< Zaburi 1 >

1 Amebarikiwa mtu yule asiye enenda katika ushauri wa waovu, au kusimama katika njia ya wenye dhambi, au kukaa katika kusanyiko la wenye mizaha.
Svētīgs tas cilvēks, kas nestaigā bezdievīgo runās, nedz stāv uz grēcinieku ceļa, nedz sēž mēdītāju biedrībā;
2 Bali yeye huifurahia sheria ya Yahwe, na huitafakari sheria yake mchana na usiku.
Bet kam labs prāts pie Tā Kunga bauslības, un kas Viņa bauslību pārdomā dienās, naktīs.
3 Atakuwa kama mti uliopandwa karibu na mkondo wa maji ambao huzaa matunda yake kwa majira yake, ambao majani yake hayakauki; lolote afanyalo litafanikiwa.
Jo tas ir kā koks stādīts pie ūdens upēm, kas savus augļus nes savā laikā, un viņa lapas nesavīst, un viss, ko viņš dara, tas labi izdodas.
4 Waovu hawako hivyo, wao badala yake ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
Tā nav bezdievīgiem, bet tie ir kā pelus, ko vējš izputina.
5 Kwa hivyo waovu hawatasimama katika hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
Tāpēc bezdievīgie nepastāvēs sodā, nedz grēcinieki taisno draudzē.
6 Kwa kuwa Yahweh huikubali njia ya wenye haki, njia ya waovu itaangamizwa.
Jo Tas Kungs pazīst taisno ceļu, bet bezdievīgo ceļš ies bojā.

< Zaburi 1 >