< Zaburi 61 >

1 Sikia kulia kwangu, shughulikia maombi yangu.
Načelniku godbe na strune, pesem Davidova. Sliši Bog, vpitje moje, ozri se v molitev mojo.
2 Kutokea mwisho wa nchi nitakuita wewe wakati moyo wangu umeelemewa; uniongoze kwenye mwamba ulio juu kuliko mimi.
Od skrajnosti dežele te kličem, ko se pogreza srce moje; na skalo, ki bodi višja od mene, pelji me.
3 Maana wewe umekuwa kimbilio langu la usalama, nguzo imara dhidi ya adui.
Ker bil si mi pribežališče, stolp krepak zoper sovražnika.
4 Uniache niishi hemani mwako milele! Nipate kimbilio salama chini ya makazi ya mbawa zako. (Selah)
Bival bodem v šatoru tvojem na veke; pribežal bodem pod peróti tvojih zatišje.
5 Kwa kuwa wewe, Mungu, umesikia viapo vyangu, wewe umenipa mimi urithi wa wale wanao liheshimu jina lako.
Ker ti, Bog, si poslušal obljube moje, dal si dedovino spoštujočim ime tvoje.
6 Wewe utaongeza maisha ya mfalme; miaka yake itakuwa kama vizazi vingi.
Dni dodaj dnevom kraljevim; leta njegova naj bodejo kakor mnogih rodov.
7 Yeye atabakia mbele ya Mungu milele.
Ostane naj vekomaj pred Bogom; milost in zvestobo pripravi, da naj ga varujeti.
8 Nitaliimbia sifa jina lako milele ili kwamba niweze kufanya viapo vyangu kila siku.
Tako bodem prepeval tvojemu imenu večno, opravljajoč vsak dan obljube svoje.

< Zaburi 61 >