< Zaburi 78 >

1 Watu wangu, sikieni mafundisho yangu, sikilizeni maneno ya kinywa changu.
Maskil de Asaf. Escucha, pueblo mío, mi enseñanza; presta oído a las palabras de mis labios.
2 Nitafungua kinywa changu katika mifano; nitaimba kuhusu mambo yaliyofichika yahusuyo yaliyopita.
Voy a abrir mi boca en un poema, y evocaré escondidas lecciones del pasado.
3 Haya ni mambo ambayo tumeyasikia na kujifunza mambo ambayo mababu zetu wametuambia sisi. Hatutawaficha uzao wao.
Lo que hemos oído y aprendido, lo que nos han contado nuestros padres,
4 Tutawaambia kizazi kijacho kuhusu sifa anazostahili Yahwe kwa matendo yake, nguvu zake, na maajabu ambayo ameyafanya.
no lo ocultaremos a sus hijos; relataremos a la generación venidera las glorias de Yahvé y su poderío, y las maravillas que Él hizo.
5 Kwa kuwa yeye alianzisha agano la amri katika Yakobo na sheria maalumu katika Israeli. Yeye aliamuru mababu zetu kuwa walipaswa kuzifundisha kwa watoto wao.
Porque Él, habiendo dado testimonio a Jacob, y establecido una ley en Israel, mandó a nuestros padres enseñarlo a sus hijos,
6 Aliamuru hivi ili kwamba kizazi kijacho kiweze kuzijua amri zake, ili wawafundishe wana ambao bado hawajazaliwa.
para que lo supiera la generación siguiente, y a su vez los hijos nacidos de esta lo narrasen a sus propios hijos;
7 Kisha wangeweka tumaini lao katika Mungu na kutokusahau matendo yake bali wazishike amri zake.
de suerte que pongan en Dios su confianza, no olvidando los beneficios de Yahvé y observando sus mandamientos;
8 Ndipo wasingekuwa kama mababu zao, ambao walikuwa wakaidi na wenye uasi, kizazi ambacho mioyo yao haikuwa kamilifu, na ambao roho zao hazikuwa na nia thabiti na aminifu kwa Mungu.
para que no vengan a ser como sus padres, una raza indócil y contumaz; generación que no tuvo el corazón sencillo ni el espíritu fiel a Dios.
9 Waefraimu walikuwa na silaha na upinde, lakini walikimbia siku ya vita.
Los hijos de Efraím, muy diestros arqueros, volvieron las espaldas en el día de la batalla;
10 Hawakutunza agano na Mungu, na walikataa kutii sheria yake.
no guardaron la alianza con Dios, rehusaron seguir su ley;
11 Walisahau matendo yake, mambo ya ajabu ambayo yeye amewaonesha wao.
olvidaron sus obras y las maravillas que hizo ante los ojos de ellos.
12 Walisahau mambo ya ajabu aliyofayafanya machoni pa mababu zao katika nchi ya Misri, katika ardhi ya Soani.
A la vista de sus padres Él había hecho prodigios en el país de Egipto, en los campos de Tanis.
13 Aliigawa bahari na akawaongoza katikati ya bahari; aliyafanya maji yasimame kama kuta.
Dividió el mar por medio, y los hizo pasar, sosteniendo las aguas como un muro.
14 Wakati wa mchana aliwaongoza kwa wingu na usiku wote kwa nuru ya moto.
De día los guiaba con la nube y toda la noche con un resplandor de fuego.
15 Alipasua miamba jangwani, na aliwapa maji mengi, ya kutosha kujaza vina virefu vya bahari.
Hendió la roca en el desierto, y les dio de beber aguas copiosísimas.
16 Alifanya maporomoko ya maji kutiririka tokea mwambani na aliyafanya maji yatiririke kama mito.
Sacó torrentes de la peña, hizo salir aguas como ríos.
