< Yuda 1 >

1 Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo, na ndugu yake Yakobo, kwa wale ambao wameitwa, wapendwao katika Mungu Baba, na waliotunzwa kwa ajili ya Yesu Kristo:
Jude, serviteur de Jésus-Christ et frère de Jacques, à ceux qui sont appelés, sanctifiés par Dieu le Père et gardés pour Jésus-Christ:
2 rehema na amani na upendo viongezwe kwenu.
Que la miséricorde, la paix et la charité vous soient multipliées!
3 Wapenzi, wakati nilipokuwa nikifanya kila juhudi kuwaandikia ninyi kuhusu wokovu wetu sote, ilinilazimu kuwaandikia kwa ajili ya kuwashauri ili mshindanie kwa uaminifu imani ambayo ilikuwa imekabidhiwa mara moja tu kwa waamini.
Bien-aimés, alors que j'étais très désireux de vous écrire au sujet de notre salut commun, j'ai été contraint de vous écrire pour vous exhorter à lutter avec ardeur pour la foi qui a été une fois pour toutes livrée aux saints.
4 Kwa sababu watu fulani wamejiingiza kwa siri kati yenu - watu ambao walitiwa alama kwa ajili ya hukumu - watu wasio wataua ambao hubadili neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, na kumkana Bwana wetu pekee na Bwana Yesu Kristo.
Car il y a des hommes qui se sont glissés en secret dans l'Église, ceux-là mêmes qui ont été annoncés depuis longtemps pour cette condamnation, des hommes impies, qui transforment la grâce de notre Dieu en indécence, et qui renient notre seul Maître, Dieu et Seigneur, Jésus-Christ.
5 Sasa napenda kuwakumbusha ninyi ingawa kuna wakati mlijua kwa ukamilifu kwamba Bwana aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri, lakini baadaye kuwaangamiza wale ambao hawakuamini.
Je veux maintenant vous rappeler, bien que vous le sachiez déjà, que le Seigneur, après avoir sauvé un peuple du pays d'Égypte, a ensuite détruit ceux qui n'ont pas cru.
6 Na malaika ambao hawakuilinda enzi yao wenyewe lakini wakaacha makao yao maalum Mungu amewaweka katika minyororo ya milele, ndani ya giza, kwa ajili ya hukumu ya siku ile kuu. (aïdios g126)
Les anges qui n'ont pas gardé leur premier domaine, mais qui ont déserté leur propre demeure, il les a gardés dans des liens éternels, sous les ténèbres, pour le jugement du grand jour. (aïdios g126)
7 Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyoizunguka, ambayo pia ilijiingiza yenyewe katika uasherati na wakafuata tamaa isiyo ya asili. Walioneshwa kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele. (aiōnios g166)
De même que Sodome et Gomorrhe et les villes voisines, qui, comme elles, se sont livrées à l'impudicité et ont recherché la chair étrangère, sont montrées en exemple, subissant le châtiment du feu éternel. (aiōnios g166)
8 Hali kadhalika, kwa njia ile ile waota ndoto hawa pia huchafua miili yao, na hukataa mamlaka, na wananena uongo dhidi ya mtukufu.
Mais de la même manière, ceux-ci aussi, dans leur rêve, souillent la chair, méprisent l'autorité et calomnient les êtres célestes.
9 Lakini hata Mikaeli malaika mkuu, wakati alipokuwa akishindana na ibilisi na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthubutu kuleta hukumu ya uongo dhidi yake, lakini badala yake alisema, “Bwana akukemee!”
Mais Michel, l'archange, lorsqu'il était aux prises avec le diable et qu'il discutait du corps de Moïse, n'osait pas porter contre lui une condamnation injurieuse, mais disait: « Que le Seigneur te reprenne! »
10 Lakini watu hawa huleta uongo dhidi ya chochote wasicho kifahamu. Na kile wasicho kifahamu- kile ambacho wanyama wasio na akili hujua kwa silika- haya ndiyo yaliyo waharibu.
Mais ceux-là disent du mal des choses qu'ils ne connaissent pas. Ils sont détruits dans ces choses qu'ils comprennent naturellement, comme les créatures sans raison.
11 Ole wao! Kwa kuwa wametembea katika njia ya Kaini, na kulifuata kosa la Balaamu. Wameangamia katika uasi wa Kora.
Malheur à eux! Car ils ont suivi la voie de Caïn, ils se sont égarés dans l'erreur de Balaam, et ils ont péri dans la rébellion de Koré.
