< Ufunuo 13 >

1 Kisha joka alisimama juu ya mchanga ufukwe wa bahari. Kisha nikaona mnyama akitoka kwenye bahari. Alikuwa na pembe kumi na vichwa saba. Katika pembe zake kulikuwa na taji kumi, na katika kichwa chake kulikuwa na maneno ya kufuru kwa Mungu.
Puis je me tins sur le sable de la mer. Je vis monter de la mer une bête qui avait dix cornes et sept têtes. Sur ses cornes étaient dix diadèmes, et sur ses têtes, des noms de blasphème.
2 Huyu mnyama niliyemuona ni kama chui. Miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na mdomo wake ulikuwa kama wa simba. Yule joka akampa nguvu, na katika kiti chake cha enzi, na mamlaka yenye nguvu sana ya kutawala.
La bête que je vis était semblable à un léopard, ses pieds étaient comme ceux d'un ours, et sa gueule comme la gueule d'un lion. Le dragon lui donna sa puissance, son trône, et une grande autorité.
3 Kichwa cha mnyama mmojawapo kilionekana kuwa na jeraha kubwa ambalo lingesababisha mauti yake. Lakini jeraha lake likapona, na dunia yote ikashangazwa na ikamfuata mnyama.
L'une de ses têtes semblait avoir été blessée mortellement. Sa blessure mortelle fut guérie, et toute la terre s'émerveilla devant la bête.
4 Pia wakamwabudu joka, maana alimpa mamlaka yule mnyama. Wakamwabudu mnyama pia, na wakaendelea kusema, “Nani kama mnyama? na “Nani atapigana naye?”
Ils adorèrent le dragon, parce qu'il avait donné son autorité à la bête; et ils adorèrent la bête, en disant: « Qui est semblable à la bête? Qui est capable de lui faire la guerre? »
5 Mnyama akapewa mdomo ili azungumze maneno ya kujisifu na matusi. Aliruhusiwa kuwa na mamlaka kwa miezi arobaini na miwili.
Il lui fut donné une bouche qui proférait de grandes choses et des blasphèmes. Le pouvoir de faire la guerre pendant quarante-deux mois lui fut donné.
6 Hivyo mnyama alifungua mdomo wake kuongea matusi dhidi ya Mungu, akalitukana jina lake, eneo alililokuwa akiishi na wale wanaoishi mbinguni.
Il ouvrit sa bouche pour blasphémer contre Dieu, pour blasphémer son nom, sa demeure et ceux qui habitent dans le ciel.
7 Mnyama aliruhusiwa kufanya vita na waamini na kuwashinda. Pia, alipewa mamlaka juu ya kila kabila, watu, lugha na taifa.
Il lui fut donné de faire la guerre aux saints et de les vaincre. L'autorité sur toute tribu, tout peuple, toute langue et toute nation lui a été donnée.
8 Wote walioishi duniani watamwabudu yeye, kila mmoja ambaye jina lake halijaandikwa, toka uumbaji wa dunia, katika kitabu cha uzima, ambacho ni cha Mwana Kondoo, ambaye alichinjwa.
Tous les habitants de la terre l'adoreront, tous ceux dont le nom n'a pas été inscrit dès la fondation du monde dans le livre de vie de l'agneau qui a été tué.
9 Ikiwa yeyote ana sikio, na asikilize.
Si quelqu'un a des oreilles, qu'il entende.
10 Ikiwa mmojawapo amechukuliwa mateka, na kwenye mateka ataenda. Ikiwa mmojawapo ataua kwa upanga, kwa upanga atauawa. Huu ni mwito wa utulivu na uvumilivu na imani kwa hao walio watakatifu.
Si quelqu'un doit aller en captivité, il ira en captivité. Si quelqu'un doit être tué par l'épée, il doit être tué. Voilà l'endurance et la foi des saints.
11 Tena nikaona mnyama mwingine anakuja kutoka katika nchi. Alikuwa mwenye pembe mbili kama kondoo na akazungumza kama joka.
Je vis monter de la terre une autre bête. Elle avait deux cornes comme un agneau et elle parlait comme un dragon.
12 Alionyesha mamlaka yote katika mnyama yule wa kwanza katika uwepo wake, na kufanya katika dunia na wale walioishi wakimuabudu yule mnyama wa kwanza, yule ambaye jeraha lake limepona.
Elle exerce en sa présence toute l'autorité de la première bête. Elle oblige la terre et ses habitants à adorer la première bête, dont la blessure mortelle a été guérie.
13 Akafanya miujiza yenye nguvu, hata akafanya moto ushuke katika dunia kutoka mbinguni mbele ya watu,
Elle accomplit de grands prodiges, faisant même descendre du feu du ciel sur la terre, aux yeux des gens.
14 na kwa ishara aliruhusiwa kufanya, akawadanganya hao wakaao katika dunia, akiwaambia kutengeneza sanamu kwa heshima ya mnyama ambaye alikuwa amejeruhiwa kwa upanga, lakini bado aliishi.
Elle séduit mon peuple qui habite sur la terre, à cause des signes qu'il lui a été donné d'accomplir devant la bête, en disant aux habitants de la terre de faire une image à la bête qui a eu la blessure de l'épée et qui a vécu.
15 Aliruhusiwa kutoa pumzi katika ile sanamu ya mnyama ili sanamu iweze kusema na kusababisha wale wote waliokataa kumwabudu mnyama wauawe.
Il lui fut donné de faire respirer l'image de la bête, afin que l'image de la bête parle et fasse mourir tous ceux qui n'adoreraient pas l'image de la bête.
16 Pia akalazimisha kila mmoja, asiye na thamani na mwenye nguvu, tajiri na maskini, huru na mtumwa, kupokea alama katika mkono wa kuume au katika paji la uso.
Elle fait en sorte que tous, petits et grands, riches et pauvres, libres et esclaves, reçoivent des marques sur la main droite ou sur le front;
17 Ilikuwa haiwezekani kwa kila mtu kuuza au kununua isipokuwa mwenye alama ya mnyama, na hii ni namba yenye kuwakilisha jina lake.
et que personne ne puisse acheter ou vendre sans avoir cette marque, qui est le nom de la bête ou le nombre de son nom.
18 Hii inahitaji busara. Ikiwa yeyote ana ufahamu, mwache aweze kufanya hesabu ya namba ya mnyama. Maana ni namba ya kibinadamu. Namba yake ni 666.
Voici la sagesse. Que celui qui a de l'intelligence calcule le nombre de la bête, car c'est le nombre d'un homme. Son nombre est de six cent soixante-six.

< Ufunuo 13 >