< Ufunuo 10 >

1 Kisha nikaona malaika mwingine mkuu akishuka chini kutoka mbinguni. Alikuwa amefungwa katika wingu, na kulikuwa na upinde wa mvua juu ya kichwa chake. Uso wake ulikuwa kama jua na miguu yake ilikuwa kama nguzo za moto.
Je vis descendre du ciel un ange puissant, revêtu d'une nuée. Un arc-en-ciel était sur sa tête. Son visage était comme le soleil, et ses pieds comme des colonnes de feu.
2 Alishikilia gombo dogo katika mkono wake lililokuwa limefunuliwa, naye aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari na mguu wake wa kushoto juu ya nchi kavu.
Il tenait dans sa main un petit livre ouvert. Il posa son pied droit sur la mer, et son pied gauche sur la terre.
3 Kisha alipaza sauti ya juu kama simba aungurumapo, na wakati alipopaza sauti radi saba ziliunguruma.
Il cria d'une voix forte, comme rugit un lion. Et quand il cria, les sept tonnerres firent entendre leur voix.
4 Wakati radi saba zilipounguruma, nilikuwa nakaribia kuandika, lakini nilisikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Tunza iwe siri kile ambacho radi saba zimesema. Usiiandike.”
Lorsque les sept tonnerres eurent retenti, j'allais écrire; mais j'entendis du ciel une voix qui disait: « Scelle les choses que les sept tonnerres ont dites, et ne les écris pas. »
5 Kisha malaika niliyemwona amesimama juu ya bahari na nchi kavu, aliinua mkono wake juu mbinguni
L'ange que j'ai vu se tenir sur la mer et sur la terre leva sa main droite vers le ciel
6 na kuapa kwa yule aishiye milele na milele —aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo, na bahari na vyote vilivyomo: “Hakutakuwepo kuchelewa tena. (aiōn g165)
et jura par celui qui vit aux siècles des siècles, qui a créé le ciel et ce qu'il contient, la terre et ce qu'elle contient, et la mer et ce qu'elle contient, qu'il n'y aura plus de retard, (aiōn g165)
7 Lakini katika siku ile, wakati malaika wa saba atakapokaribia kupiga tarumbeta yake, ndipo siri ya Mungu itakuwa imetimizwa, kama alivyotangaza kwa watumishi wake manabii.”
mais qu'aux jours de la voix du septième ange, quand il sonnera de la trompette, alors le mystère de Dieu sera accompli, comme il l'a annoncé à ses serviteurs les prophètes.
8 Sauti niliyosikia kutoka mbinguni iliniambia tena: “Nenda, chukua gombo dogo lililofunuliwa ambalo kiko katika mkono wa malaika aliyesimama juu ya bahari na juu ya nchi kavu.”
La voix que j'entendis du ciel, s'adressant de nouveau à moi, dit: « Va, prends le livre ouvert dans la main de l'ange qui se tient sur la mer et sur la terre. »
9 Kisha nilikwenda kwa malaika na kumwambia anipe gombo dogo. Aliniambia, “Chukua gombo na ule. Litalifanya tumbo lako liwe na uchungu, lakini katika mdomo wako litakuwa tamu kama asali.”
Je suis allé voir l'ange, lui demandant de me donner le petit livre. Il m'a dit: « Prends-la et mange-la. Elle rendra ton estomac amer, mais dans ta bouche elle sera douce comme du miel. »
10 Nilichukua gombo dogo kutoka mkononi mwa malaika na kulila. Lilikuwa kitamu kama asali katika mdomo wangu, lakini baada ya kula, tumbo langu lilikuwa na uchungu.
Je pris le petit livre de la main de l'ange, et je le mangeai. Il était doux comme du miel dans ma bouche. Quand je l'eus mangé, mon estomac devint amer.
11 Kisha baadhi ya sauti ziliniambia, “Unapaswa kutabiri tena kuhusu watu wengi, mataifa, lugha, na wafalme.”
On me dit: « Il faut que tu prophétises de nouveau sur beaucoup de peuples, de nations, de langues et de rois. »

< Ufunuo 10 >