< Zaburi 88 >

1 Yahwe, Mungu wa wokovu wangu, ninalia mchana na usiku mbele zako.
Pesem in psalm med sinovi Koretovimi, načelniku godbe, da se poje na piščali, ukovit Emana Ezrajičana. O Gospod, Bog blaginje moje, podnevi kličem in ponoči v pričo tebe.
2 Sikiliza maombi yangu; utazame kulia kwangu.
Pred obličje tvoje pridi molitev moja, nagni uho svoje mojemu vpitju.
3 Maana nimejawa taabu, na uhai wangu umefika kuzimuni. (Sheol h7585)
Ker nasitena je z nadlogami duša moja, in življenje moje se bliža grobu. (Sheol h7585)
4 Watu hunichukulia kama wale waendao chini shimoni; mimi ni mtu asiye na nguvu.
Prištevam se njim, ki gredó v grob; podoben sem možu, katerega zapušča krepost.
5 Nimetelekezwa miongoni mwa wafu; niko kama mfu alalaye katika kaburi, wao ambao wewe huwajari tena kwa sababu wametengwa mbali na nguvu zako.
Prištevam se mrtvim, odločen; kakor prebodeni ležeči v grobu, katerih se ne spominjaš več, kateri so uničeni s tvojo roko.
6 Wewe umeniweka katika sehemu ya chini kabisa ya shimo, sehemu yenye giza na kilindini.
Pokladaš me v grob, izmed vseh najglobočji, v najtamnejših, v krajih globokih.
7 Gadhabu yako yanielemea, na mawimbi yako yote yanatua juu yangu. (Selah)
Nad menoj leži jeza tvoja, dà, z vsemi valovi svojimi, ki me napadajo, pobijaš me presilno.
8 Kwa sababu yako, wale wanijuao wote hunikwepa. Umenifanya wakutisha machoni pao. Nimefungwa na siwezi kutoroka.
V stran od mene odvračaš znance moje, daješ me njim v najhujšo gnjusobo; tako zajetega, da pobegniti ne morem.
9 Macho yangu yamefifia kutokana na shida; kila siku nakuita wewe, Yahwe; ninakunyoshea wewe mikono yangu.
Oko moje žaluje od bridkosti; kličem te, Gospod, ves dan; k tebi razpenjam roke svoje.
10 Je! utafanya miujiza kwa ajili ya wafu? Wale waliokufa watafufuka na kukusifu wewe? (Selah)
Bodeš-li mrtvim delal dejanje čudovito? ali bodejo mrtvi vstali, da bi te slavili mogočno?
11 Uaminifu wa agano lako utatangazwa kaburini? au uaminifu wako mahali pa wafu?
Ali bi naj se v grobu oznanjala milost tvoja, zvestoba tvoja v pogubi?
12 Matendo yako ya ajabu yatajulikana gizani? au haki yako katika mahali pa usahaulifu?
Ali naj bi se v temini spoznalo čudovito dejanje tvoje, in pravica tvoja v pozabljivosti deželi?
13 Lakini ninakulilia wewe, Yahwe; wakati wa asubuhi maombi yangu huja kwako.
In vendar jaz vpijem, Gospod, k tebi, in vsako jutro te prehiteva molitev moja.
14 Yahwe, kwa nini unanikataa? Kwa nini unauficha uso wako mbali nami?
Zakaj me zametaš, o Gospod; skrivaš mi obličje svoje?
15 Nimekuwa nikiteswa kila siku na hatihati ya kifo tangu ujana wangu. Nimeteseka dhidi ya hofu yako kuu; ninakata tamaa.
Ubožen sem in umrjoč od potresa, strahove tvoje prenašam in sem zbegan,
16 Matendo yako ya hasira yamepita juu yangu, na matendo yako ya kutisha yameniangamiza.
Jeze tvoje gredó čez mé, plašenje tvoje me uničuje.
17 Siku zote yananizingira mimi kama maji; yote yamenizunguka mimi.
Obdajajo me kakor vode ves dan; obsezajo me vkup.
18 Wewe umemuondoa kwangu kila rafiki na anijuaye. Na sasa anijuaye pekee ni giza.
Od mene v stran odvračaš prijatelja in tovariša; znancem svojim sem v tamnem kraji.

< Zaburi 88 >