< Zaburi 74 >

1 Mungu, kwa nini umetukataa milele? Kwa nini hasira yako inawaka dhidi ya kondoo wa malisho yako?
Ó Deus, porque nos rejeitaste para sempre? Porque se accende a tua ira contra as ovelhas do teu pasto?
2 Wafikilie watu wako, ambao uliwanunua siku nyingi zilizopita, kabila ambalo wewe umelikomboa liwe urithi wako, na Milima Sayuni, mahali uishipo.
Lembra-te da tua congregação que compraste desde a antiguidade, da vara da tua herança que remiste, este monte de Sião, em que habitaste.
3 Uje utazame uharibifu kamili, uharibifu ambao umefanywa na adui mahali patakatifu.
Levanta os teus pés para as perpetuas assolações, para tudo o que o inimigo tem feito de mal no sanctuario.
4 Washindani wako walivamia katikati ya mahali pako maalumu; walipandisha bendera zao za vita.
Os teus inimigos bramam no meio das tuas synagogas; põem n'ellas as suas insignias por signaes.
5 Walipakatakata kwa shoka kama katika msitu mnene.
Cada qual se fez afamado, conforme levantara o machado contra a espessura do arvoredo.
6 Walipaharibu na kuvunja sanaa zilizonakshiwa zote; walizivunja kwa shoka na nyundo.
Mas agora toda a obra entalhada por uma vez quebram com machados e martellos.
7 Walipachoma patakatifu pako; walipanajisi mahari unapoishi, wakigongagonga kwenye ardhi.
Lançaram fogo no teu sanctuario; profanaram, derribando-a até ao chão, a morada do teu nome.
8 Walisema mioyoni mwao, “Tutawaharibu wote.” Walichoma sehemu zako zote za kukutania katika nchi.
Disseram nos seus corações: Despojemol-os d'uma vez. Queimaram todas as synagogas de Deus na terra.
9 Sisi hatuoni tena ishara; hakuna tena nabii, na hakuna yeyote miongoni mwetu ajuaye haya yatadumu kwa muda gani.
Já não vemos os nossos signaes, já não ha propheta: nem ha entre nós alguem que saiba até quando isto durara.
10 Mpaka lini, Mungu, adui atakurushia wewe matusi? Je, atalitukana jina lako milele?
Até quando, ó Deus, nos affrontará o adversario? Blasphemará o inimigo o teu nome para sempre?
11 Kwa nini umerudisha nyuma mkono wako, mkono wako wa kuume? Utoe mkono wako kwenye mavazi yako na uwaangamize.
Porque retiras a tua mão, a saber, a tua dextra? tira-a de dentro do teu seio, e consome-os.
12 Lakini Mungu amekuwa mfalme wangu tangu enzi, akileta wokovu tuniani.
Todavia Deus é o meu Rei desde a antiguidade, obrando a salvação no meio da terra.
13 Wewe uliigawa bahari; ulishambulia vichwa vya majitu ya kutisha baharini majini.
Tu dividiste o mar pela tua força; quebrantaste as cabeças dos dragões nas aguas.
14 Wewe ulishambulia vichwa vya lewiathani; na kumfanya awe chakula cha viumbe hai jangwani.
Fizeste em pedaços as cabeças do leviathan, e o déste por mantimento aos habitantes do deserto.
15 Ulizifungulia chemchem na vijito; uliikausha mito itiririkayo.
Fendeste a fonte e o ribeiro: seccaste os rios impetuosos.
16 Mchana ni wako, na usiku ni wako pia; uliweka jua na mwezi mahari pake.
Teu é o dia e tua é a noite: preparaste a luz e o sol.
17 Umeiweka mipaka ya nchi; umeumba majira ya joto na majira ya baridi.
Estabeleceste todos os limites da terra; verão e inverno tu os formaste.
18 Kumbula vile adui alivyo vurumisha matusi kwako, Yahwe, na kwamba watu wapumbavu wamelitukana jina lako.
Lembra-te d'isto: que o inimigo affrontou ao Senhor, e que um povo louco blasphemou o teu nome.
19 Usimtoe njiwa afe kwa mnyama wa porini. Usiusahau milele uhai wa watu wako walio onewa.
Não entregues ás feras a alma da tua rola: não te esqueças para sempre da vida dos teus afflictos.
20 Kumbuka agano lako, maana majimbo ya giza ya nchi yamejaa maeneo ya vurugu.
Attende ao teu concerto; pois os logares tenebrosos da terra estão cheios de moradas de crueldade.
21 Usiwaache walioonewa warudishwe kwa aibu; uwaache maskini na walioonewa walisifu jina lako.
Oh, não volte envergonhado o opprimido: louvem o teu nome o afflicto e o necessitado.
22 Inuka Mungu, itetee heshima yako; kumbuka wajinga wanavyokutukana machana kutwa.
Levanta-te, ó Deus, pleiteia a sua propria causa; lembra-te da affronta que o louco te faz cada dia.
23 Usisahau sauti ya adui zako au kelele za wale wanaoendelea kukuchafua.
Não te esqueças dos gritos dos teus inimigos: o tumulto d'aquelles que se levantam contra ti augmenta continuamente.

< Zaburi 74 >