17 Lakini bado waliendelea kutenda dhambi dhidi yake, wakiasi dhidi ya Aliye Juu katika jangwa.
Mas ellos continuaron pecando contra Él, resistiendo al Altísimo en el yermo;
18 Walimjaribu Mungu mioyoni mwao kwa kuomba chakula cha kuwatosheleza hamu zao.
tentaron a Dios en sus corazones, pidiendo comida según su antojo.
19 Waliongea dhidi ya Mungu; walisema, “Kweli Mungu anaweza kuweka meza ya chakula kwa ajili yetu jangwani?
Y hablando mal de Dios, dijeron: “¿Podrá Dios prepararnos una mesa en el desierto?
20 Tazama, wakati alipoupiga mwamba, maji yalibubujika, mito ikafurika. Lakini anaweza kutoa mkate tena? Ataweza kuleta nyama kwa watu wake?”
Cierto es que hirió la peña, y brotaron aguas y corrieron torrentes; mas ¿podrá también dar pan y proveer de carne a su pueblo?”
21 Yahwe aliposikia haya, alikasirika; moto wake uliwaka dhidi ya Yakobo, hasira yake ikamshambulia Israeli,
Yahvé lo oyó y se indignó; su fuego se encendió contra Jacob, y subió de punto su ira contra Israel,
22 kwa sababu hawakumwamini Mungu na hawakuamini katika wokovu wake.
porque no creyeron a Dios, ni confiaron en su auxilio.
23 Lakini yeye bado aliziamuru mbingu juu na kufungua milango ya mbingu.
Con todo, ordenó a las nubes en lo alto, abrió las puertas del cielo,
24 Aliwanyeshea mana ili wale, na aliwapa nafaka kutoka mbinguni.
y llovió sobre ellos maná para su sustento, dándoles trigo del cielo.
25 Watu walikula mikate ya malaika. Aliwatumia chakula kingi.
Pan de fuertes comió el hombre, les envió comida hasta hartarlos.
26 Alisababisha upepo wa mashariki kupiga mawinguni, na kwa uweza wake aliuongoza upepo wa kusini.
Después levantó el viento solano en el cielo, guio con su poder el ábrego,
27 Aliwanyeshea nyama kama mavumbi, na ndege kama wingi wa mchanga wa baharini.
y llovió sobre ellos carne tanta como el polvo; aves volátiles como arena del mar
28 Walianguka katikati ya kambi yao, na maeneo yote karibu na hema zao.
cayeron en su campamento, en derredor de sus tiendas.
29 Hivyo walikula na walishiba. Maana aliwapa kile walichokitamani sana.
Y comieron y se hartaron. Así Él les dio lo que habían deseado.
30 Lakini walikuwa bado hawajatosheka; chakula chao kilikuwa bado kinywani mwao.
Mas no bien satisfecho su apetito, y estando el manjar aún en su boca,
31 Ndipo hasira ya Mungu iliwashambulia na kuwaua wenye nguvu kati yao. Aliwaangusha chini vijana wa Israeli.
se alzó contra ellos la ira de Dios, e hizo estragos entre los más fuertes, y abatió a la flor de Israel.
32 Licha ya hili, waliendelea kutenda dhambi na hawakuyaamini matendo yake ya ajabu.
Sin embargo, pecaron de nuevo, y no dieron crédito a sus milagros.
33 Hivyo Mungu alizikatisha siku zao; miaka yao ilijawa na hofu.
Y Él consumió sus días en un soplo, y sus años con repentinas calamidades.
34 Wakati wowote Mungu alipowataabisha, nao waligeuka na kumtafuta yeye kwa bidii.
Cuando les enviaba la muerte, entonces recurrían a Él, y volvían a convertirse a Dios,
35 Walikumbuka kuwa Mungu alikuwa mwamba wao na kuwa Mungu Aliye Juu Sana alikuwa mwokozi wao.
recordando que Dios era su roca, y el Altísimo su Libertador.
