah rhoelrhanah loh n'rhihyawp sak ni.
18 Sanamu iliyochongwa inakufaidia nini? Sababu yule aliyeichonga hiyo, au ambaye kaisubu kwa kuiyeyusha metali, ni mwalimu wa uongo; Sababu anaiamini kazi ya mikono yake anapotengeneza miungu hii isiyoongea.
Mueithuk he balae a hoeikhang? Te te a saek mueihlawn khaw a picai mai. Tedae amah kah benbonah a hlinsai te a pangtung dongah ni mueirhol olmueh saii hamla ni a khuiah a honghi a thuinuet.
19 'Ole kwa yule anayeuambia ubao, Amka! Au kwa jiwe lisiloongea, Inuka!' Vitu hivi vinafundisha? Angalia, hiki juu kimefunikwa kwa dhahabu na fedha, lakini ndani yake hakipumui kabisa.
Anunae thing taengah ‘Haenghang laeh’ ngolsut lungto taengah ‘Haenghang laeh’ aka ti nah aih. Te loh n'thuinuet tang aya te? Te te sui neh cak la a boh thil. Tedae hil pakhat khaw a khui ah a om moenih ta.
20 Lakini Yahwe yumo katika hekalu lake takatifu! Nchi yote iwe kimya mbele zake.
BOEIPA tah a hmuencim bawkim ah om. Saah lah, diklai pum he a mikhmuh ah om.

< Habakuki 2 >