12 Hawa ni miamba katika sherehe zenu za upendo, wakisherehekea bila aibu, wakijilisha tu wenyewe. Ni mawingu yasiyo na maji, yanayobebwa na upepo, ni miti iliyopukutika isiyo na matunda iliyo kufa mara mbili, iliyong'olewa mizizi
Ce sont des écueils cachés dans vos festins d'amour, quand ils festoient avec vous, des bergers qui sans crainte se nourrissent eux-mêmes; des nuages sans eau, emportés par les vents; des arbres d'automne sans fruit, deux fois morts, arrachés par les racines;
13 Ni mawimbi ya bahari yenye kelele yakitoa aibu yao wenyewe, Ni nyota zinazorandaranda ambazo weusi wa giza umetunzwa kwa ajili yao milele. (aiōn g165)
des vagues sauvages de la mer, écumant leur propre honte; des étoiles errantes, pour lesquelles l'obscurité des ténèbres a été réservée à jamais. (aiōn g165)
14 Enoko, wa saba katika orodha ya Adamu, alitabiri kuhusu wao, akisema, “Tazama! Bwana anakuja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,
C'est à leur sujet qu'Hénoch, le septième depuis Adam, a prophétisé, en disant: « Voici, le Seigneur est venu avec dix mille de ses saints,
15 ili afanye hukumu juu ya kila mtu, na kutia hatia wote wasiomcha Mungu juu ya matendo yao yote waliyokwishafanya katika njia zisizo za kitauwa, na kwa maneno yote ya ukali ambayo wasio watauwa wameyanena dhidi yake.”
pour exercer un jugement sur tous, et pour condamner tous les impies pour toutes les œuvres d'impiété qu'ils ont commises d'une manière impie, et pour toutes les paroles dures que les pécheurs impies ont proférées contre lui. » 16 Ce sont des murmures et des plaintes, et ce sont des gens qui se plaignent.
16 Hawa ni wale wanung'unikao, walalamikao ambao hufuata tamaa zao za uovu, wajivunao mno, ambao kwa faida yao hudanganya wengine.
Ce sont des murmureurs et des râleurs, qui marchent selon leurs convoitises, et leur bouche profère des paroles orgueilleuses, en faisant preuve de respect pour les personnes, afin d'obtenir des avantages.
17 Lakini ninyi, wapenzi, kumbukeni maneno ambayo yalinenwa zamani na mitume wa Bwana Yesu Kristo.
Mais vous, bien-aimés, souvenez-vous des paroles qui ont été dites auparavant par les apôtres de notre Seigneur Jésus-Christ.
18 Walisema kwenu, “Katika wakati wa mwisho kutakuwa na watu wanaodhihaki ambao hufuata tamaa zao zisizo za kitauwa.”
Ils vous ont dit: « Au dernier temps, il y aura des moqueurs, marchant selon leurs propres désirs impies. »
19 Watu hawa ni watenganishaji, wanatawaliwa na tamaa za asili, na hawana Roho.
Ce sont ceux qui provoquent des divisions, qui sont sensuels et qui n'ont pas l'Esprit.
20 Lakini ninyi, wapenzi, kama mjijengavyo katika imani yenu takatifu sana, na kama muombavyo katika Roho Mtakatifu,
Mais vous, bien-aimés, édifiez-vous sur votre très sainte foi, en priant dans l'Esprit Saint.
21 jitunzeni katika upendo wa Mungu, na msubiri rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele. (aiōnios g166)
Restez dans l'amour de Dieu, attendant la miséricorde de notre Seigneur Jésus-Christ pour la vie éternelle. (aiōnios g166)
22 Onesheni rehema kwa wale walio na shaka.
Les uns ont compassion, en faisant une distinction,
23 Waokoeni wengine kwa kuwanyakua kutoka katika moto. Kwa wengine onesheni huruma kwa hofu, mkichukia hata vazi lililotiwa doa na mwili.
et les autres sauvent, en les arrachant du feu avec crainte, en détestant même les vêtements souillés par la chair.
24 Sasa kwake awezaye kuwalinda msijikwae, na kuwasababisha msimame mbele ya utukufu wake, bila mawaa na kuwa na furaha kuu,
Or, à celui qui peut les préserver de la chute et vous présenter sans défaut devant la présence de sa gloire dans une grande joie,
25 kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina. (aiōn g165)
à Dieu notre Sauveur, qui seul est sage, soient gloire et majesté, domination et puissance, maintenant et pour toujours. Amen. (aiōn g165)

< Yuda 1 >