36 Lakini walimsifia tu kwa vinywa vyao na kumdanganya kwa maneno yao.
Pero lo lisonjeaban con su boca, y con su lengua le mentían;
37 Maana mioyo yao haikuwa thabiti kwake, na hawakuwa waaminifu kwa agano lake.
su corazón no era sincero para con Él, y no permanecieron fieles a su alianza.
38 Lakini yeye, kwa kuwa alikuwa alikuwa na huruma, aliwasamehe uovu wao na hakuwaangamiza. Ndiyo, wakati mwingi aliizuia hasira yake na hakuionesha ghadhabu yake yote.
Él, no obstante, en su misericordia, les perdonaba su culpa, y no los exterminaba. Muchas veces contuvo su ira, y no permitió que se desahogase toda su indignación,
39 Alikumbuka kuwa waliumbwa kwa mwili, upepo ambao hupita nao haurudi.
acordándose de que eran carne, un soplo que se va y no vuelve.
40 Mara ngapi wameasi dhidi yake jangwani na kumuhuzunisha nyikani!
¡Cuántas veces lo provocaron en el desierto; cuántas lo irritaron en aquella soledad!
41 Tena na tena walimjaribu Mungu na wakamtilia mashaka Mtakatifu wa Israeli.
Y no cesaban de tentar a Dios, de afligir al Santo de Israel.
42 Hawakufikiria kuhusu uweza wake, jinsi alivyo waokoa dhidi ya adui
No se acordaban ya de su mano, de aquel día en que los libertó del poder del opresor,
43 alipofanya ishara za kutisha katika Misri na maajabu yake katika konde la Soani.
cuando Él ostentó sus prodigios en Egipto, y sus maravillas en los campos de Tanis,
44 Aligeuza mito ya Wamisri kuwa damu ili wasipate kunywa kutoka katika vijito vyao.
trocando en sangre sus ríos y sus canales, para que no bebiesen;
45 Alituma makundi ya inzi yaliyowavamia na vyura ambao walisambaa katika nchi yao.
enviando contra ellos unos tábanos que los devoraban, y ranas que los infectaron;
46 Aliwapa mazao yao panzi na kazi yao nzige.
entregando sus cosechas a la oruga, y el fruto de su trabajo a la langosta;
47 Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe na miti ya mikuyu kwa mvua ya mawe zaidi.
destruyendo con el granizo sus viñas, y con heladas sus higueras;
48 Aliinyeshea mifugo yao mvua ya mawe na alirusha radi ya umeme ikapiga mifugo yao. Ukali wa hasira yake ulielekea dhidi yao.
librando a la peste sus manadas, y sus rebaños al contagio;
49 Alituma gadhabu, uchungu na taabu kama wakala aletaye maafa.
desatando contra ellos el ardor de su ira, su indignación, el furor, el castigo: un tropel de ejecutores de calamidad;
50 Aliifanyia njia hasira yake; hakuwakinga dhidi ya kifo bali aliwakabidhi kwa pigo.
dando libre paso a su saña, y entregando a ellos mismos a la peste, sin perdonar sus propias vidas,
51 Aliwaua wazaliwa wote wa kwanza katika Misri, wazaliwa wa kwanza wa nguvu zao katika mahema ya Hamu.
y matando a todo primogénito en Egipto, las primicias del vigor en las tiendas de Cam.
52 Aliwaongoza nje watu wake mwenyewe kama kondoo na aliwaelekeza kupitia jangwani kama kundi.
Ni recordaban cuando como ovejas sacó a los de su pueblo, y los guio como un rebaño por el desierto,
53 Aliwaongoza salama na pasipo na woga, lakini bahari iliwaelemea adui zao.
y los condujo con seguridad y sin temor, mientras sepultaba a sus enemigos en el mar.
