< Wimbo wa Sulemani 1 >

1 Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
Sångernas sång av Salomo.
2 O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
Kyssar give han mig, kyssar av sin mun! Ty din kärlek är mer ljuv än vin.
3 Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
Ljuv är doften av dina salvor, ja, en utgjuten salva är ditt namn; fördenskull hava tärnorna dig kär.
4 Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
Drag mig med dig! Med hast vilja vi följa dig. Ja, konungen har fört mig in i sina gemak; Vi vilja fröjdas och vara glada över dig, vi vilja prisa din kärlek högre än vin; med rätta har man dig kär. ----
5 Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
Svart är jag, dock är jag täck, I Jerusalems döttrar, lik Kedars hyddor, lik Salomos tält.
6 Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
Sen icke därpå att jag är så svart, att solen har bränt mig så. Min moders söner blevo vreda på mig och satte mig till vingårdsvakterska; min egen vingård kunde jag icke vakta.
7 Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
"Säg mig, du som min själ har kär: Var för du din hjord i bet? Var låter du den vila om middagen? Må jag slippa att gå lik en vilsekommen kvinna vid dina vänners hjordar."
8 Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
"Om du icke vet det, du skönaste bland kvinnor, så gå blott åstad i hjordens spår, och för dina killingar i bet vid herdarnas tält." ----
9 Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
"Vid ett sto i Faraos spann förliknar jag dig, min älskade.
10 Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
Dina kinder äro så täcka med sina kedjehängen, din hals med sina pärlerader.
11 Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
Kedjehängen av guld vilja vi skaffa åt dig med silverkulor på."
12 Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
"Medan konungen håller sin fest, sprider min nardus sin doft.
13 Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
Min vän är för mig ett myrragömme, som jag bär i min barm.
14 Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
Min vän är för mig en klase cyperblommor från En-Gedis vingårdar."
15 Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
"Vad du är skön, min älskade! Vad du är skön! Dina ögon äro duvor."
16 Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
"Vad du är skön, min vän! Ja, ljuvlig är du, och grönskande är vårt viloläger.
17 Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.
Bjälkarna i vår boning äro cedrar, och cypresser vår väggpanel."

< Wimbo wa Sulemani 1 >