< Wimbo wa Sulemani 2 >

1 Mimi ni ua katika tambarare, nyinyoro katika bonde. Mwanaume akizungumza naye
"Jag är ett ringa blomster i Saron, en lilja i dalen."
2 Kama nyinyoro miongoni mwa mimba, ndivyo wewe, mpenzi wangu, miongoni mwa mabinti wengine wote. Mwanamke akizungumza mwenyewe
"Ja, såsom en lilja bland törnen, så är min älskade bland jungfrur."
3 Kama mti wa mpera ulivyo miongoni mwa miti ya misituni, ndivyo mpenzi wangu alivyo miongoni mwa wanaume. Nina kaa chini ya kivuli chake kwa furaha sana, na tunda lake ni tamu kwa ladha yangu.
"Såsom ett äppelträd bland vildmarkens träd, så är min vän bland ynglingar; ljuvligt är mig att sitta i dess skugga, och söt är dess frukt för min mun.
4 Amenileta kwenye ukumbi wa maakuli, na bendera yake juu yangu ilikuwa upendo. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake.
I vinsalen har han fört mig in, och kärleken är hans baner över mig.
5 Ni uishe kwa keki za mizabibu na kuniuisha na mapera, kwa kuwa nimedhohofika na mapenzi. Mwanamke akizungumza mwenyewe
Vederkvicken mig med druvkakor, styrken mig med äpplen; ty jag är sjuk av kärlek." ----
6 Mkono wake wakushuto upo chini ya kichwa changu, na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
Hans vänstra arm vilar under mitt huvud, och hans högra omfamnar mig.
7 Ninataka muhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwa swala na paa wa porini, kwamba hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke akizungumza mwenyewe.
Jag besvär eder, I Jerusalems döttrar, vid gaseller och hindar på marken: Oroen icke kärleken, stören den icke, förrän den själv så vill. ----
8 Sauti ya mpenzi wangu hiyo! O, huyu yuwaja, akiruka ruka juu milima, akiruka vilimani.
Hör, där är min vän! Ja, där kommer han, springande över bergen, hoppande fram på höjderna.
9 Mpenzi wangu ni kama swala au mtoto mdogo wa paa; angalia, amesimama nyuma ya ukuta wetu, akishangaa kupitia dirishani, akichungulia wavuni.
Lik en gasell är min vän eller lik en ung hjort. Se, nu står han där bakom vår vägg, han blickar in genom fönstret, han skådar genom gallret.
10 Mpenzi wangu alizungumza na mimi na kusema, “Amka, mpenzi wangu; mzuri wangu, twende pamoja nami.
Min vän begynner tala, han säger till mig: "Stå upp, min älskade, du min sköna, och kom hitut.
11 Angalia, baridi imepita; mvua imeisha na kwenda.
Ty se, vintern är förbi, regntiden är förliden och har gått sin kos.
12 Maua yametokeza juu ya nchi; wakati wa kupunguza matawi na kuimba kwa ndege umekuja, na sauti za hua zimesikika nchini kwetu.
Blommorna visa sig på marken, tiden har kommit, då vinträden skäras, och turturduvan låter höra sin röst i vårt land.
13 Mti wa tini umepevusha tini zake za kijani, na mizabibu imestawi; yatoa marashi yake. Inuka, mpenzi wangu, mzuri wangu, na uje nami.
Fikonträdets frukter begynna att mogna, vinträden stå redan i blom, de sprida sin doft. Stå upp, min älskade, min sköna, och kom hitut.
14 Hua wangu, katika miamba ya mawe, katika miamba ya siri ya mipasuko ya milima, acha nione uso wako. Acha nisikie sauti yako, kwa kuwa sauti ni tamu, na uso wako ni mzuri.” Mwanamke akiongea mwenyewe
Du min duva i bergsklyftan, i klippväggens gömsle, låt mig se ditt ansikte, låt mig höra din röst; ty din röst är så ljuv, och ditt ansikte är så täckt." ----
15 Wakamate mbweha kwa ajili yetu, mbweha wadogo wanao haribu shamba za mizabibu, kwa kuwa shamba la mizabibu limestawi.
Fången rävarna åt oss, de små rävarna, vingårdarnas fördärvare, nu då våra vingårdar stå i blom. ----
16 Mpenzi wangu ni wangu, na mimi ni wake; anakula penye nyinyoro kwa raha. Mwanamke anaongea na mpenzi wake
Min vän är min, och jag är hans, där han för sin hjord i bet ibland liljor.
17 Enenda zako, mpenzi wangu, kabla pepo za jioni hazija vuma na vivuli kutoweka. Nenda zako; kuwa kama ayala au mtoto mdogo wa paa katika milima mawe mengi.
Till dess morgonvinden blåser och skuggorna fly, må du ströva omkring, lik en gasell, min vän, eller lik en ung hjort, på de kassiadoftande bergen.

< Wimbo wa Sulemani 2 >