54 Kisha aliwaleta mpaka wa nchi yake takatifu, kwenye mlima huu ambao aliutwaa kwa mkono wake wa kuume.
Y los llevó a su tierra santa, a los montes que conquistó su diestra;
55 Aliwafukuza mataifa mbele yao na akawapa urithi wao. Aliwakalisha makabila ya Israeli katika mahema yao.
expulsó ante ellos a los gentiles, en suertes repartió la heredad de estos, y en sus pabellones hizo habitar a las tribus de Israel.
56 Lakini bado walimjaribu na walimkaidi Mungu Aliye Juu na hawakushika amri zake takatifu.
Pero ellos aun tentaron y provocaron al Dios Altísimo, y no guardaron sus mandamientos.
57 Hawakuwa waaminifu na walienenda katika hila kama baba zao; walikuwa sio wa kutegemewa kama upinde mbovu.
Apostataron y fueron traidores, como sus padres; fallaron como un arco torcido.
58 Kwa maana walimkasirisha kwa mahali pao pa juu na walimgadhabisha hata akawa na hasira ya wivu kwa miungu yao.
Lo movieron a ira con sus lugares altos, y con sus esculturas le excitaron los celos.
59 Mungu aliposikia hili, alikasirika na alimkataa kabisa Israeli.
Ardió con esto el furor de Dios; acerbamente apartó de sí a Israel,
60 Alipaacha patakatifu pa Shilo, na hema alikoishi kati ya watu.
y abandonó el Tabernáculo de Silo, la morada que tenía entre los hombres.
61 Aliruhusu nguvu zake kutekwa na kuutoa utukufu wake mkononi mwa adui.
Abandonó al cautiverio su fortaleza, y su gloria en manos del adversario.
62 Aliukabidhi upanga watu wake, na aliukasirikia urithi wake.
Entregó su pueblo a la espada, y se irritó contra su herencia.
63 Moto uliwavamia vijana wao wa kiume, na vijana wao wa kike hawakuwa na nyimbo za harusi.
El fuego devoró a sus jóvenes, y sus doncellas no fueron desposadas.
64 Makuhani wao waliangushwa kwa upanga, na wajane wao hawakulia.
A cuchillo cayeron sus sacerdotes, y sus viudas no los lloraron.
65 Kisha Bwana aliamshwa kama aliyetoka usingizini, kama shujaa apigaye kelele kwa sababu ya mvinyo.
El Señor despertó entonces como de un sueño -cual gigante adormecido por el vino-
66 Aliwarudisha adui zake nyuma; aliwaweka kwenye aibu ya milele.
e hirió a los enemigos en la zaga, cubriéndolos de ignominia para siempre.
67 Aliikataa hema ya Yusufu, na hakulichagua kabila la Efraimu.
Mas reprobó la tienda de José, y a la tribu de Efraím no la eligió,
68 Alilichagua kabila la Yuda na Mlima Sayuni aliyoupenda.
y prefirió a la tribu de Judá, el monte Sión, su predilecto.
69 Alipajenga patakatifu pake kama mbinguni, na kama nchi aliyoiimarisha milele.
Y levantó, como cielo, su santuario, como la tierra, que fundó para siempre.
70 Alimchagua Daudi, mtumishi wake, alimchukua kutoka zizi la kondoo.
Y escogió a su siervo David, sacándolo de entre los rebaños de ovejas;
71 Alimtoa kutoka katika kufuata kondoo pamoja na wana wao, na kumweka kuwa mchungaji wa Yakobo, watu wake, na Israeli, urithi wake.
detrás de las que amamantaban lo llamó, para que apacentase a Jacob, su pueblo, y a Israel, su heredad.
72 Daudi aliwachunga kwa uadilifu wa moyo wake, naye aliwaongoza kwa ujuzi wa mikono yake.
Y él los apacentó con sencillez de corazón, y los guio con la destreza de sus manos.

< Zaburi 78 >