< Zaburi 75 >

1 Tunatoa shukrani kwako, Mungu; tunatoa shukrani, maana wewe unaufunua uwepo wako; watu huzungumza kuhusu kazi zako za ajabu.
Al maestro de coro. Sobre la melodía “No dañes”. Salmo de Asaf. Cántico. Te alabamos, Yahvé, te alabamos; invocamos tu Nombre y narramos tus maravillas.
2 Kwa wakati maalum nitahukumu kwa haki.
“Cuando Yo fije la hora, juzgaré según la justicia.
3 Ingawa nchi na wenyeji wote watatikisika katika hofu, ninaifanyia nchi nguzo za kutosha. (Selah)
Conmovida la tierra y todos sus habitantes, Yo sustentaré sus columnas.”
4 Nilisema kwa wenye kiburi, “Msiwe wenye kiburi,” na kwa waovu, “Msiinue mapembe.
Por tanto, digo a los altaneros; “No os ensoberbezcáis”; y a los impíos: “Cesad de engreíros en vuestro poder”;
5 Msiinue mapembe yenu kwenye marefu; wala msizungumze kwa shingo ya kiburi.”
no levantéis vuestra cerviz frente al Altísimo, no digáis insolencias contra Dios.
6 Sio kutoka mashariki au magharibi, na wala sio kutoka jangwani ambako kuinuliwa kunakuja.
Porque no del oriente ni del occidente, ni del desierto, ni de los montes, viene la justicia,
7 Bali Mungu ni muhumkumu; humshusha huyu na kumuinua huyu.
sino que es Dios mismo el Juez; a este lo abate y a aquel lo encumbra.
8 Kwa kuwa Yahwe kashikilia mkononi mwake kikombe cha mvinyo wenye povu, ambao umechanganywa na vilolezo, naye huimimina. Hakika waovu wote wa duniani watakunywa mvinyo hadi tone la mwisho.
Porque en la mano del Señor hay un cáliz de vino espumoso, lleno de mixtura; y de él vierte: lo beberán hasta las heces todos los impíos de la tierra.
9 Bali mimi nitaendelea kusema yale ambayo umeyatenda; nami nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.
Mas yo me gozaré eternamente, cantando salmos al Dios de Jacob.
10 Yeye husema, “Nitayakata mapembe yote ya waovu, lakini mapembe ya wenye haki yatainuliwa.”
“Y Yo quebrantaré la cerviz de todos los impíos, y alzarán su cerviz los justos.”

< Zaburi 75 >