< Zaburi 2 >

1 Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
Kāpēc pagāni trako, un ļaudis domā uz nelietību?
2 Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
Ķēniņi virs zemes saceļas un valdnieki sadomājās kopā pret To Kungu un pret Viņa svaidīto.
3 “Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
Sarausim viņu saites un atmetīsim viņu virves!
4 Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
Bet kas debesīs valda, smejas, un Tas Kungs tos tur par nieku.
5 Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
Tad Viņš runās uz tiem Savās dusmās, un ar Savu bardzību Viņš tos iztrūcinās.
6 “Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
Bet Es Savu ķēniņu esmu svaidījis pār Ciānu, Savu svēto kalnu.
7 Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
Es sludināšu likumu: Tas Kungs uz mani sacījis: tu esi Mans Dēls, šodien Es tevi esmu dzemdinājis.
8 Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
Prasi Man, tad Es tev došu tautas par mantību, un pasaules galus par īpašumu.
9 Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
Tu tos satrieksi ar dzelzs rīksti, kā podnieka trauku tu tos sadauzīsi.
10 Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
Nu tad, jūs ķēniņi, paliekat prātīgi, liekaties pamācīties, jūs soģi virs zemes.
11 Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
Kalpojiet Tam Kungam ar bijāšanu un priecājaties ar drebēšanu.
12 Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.
Skūpstāt To Dēlu, lai Viņš nedusmo un jūs bojā neejat uz ceļa, jo drīz Viņa dusmas iedegsies, bet svētīgi visi, kas pie Viņa tveras.

< Zaburi 2 >