< Zaburi 62 >

1 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; wokovu wangu watoka kwake.
Načelniku godbe v Jedutunu, psalm Davidov. Samo v Bogu počiva duša moja, od njega je moja blaginja.
2 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa kamwe.
Samo on je skala moja in blaginja moja; grad moj, ne omahnem mnogo.
3 Mpaka lini, ninyi nyote, mtamshambulia mtu, ili kwamba mumpindue yeye kama ukuta ulio inama au kama fensi isiyo imara?
Doklej bodete snovali težave nad moža? pobiti bodete vsi, podobni nagnenemu zidu, ograji omajani.
4 Wanashauliana naye ili tu kumshusha chini kutoka kwenye nafasi yake heshimiwa; wao wanapenda kuongea uongo; wanambariki yeye kwa midomo yao, lakini mioyoni mwao wana mlaani yeye. (Selah)
Samo z visokosti njegove pahniti ga ukrepljejo, veselé se laži; z usti svojimi blagoslavljajo, znotraj v sebi pa preklinjajo hudo.
5 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; kwa maana matumaini yangu yako kwake.
Samo v Bogu počivaj, duša moja, ker od njega je upanje moje.
6 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa.
Samo on je skala moja in blaginja moja, grad moj; ne omahnem.
7 Na Mungu ni wokovu wangu na utukufu wangu; mwamba wa nguvu yangu na kimbilio langu salama liko katika Mungu.
V Bogu je blaginja moja in slava moja; krepka skala moja, pribežališče moje je v Bogu.
8 Mwaminini Mungu wakati wote, ninyi watu; mimina moyo wako mbele zake; Mungu ni kimbilio salama kwa ajili yetu. (Selah)
Zaupajte mu vsak čas, o ljudstvo; pred njim izlijte srce svoje: Bog nam je v pribežališče.
9 Hakika watu wenye msimamo mdogo ni ubatili, na watu wenye msimamo mkubwa ni waongo; wao watakuwa wepesi kwenye mzani; uzito wao pamoja ni wepesi kuliko kitu chochote.
Sama ničevost so prostega človeka otroci, laž so odličnega moža otroci; na tehtnico vkup položeni, poskočili bi nad ničevost.
10 Usiamini katika ukandamizaji au wizi; usitumainie utajiri, maana hawatazaa matunda; usiuweke moyo wako kwenye hivyo.
Ne zaupajte zatiranju, in zaradi ropa ne bodite prevzetni; ako se množi bogastvo, ne navezujte nanj srca.
11 Mungu ameongea mara moja, mara mbili nimesikia hili: nguvu ni za Mungu.
Enkrat je govoril Bog, dvakrat sem slišal isto, da je moč Božja,
12 Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano, maana humlipa kila mtu kwa kile alichokifanya.
In da je milost tvoja, Gospod, da bodeš ti povrnil vsakemu po delu svojem.

< Zaburi 62 >