< Tito 2 >

1 Lakini wewe yaseme yale yanayoendana na maelekezo ya kuaminika.
Но ти говори това, което приляга на здравото учение именно:
2 Wazee wawe na kiasi, heshima, busara, imani safi, katika upendo, na katika uvumilivu.
Старците да бъдат самообладани, сериозни, разбрани, здрави във вярата, в любовта, в търпението;
3 Vilevile wanawake wazee lazima daima wajioneshe wao wenyewe kama wenye kujiheshimu, na sio wasengenyaji. Lazima wasiwe watumwa wa pombe.
също и старите жени да имат благоговейно поведение, да не са клеветници, нито предадени много на винопийство, да поучават това, което е добро;
4 Wanapaswa kufundisha yaliyo mazuri ili kuwaandaa wasichana kwa busara kuwapenda waume zao na watoto wao.
за да учат младите жени да обичат мъжете си и децата си,
5 Wanapaswa kuwafundisha kuwa na busara, wasafi, watunzaji wazuri wa nyumba zao, na watii kwa waume zao wenyewe. Inawalazimu kufanya mambo haya ili kwamba neno la Mungu lisitukanwe.
да са разбрани, целомъдри, да работят у домовете си, да са благи, подчинени на мъжете си, за да не се хули Божието учение.
6 katika namna iyo hiyo, watieni moyo vijana wa kiume wawe na busara.
Така и потомците увещавай да бъдат разбрани.
7 Katika njia zote jiwekeni wenyewe kuwa mfano katika kazi nzuri; na mfundishapo, onesheni uadilifu na heshima.
Във всичко показвай себе си пример за добри дела; в поучението показвай искреност, сериозност,
8 Ongeeni ujumbe wenye afya na usio na dosari, ili kwamba yeyote apingaye aaibishwe kwa sababu hana baya la kusema juu yetu.
здраво неукорно говорене, за да се засрами противникът, като няма какво лошо да каже за нас.
9 Watumwa na wawatii mabwana zao katika kila kitu. Wanapaswa kuwafurahisha na sio kubishana nao.
Увещавай слугите да се покоряват на господарите си, да им угаждат във всичко, да им не противоречат,
10 Hawapaswi kuiba. Badala yake, wanapaswa kuonesha imani yote nzuri ili kwamba katika njia zote wayapambe mafundisho yetu kumhusu Mungu mwokozi wetu.
да не присвояват чуждо, а да показват винаги съвършенна вярност; за да украсят във всичко учението на Бога, нашия Спасител.
11 Kwa kuwa neema ya Mungu imeonekana kwa watu wote.
Защото се яви Божията благодат, спасителна за всичките човеци,
12 Inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya kimungu na tamaa za kidunia. Inatufundisha kuishi kwa busara, kwa haki, na katika njia za kimungu kwa wakati huu. (aiōn g165)
и ни учи да се отречем от нечестието и от световните страсти и да живеем разбрано, праведно и благочестиво в настоящия свят ( Или: век. ), (aiōn g165)
13 Wakati tunatarajia kupokea tumaini letu lenye baraka, mwonekano wa utukufu wa Mungu wetu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
ожидайки блаженната надежда, славното явление на нашия велик Бог и Спасител Исус Христос,
14 Yesu alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu ili kutukomboa kutoka katika uasi na kutufanya wasafi, kwa ajili yake, watu maalumu walio na hamu ya kufanya kazi nzuri.
който даде Себе Си за нас, за да ни изкупи от всяко беззаконие и очисти за Себе Си люде за Свое притежание, ревностни за добри дела.
15 Yaseme na kuyasisitiza mambo haya. Kemea kwa mamlaka yote. Usikubali mtu yeyote akupuuze.
Така говори, увещавай с пълна власт. Никой да не те презира.

< Tito 2 >